Kwa heshima na taadhima, nawaomba CCM 2025 mtuletee Mgombea bora mwenye uchungu na nchi hii

Msoga back in office for a third term.
 
Acha kumpangia cha kufanya.
 
Yupo Mbowe au Lisu uje umchague tuu
 
Ulipo hapo unaelewa hata dira ya Taifa?
 
Hakuna mwanasiasa mwenye uchungu Africa na nchi yake..........
 
Ajira zilikua hazitolewi alafu ww huyohuyo tena uliitwa interview ya TRA
 
Naunga mkono hoja.Ikibidi aliyepo sasa ajiuzulu tu ili kupisha kiongozi mzalendo na mwenye uchungu na nchi
Ili waje wateke watanzania na kutumbukiza mtoni kwenye viroba?

Hivi huo uzalendo wenu mbona uko tofauti na neno lenyewe?

Uzalendo wa kuua na kunyang'anya watu Mali zao ndo mnaona unafaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…