Kwa heshima na Tahadhima tunaiomba Serikali yetu sikivu ya JMT ianze kuipa muundo wa kiutumishi na mshahara Masters/PhD degree

Kwa heshima na Tahadhima tunaiomba Serikali yetu sikivu ya JMT ianze kuipa muundo wa kiutumishi na mshahara Masters/PhD degree

Comrade umekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mimi hakuna nilichofanya zaidi ya kuhujumiwa tu🤣🤣🤣
Pole tenda haki MUNGU atasimama na wewe. Wala ni uhalisia tu mkuu, natamani wasomi wetu wafanye vitu unique kwenye taasisi zao then maslahi yafuate, sahivi sioni tafauti kabisa kwa upande wa utendaji kati ya mwenye diploma/degree/masters. Hebu tubadili fikira isiwe ukisoma unaanza kuwaza mshahara mkubwa yaani tuanze kuangalia tija, je tunawasaidiaje wanyonge, yatima na wajane kwenye kazi wetu? tukifuata mkumbo wa watawala kuiba na kujitajirisha tutakuwa hatujatenda haki kwa wananchi na mbele za MUNGU, tuige utendaji wa wazungu. Naomba niishie hapo
 
Hahaha utafanya watu tuanze kujiuliza Nini faida ya kwenda kusoma master na kutoa million zaidi ya 4..wakati ningeridhika tu na elimu na kazi kisha nikawekeza kwa nguvu na akili kufuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,pig,kuku,Bata,sungura na njiwa..


Kusoma sana ni uoga wa maisha..kusoma maneno ya ki British ni upuuzi..maarifa gani ya muhimu kwa sasa hayapo online..poleni wasaka vyeo
Kama una hoja ingawa umeiweka kimzahamzaha
 
Ukiona umesoma mpk level ya Phd then unalialia kuhusu kuongezwa ka mshahara, we ni zero kabisa
Dah msenge umehonga mle mle samahani lakini huo ndio ukweli PHD unahitaji msgahara halafu viongoz diploma aisee ww mjinga mjina pro max
 
Hahaha utafanya watu tuanze kujiuliza Nini faida ya kwenda kusoma master na kutoa million zaidi ya 4..wakati ningeridhika tu na elimu na kazi kisha nikawekeza kwa nguvu na akili kufuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,pig,kuku,Bata,sungura na njiwa..


Kusoma sana ni uoga wa maisha..kusoma maneno ya ki British ni upuuzi..maarifa gani ya muhimu kwa sasa hayapo online..poleni wasaka vyeo
Mawazo ya sisi nchi masikini ambazo elimu na maarifa hayatiliwi maanani. Hivi ulishawahi jiuliza ni kwanini makampuni makubwa yanaenda kuzalisha bidhaa zao china na nchi nyingi za Asia ni si Afrika?

Hizo nchi za Asia zingekuwa na mawazo ya kwako ya kila mwananchi kuvuga mbuzi na Sungura hayo maendeleo unayoyaona na huo uwekezaji mkubwa waliouvutia usingekuwepo kwenye nchi zao.

Siungani na mtoa mada kuhusu masters kuwa na mshahara maalum ila aya mawazo yako ya hovyo ndo yamenivuta kuchangia.

Asante
 
Halafu eti mtu anasoma masters of public administration ili iweje?
Hapo ndio zilipochefua master tEEa kwa kufanyiwa ukimwambia mtu sample size hii wàla isiwe hle anaanzankusweat mm nionavo master sio hitaji la mwajiri umejisomesha ww ili kufanya kaz yako kwa ufanisi ukihitajika utaajiriwa kwa mlango wa master / PhD
 
Pole tenda haki MUNGU atasimama na wewe. Wala ni uhalisia tu mkuu, natamani wasomi wetu wafanye vitu unique kwenye taasisi zao then maslahi yafuate, sahivi sioni tafauti kabisa kwa upande wa utendaji kati ya mwenye diploma/degree/masters. Hebu tubadili fikira isiwe ukisoma unaanza kuwaza mshahara mkubwa yaani tuanze kuangalia tija, je tunawasaidiaje wanyonge, yatima na wajane kwenye kazi wetu? tukifuata mkumbo wa watawala kuiba na kujitajirisha tutakuwa hatujatenda haki kwa wananchi na mbele za MUNGU, tuige utendaji wa wazungu. Naomba niishie hapo
AMINA
 
Hahaha utafanya watu tuanze kujiuliza Nini faida ya kwenda kusoma master na kutoa million zaidi ya 4..wakati ningeridhika tu na elimu na kazi kisha nikawekeza kwa nguvu na akili kufuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,pig,kuku,Bata,sungura na njiwa..


Kusoma sana ni uoga wa maisha..kusoma maneno ya ki British ni upuuzi..maarifa gani ya muhimu kwa sasa hayapo online..poleni wasaka vyeo
Mkuu pole na kazi yakuchunga, tunahitaji tupate nyama salama
 
Kama Kuna watu wenye masters au PhD humu ungeni mkono hii hoja ..siku Mh. Samia akituelewa akaamua kutupa muundo wa kiutumishi itakuwa neema sana.
God Bless our President Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿 ❤️
 
Unaamini kwenye masters?
1.Wewe una masters ya usimamizi wa biashara,hujawahi miliki hata genge,wenzako wanajua kusoma na kuandika wanamiliki mafremu pale Sinza.
2.Una master ya education,ulikalili vitini,kazi kukaa ofisini kupiga umbeya tu,wenzako hawajui hata degree ni nini wakina Mgote,Hidden,wakina Mbuga,wanajaza wanafunzi miaka na miaka pale mchikichini
3.Kuna watu wameenda kusoma MD,china wakirudi wanajua salamu tu za kichina,wakimaliza intern ndio habari yao inaishia hapo,ila madogo waliosoma CO,Kilosa,Lindi,Sengerema ukiwaachia kijiwe wanapiga mzigo ile mbaya
Unalalamika sababu hauna hio thamani unayotaka ulipwe,......na huu ndio upumbavu wa wasomi wengi wa bongo,ukiwemo wewe
Dah! Elimu ya kiwango cha juu isibezwe lakini tuseme wanaoonesha matokeo ya dhamani ya kiwango cha elimu waliyonayo kwa jamii walipwe zaidi.
 
Back
Top Bottom