Ni sababu tosha,..........wewe ni mmiliki wa kampuni ya I.T Kuna kijana ana Diploma,anadesign web,anafanya Blockchain,networking,excell etc.
MWengine ana master ya I.T,ana GPA ya 4.8,anachojua yeye ni kuongea English fluent,.........utamuajiri nani?,ikitokea ukiwaajiri wote,na una chance ya kumuongezea mshahara mmoja utamuongezea nani?
Hata hao doctors walio nondo zaidi hawabaki bongo,hufanya USLME,PREB,hutimkia U.S,U.K.south Africa,Botswana kusaka green pasture.
Life is the game ,kukaa na mapumbu yako,kulia wewe umesoma biashara,umefaulu sana ni upumbavu ilihali vijana walioshia la saba wanaagiza makontena china