instagramer
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 215
- 492
Kama Tunavyojua Uimara Wa Taifa Lolote Kiuchumi Duniani, Ikiwemo Marekani Na Uchina Basi Ni Kuwekeza Nguvu Zaidi Katika Kuimarisha Ulinzi Na Usalama Wa Nchi. Lakini Jambo Hili Ni Kinyume Kidogo Na Nchi Za Kiafrika Ambazo Bado Zinapambana Kujikwamua Kwenye Lindi La Umaskini.
Lakini Kwa Bajeti Hii Ya Nchi Ya Jamhuri Wa Muungano Wa Tanzania, Sitarajii Tuombe Misaada Tena
Ya Kutuondolea Umaskini Na Sitarajii Tulie Shida Kwamba Kilimo Kimefeli Sababu Ya Ukata Au Mradi Wowote Wa Kimaendeleo.
Tanzania Ni Nchi Tajiri Sana!
Hongereni Sana Wananchi Wenzangu!!!
Lakini Kwa Bajeti Hii Ya Nchi Ya Jamhuri Wa Muungano Wa Tanzania, Sitarajii Tuombe Misaada Tena
Ya Kutuondolea Umaskini Na Sitarajii Tulie Shida Kwamba Kilimo Kimefeli Sababu Ya Ukata Au Mradi Wowote Wa Kimaendeleo.
Tanzania Ni Nchi Tajiri Sana!
Hongereni Sana Wananchi Wenzangu!!!