Kwa hii Kauli ya Kidharau niliyomsikia nayo huyu Mtangazaji wa Kike wa TBC1 Janet Leonard leo Asubuhi kwa Atakayemtongoza awe na Gari ya MERCEDES BENZ

Kwa hii Kauli ya Kidharau niliyomsikia nayo huyu Mtangazaji wa Kike wa TBC1 Janet Leonard leo Asubuhi kwa Atakayemtongoza awe na Gari ya MERCEDES BENZ

Halafu ni kwanini huyu Mtangazaji wa TBC1 Janet Leonard muda wote tu akiwa Kipindini anapenda Kuchekacheka mno?
Ni huyu
1521462139238.jpeg
 
Ndo maana sahivi natafuta Carina Ti
Mkuu utakuwa umetisha sana ,utaheshimika mpaka ushangae ,Mimi yangu nimeipiga rangi ya kijani kumuenzi mshua na pia kwenye number plate niliuza viazi nikaweka jina la ukoo yaani kila nipitapo utasikia akina Mwaisa hapa Mbeya ni boss la maboss kapita kumbe naenda kunywa ulanzi vilabuni
 
Tusipotezeane sana muda kwani bado nina HASIRA KALI ya Timu yangu ya WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio cha bado TUNATENGENEZA Kikosi kufungwa tena Wiki iliyopita na kuendeleza ule msemo kuwa Mke huwa hana Ubishi wa Mume.

"Kuna Clip moja niliiona Tembo akinyanyua Kigari cha ki IST hadi nikaogopa" amesema Mtangazaji wa TBC1 Janet Leonard leo katika Kipindi chao cha Asubuhi. Hivi ni kwani Duniani kuna Magari mengi tu lakini Gari ambalo Linadhaurika sana ( japo ndiyo hutumiwa na Watanzania wengi wa Kawaida na Kati ) ni la IST tu?

Mbona Mimi GENTAMYCINE mwenye usafiri wangu tu huu wa Baiskeli ya Phoenex sidharauliki kama wenye Gari za IST?
Sii kwamba inadharaulika,ni gari watu wanaitumia lakini Polisi wa usalama wanaitumia kama case study ya gari za raia na makosa ya barabarani.
 
Kwahiyo unataka kusema ukiwa na IST hata kama unaenda nacho kwenye harusi,unakipaki kama nyumba ya tatu halafu unaenda kwa mguu ili usionekana unamiliki IST...?
 
Kwahiyo unataka kusema ukiwa na IST hata kama unaenda nacho kwenye harusi,unakipaki kama nyumba ya tatu halafu unaenda kwa mguu ili usionekana unamiliki IST...?
Swali lako hili nenda tu pale TBC1 Bamaga Kesho asubuhi ukamuulize huyu Mtangazaji Janet Leonard tafadhali sawa?
 
Back
Top Bottom