Kwa heshima ya Motsepe na Mamelodi. Mamelodi wajitoe kwenye hatua ya nusu fainali ili nafasi yao ichukuliwe na Yanga

Wenzetu kwa jinsi walivyowekeza unaona kabisa faida ya kufidia gharama zao za Budget haipo kwenye matazamio ya zile pesa watazopata wakiwa mabingwa wa champion league.

Wenzetu wanajua njia pekee ya wao kurudisha pesa zao ni world cup huko.
Ona huo Mpunga waliovuta Jana Tu, halafu huku likud ameshalewa visungura anaropoka Tu, hajui watu wapo kazini.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-04-06-18-14-53-95.png
    483.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-04-06-18-14-44-16.png
    295.2 KB · Views: 4
Mkuu mpira unachezwa kiwanjani sio nje ya uwanja wala mezani. Endelea kuota.
 
Mmmh, hii ngumu kumesa! Labda kama kuna uwezekano FIFA iingilie kati mechi irudiwe na ikapigwe kwenye uwanja huru!
 
Motsepe alimuoa uwanjani jana,au ulimuona refa na wanakandanda 22.
 
Na hivi ndivyo anavyowaza LIKUD akivuta ganja
 
Huyo hajui timu zinavuta Billion ngapi kila stage.

Ukichukuwa Hilo kombe kwenda club bingwa ya dunia kuna kama Billion 140 club inapewa.

Sasa yeye kalewa ugoro anadhani NI Jambo rahisi, na Mamelodi wamewekeza hasa wanasajili kwa gharama kubwa,
Hakuna bilioni 140 katika hilo kombe
 
Bora Yanga ametolewa maana mji ungekuwa haukaliki......wana Simba tungeishi kinyonge sana vijiweni.......Yule refa anatakiwa kujengewa sanamu pale msimbazi......ametuepusha na mengi mabaya........dah! asante Mungu kwa hili........
 
Hebu tulieni na nyinyi bana,mmeonewa mmeonewa..
 
Motsepe asiheshimike kwa kikundi cha washabiki wa yanga ,shida ya washabiki mnataka kila mtu aishi kwenye kikundi chenu.
 
Ndiwoooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani wafanye “Jitihada” halafu waishie kuomba kujitoa? Si dunia itawaona kuwa ni mashoga? Au mnaonaje wajameni?
Hapana kujisahihisha ulipokosea kwa kuomba radhi ni heshima kubwa unabaki na heshima yako.

Ukiachana na ushabiki Mamelod ni club kubwa. Sasa kwa hili watu wameanza kufukua ya nyuma,jinsi inavyopita pita muda mwingine. Kuna mwaka wakamchomoa AC Vital. kwamba imechezesha mchezaji wa kadi 2. Kwa yote hayo yanaunganishwa inaonekana ndio mchezo wao.
Kwanza ingekuwa ulaya tayari uchunguzi ungekuwa umekamilika

Pia check hali ilivyochafuka huko duniani kuhusiana na hili. Hata ikatokea Mamelod wamechukua ubingwa unakuwa wa masimango,hauna tofauti na ushindi wa mashoga sasa. Hauna Raha. Chukua kwa jasho lako. Sio unafanya fanya uhuni njiani.

Na huyo rais wa CAF kajichafua sana. Naamini mpaka sasa anajutia hali hiyo aliyoitengeneza.
 
Mkuu nahs umechelewa kupata updates..Mamelod wameshajitoa,wameandka barua rasmi kwenda Caf na FIFA kuptia chama cha mpira wa miguu cha buza kwa mpalange.....link htpp/buzamplng.football.utopolo.userlogin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…