Kwa hili alilofanya Maulid Kitenge naiomba TFF ichukue hatua kali haraka kwa Maulid Kitenge na EFM

anayemfahamu gentamcyne aweke picha yake nahisi ni mtoto sana bila shaka hawa ni kizazi cha miaka ya 95,balehe inamsumbua sana na thread zake nyingi zina utoto!
Huyu Ni wa 95 live bila chenga Tena kasoma mass communication[emoji1787]
 
Kwa kitendo hicho, ambacho inaonesha wazi kimekukera! hata ukashindwa kulivika joho gubu ulilonalo.. tuseme Maulid amevunja sheria ipi ktk adhabu ya Haji.
Kosa aliloadhibiwa Haji, na Kitendo alichofanya maulidi vinahusianaje kisheria..
Je, ni kosa mtu kutumika kwa matajiri wa GSM kwa sababu fulani ama bila sababu yoyote muda wa kuwa mtumikaji havunji sheria yoyote ya Nchi?

Nimeshangaa sana mwanaume(kama kweli ni mwanamume muume basi!!) kuandika Post popoma kama hii..
 
Mimi nikafikiri alimkaribisha Haji manara studio kuongea mambo ya mpira kumbe unaongelea mambo ya clip za watu zilizotokea kipindi cha nyuma? Kwaiyo Vyombo vya habari aviruhusiwi kutumia clip za watu waliofungiwa na tff?
Nina allergy ya kujibu Maswali ya Kipumbavu yatokayo kwa Mpumbavu wa aliyeliuliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…