Huyu Ni wa 95 live bila chenga Tena kasoma mass communication[emoji1787]anayemfahamu gentamcyne aweke picha yake nahisi ni mtoto sana bila shaka hawa ni kizazi cha miaka ya 95,balehe inamsumbua sana na thread zake nyingi zina utoto!
Kwelli wanasema usiridhi uadui wa mtu I'll kwa hili wee na popoma no thanks siwez kukah meza Moja na popomaKesho mapema tuwasiliane
Mr Idiot,🤸🤸Idiot.
Kwa kitendo hicho, ambacho inaonesha wazi kimekukera! hata ukashindwa kulivika joho gubu ulilonalo.. tuseme Maulid amevunja sheria ipi ktk adhabu ya Haji.
Nauomba Uongozi wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) haraka sana umchukulie hatua kali za kinidhamu mtangazaji wa hovyo wa michezo nchini Maulid Kitenge kwa kitendo chake cha kumpa 'Airtime' Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara tena akimtaja kabisa kuwa Msemaji wa Yanga SC aliye kifungoni.
Niliwahi kusema hapa hapa kuwa mtangazaji huyu wa hovyo na mwenye Uyanga uliopitiliza na anayetumika vibaya na matajiri wa Yanga SC, wadhamini wao GSM ipo siku atakuja kujikuta pabaya au hata pia kuigharimu kampuni yake yenye chombo hicho husika cha EFM.
Kwa kitendo 'very unprofessional' alichokifanya Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM cha kuweka hewani 'clip' ya Haji Manara (ambaye anajua yuko kifungoni sasa) na amekiri mwenyewe kwa kusema (Msemaji wa Yanga SC aliyekifungoni) ni kuidharau na kuikejeli TFF na pia ni kutaka kuiweka Media ya EFM anayoifanyia kazi kwa sasa.
Nauomba Uongozi wa TFF haraka sana umchukulie hatua kali Mtangazaji wa EFM Maulid Kitenge kwa hiki alichokifanya na sina shaka kuwa amekifanya makusudi kutokana na kutumika kwake vibaya na matajiri wa Yanga SC akina GSM, Uyanga wake na uswahiba wake mkubwa na mnafiki mwenzake (mwenzie) Haji Manara.
Alichokifanya Mtangazaji Maulid Kitenge ni kiburi, dharau na jeuri kwa mamlaka ya soka nchini Tanzania, hivyo achukuliwe hatua haraka ili iwe fundisho kwa watangazaji wengine wapuuzi na 'very Unprofessional' kama yeye na tasnia iheshimike.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gentamicin The POPOMA
Mkuu, umejiandaa kwa vita lakini?Hivi wewe jamaa hunuki mavi kweli wewe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo takataka hainisumbui kabisa nitamnawa bila wese[emoji1787][emoji1787]Mkuu, umejiandaa kwa vita lakini?
Mbona hata hii ID ya Song of Solomon ni Mimi ( yangu ) pia?Hii ni another ID yako wewe mwanaharamu gentermycine
Safi sana hebu muongezee na lingine.Hapo tayari uko kwenye heat unaanza kuparamia wanaume ovyo, shauri yako!
Nina allergy ya kujibu Maswali ya Kipumbavu yatokayo kwa Mpumbavu wa aliyeliuliza.Mimi nikafikiri alimkaribisha Haji manara studio kuongea mambo ya mpira kumbe unaongelea mambo ya clip za watu zilizotokea kipindi cha nyuma? Kwaiyo Vyombo vya habari aviruhusiwi kutumia clip za watu waliofungiwa na tff?
'Nukudi' haijasafiri?Ana muda hajaenda ughaibuni kupeleka ile biashara yake ndiyo maana ana wenge sana siku mbili hizi
Rubbish.Huu ni wivu wa kike dhidi ya Maulid Kitenge....Kitenge chapa kazi
Weka clip jukwaani tuisikie wote maoni yetu yaweze kwenda sawa
Mnavyoniombea kutwa Wapumbavu nyie nipate / nipewe BAN huwa mnapata Faida gani?Halafu utapata faida gani akifungiwa? Wewe ni snitch, mpaka umepitiliza.