Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hapa tabu unaipata wewe ambae utakua na kazi ya kuzunguka pages za insta kuleta link. Mm hayo yote nafahamuHater Bado hujasema Hadi useme ๐ ๐
View: https://www.instagram.com/p/DDKQQQCAj74/?igsh=cTZsNGJuNGQyc3lj
DP World impact.Hatee Bado hujasema Hadi useme ๐ ๐Hapa tabu unaipata wewe ambae utakua na kazi ya kuzunguka pages za insta kuleta link. Mm hayo yote nafahamu
Mm nawaunga mkono kwa 100%DP World impact.Hatee Bado hujasema Hadi useme ๐ ๐
View: https://www.instagram.com/p/DB3Vjw4gZ4W/?igsh=MWVoYWx4d3EyMDJwZA==
Kazi inaendelea Massive investments in Tanzania ports drive record cargo growth Massive investments in Tanzania ports drive record cargo growth - Daily NewsMm nawaunga mkono kwa 100%
Pia mm ntasema nini sasa, anayezunguka na kuleta hizo pages ni wewe. So we piga kazi
Ila hii kazi yako ngumu sanaKazi inaendelea Massive investments in Tanzania ports drive record cargo growth Massive investments in Tanzania ports drive record cargo growth - Daily News
Bosi Bandari ina Gati 11, Gati 0-7 Dp world, Gati 8-11 Adani, Msemaji wa serikali anasema hayo ni mapato ya Gati 0-7 wewe unasema ni mapato ya Bandari nzima bado unahisi upo sawa? Nipotezee tu mkuu usinipotezee mudaWe mzee unatumia nini kufikiri? Mimi napingana nae wapi? Mimi nakubaliana nae kwa 100%, Wewe ndio unapinga unasema hayo sio mapato yote, ndio nikakuuliza hayo mengine yalete. Unasema Kuna mapato ya Adani hayajawekwa, ndio ulete Sasa tuone
Tumia akili, yaani akaitishe press aandae taarifa alafu aache kuzungumzia mapato yote ya uwekezaji wa DP world na adani? Ili iweje aiache adani? Wewe lini umewahi kuona taarifa yoyote imeandika kuhusu mapato yatokanayo na Adani? Umejiuliza kwa nini??
Sana yaani .Ila hii kazi yako ngumu sana
Wewe hujui lolote. Gati 0-7 ni dp world, na TPA wo wanaoperate gati zipi?Bosi Bandari ina Gati 11, Gati 0-7 Dp world, Gati 8-11 Adani, Msemaji wa serikali anasema hayo ni mapato ya Gati 0-7 wewe unasema ni mapato ya Bandari nzima bado unahisi upo sawa? Nipotezee tu mkuu usinipotezee muda
Mzee wa matango pori, huwa unapumzika lakini?Sana yaani .
Kazi nzuri ya DP World hapo Dar Port ๐๐
View: https://x.com/TimesTanzania/status/1870086306530820126?t=wMryoyhDxku38PVAHZNUxg&s=19
Hapana nitapumzika siku haters wote mtakatoweka.๐๐Mzee wa matango pori, huwa unapumzika lakini?
Wivu wa kike, hii ni sifa yetu ambayo tunazaliwa tunazeeka mpaka tunakufa nayo.Kwanza hiyo 2029/20 ndio upumbavu gani?
Hiyo ndio hasara ya kutunga uongo ๐ฎ๐ฎ
Mwisho badala uweke source au link unaleta upuuzi wa eti google ๐๐๐
Mapato yanapanda Kila mwaka haijawahi tokea yameshuka labda miaka ya uviko 19 so matakwimi Yako ya kubumba ni uongo.
View: https://www.instagram.com/p/DDyldT6KEmd/?igsh=cjdsZzNoczY3cGNq
Chama cha mambuzi kimelaaniwaWenye maono walipohoji hili suala walipewa majina ya kila aina, na pale Bungeni ndiyo kabisa walio wengi walipitisha ule mkataba wa kimangungo.
Hii ni aibu kwa Taifa.
TPA wanashirikiana na DP World katika baadhi ya magati kwa maana ya hayo 0-7, kwenye mkataba DPW anatakiwa atoe elimu ya masuala ya shipping kwa wafanyakazi wazalendo.Wewe hujui lolote. Gati 0-7 ni dp world, na TPA wo wanaoperate gati zipi?
Ninekutolea mfano kwa kuwa hukuelewa hiyo taarifa vizuri. Nakupa mfano mwingine TRA wanaposema makusanyo yameongezeka sababu ya matumizi ya EFD, tafsiri yake makusanyo wanayozungumza yanatokana na EFD tu?
Nilitegemea ungeleta hayo mapato ya Adani ili tuone hiko unachosema. Hadi sasa hivi hujaleta mapato ya adani, utakua umegoogle mpaka umechoka. Ndio uelewe