Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

Bora uendelee tu kumshabikia Diamond uondoe stress za wanasiasa maana unapohangaika na hospitali za serikali kulala chini wenzako wanasiasa wanaungana kushinikiza posho ya milioni 230 kwa kila mbunge. Hawana huruma ati. Mwanasiasa ni rafiki yako kwenye kuomba kura tu lakini siyo kwenye pesa. Ukiona wanasema fulani mwizi, chungulia jicho la tatu utakuta huyo anayenyoosha kidole kuna sehemu kazidiwa ujanja wa kupata hiyo pesa.

Nikisikiliza Nana unanisahaulisha kabisa ishu za siasa, nafarijika na matatizo yangu.
 
Kujaza foleni sio indicators za development huduma muhimu ka shule afya hospitali hazina dawa wanawake wanajifungulia chino,shule watoto wanakaa chini pamoja na misitu iliyopo nusu nchi.
Hata kama ufanye kazi twenty four seven kama serikali haiwezeshi wananchi kupunguza ukali wa maisha ni bure. Sasa hivi hela haina thamani hata ukipokea million huwezi Ku save chochote. Fikiria vizuri next time


Words kiukweli ,merci madame
 
Dina msamehe bure huyo, shule kichwan ndogo ndo maana wanakosa msimamo kww kuhofia maslah yao, lets all vijana work harder kufikia ndoto zetu kwa kutumia fursa zilizopo mbele yetu
 
Bora uendelee tu kumshabikia Diamond uondoe stress za wanasiasa maana unapohangaika na hospitali za serikali kulala chini wenzako wanasiasa wanaungana kushinikiza posho ya milioni 230 kwa kila mbunge. Hawana huruma ati. Mwanasiasa ni rafiki yako kwenye kuomba kura tu lakini siyo kwenye pesa. Ukiona wanasema fulani mwizi, chungulia jicho la tatu utakuta huyo anayenyoosha kidole kuna sehemu kazidiwa ujanja wa kupata hiyo pesa.

Nikisikiliza Nana unanisahaulisha kabisa ishu za siasa, nafarijika na matatizo yangu.

Hahahhhh well said though
 
HONGERA, Dada una akili sana sio kama hawa wanafiki wanaojua maovu yote ya CCM lakini bado wanaitetea kwa ajili tu ya vielfu 7. CCM ILIWAAHIDI WASANII KUWAJENGEA STUDIO YA KISASA, PIA ILIWAAHIDI KUWATATULIA TATIZO LA HATI MILIKI (COPYRIGHT) KATIKA KAZI ZAO. mpaka sasahivi hakuna walichowafanyia zaidi ya kuwatumia wasanii kipindi hiki ili kupata idadi kubwa ya watu katika mikutano yao.

WATANZANIA HATUITAKI CCM,TUMEWACHOKA WEZI WA RASILIMALI ZETU. Kura kwa LOWASAA WA CHADEMA,UKAWA.
 
Ana haki lakin aangalie wao wenyewe kazi zao zinaibiwa,hawana hatimiliki,wanadanganywa na dinner ya ikulu,basi angeuchunaa,yaan hivi kaniudhi kanitoka puuuuu

Hahahaha..nilijua tu iko siku utaingia akili..njoo huku basi
 
kuanzia Leo Mimi sio shabiki WA Daimond najivua gamba navaa gwanda,,
Diamond sio mama yangu wala Baba yangu,amepata pesa kawa na kiburi kasahau alipotoka anajifanya hajui ccm ilivyotunyoosha na inavyoendelea kutunyoosha ye anaishabikia na kuweka sababu za kipuuzi,,,Zari kajifungulia hospital nzuri aje aangalie huku hospital za kawaida watu wanavyohangaika,hakuna huduma,hakuna madawa,vifaa hakuna,hakuna ajira,maskini tunakandamizwa kwa kulipa kodi,vijana wanasoma lakin ajira hazipo,
kuitwa ikulu Kula Dina sijui wamepewa na nini wamevembewa,wanahamasisha tuchague ccm kasahau alivyokua anauza mitumba ccm ingekua nzuri angesomeshwa bure,elimu ya swkondari ingekua bure nae angeipata,.
yote hiyo Ni tunalaumu ccm kwani ndio iliyoshikiria maadaraka,na wengine mkome kusema Lowassa Ana uchu WA madaraka anaizidi ccm?mbona nayo haitaki kutoka
tunataka mabadiliko kama Baba yako Ni kinana shabikia ccm,kama mama yako Ni Tibaijuka shabikia ccm,ccm tumewachoka
cc heaven on desert
TeamLowassa ndio nishasema hutaki kanye chupa

We kichaa kweli wewe
 
Last edited by a moderator:
Fanya kazi kwa juhudi utaishi maisha bora tu!!!! Hata kulima nayo ni kazi, kufuga ni kazi nk, Unalalamika maisha magumu lkn wenzako wanajaza barabara kwa magari yao, foleni haziishi tena ndani ya serikali hii hii ya ccm!!

Nawasiwasi na profile name yako...itakuwa ulikosea kuliandika bila shaka wewe ni "MZEE KIRAZA" na sio MZEE RAZA...
 
Ninalima pesa inaishia kwenye matumizi hakuna akiba,
Dola ipo juu all imported goods lazima ziwe ghali!
Mfumo wa masoko nao ni mbovu bado unaamini serikali haina mchango katika individual development?

KULA 👊(Tano) mkuu na ndio maana nikamwambia uyo atakuwa anaitwa "MZEE KIRAZA" si bure...maana amesahau kama ata hao wakulima wenyewe huko vijijini wanafanya kilimo kwa miaka-54 ya uhuru wa nchi hii lakini hadi leo hii wanaishi kwenye vibanda vya udongo na nyasi huko kijijini wakitaka msosi wanakula mazao yao waliyoyapanda na hawana maendeleo mengine yeyote na amesahau kila siku WAKULIMA WANAVYOLALAMIKA KUHUSU KUSHUKA BEI YA MAZAO KILA KUKICHA HIVYO SERIKALI INAWAUMIZA SANAAA...SASA ALITAKA HUYO MKULIMA YEYE KAMA MTANZANIA AFANYE NINI ZAIDI YA ICHO ILI AJIKWAMUE KIMAISHA???...NA KAMA SITUATION NDO HIYO NANI WA KULAUMIWA KAMA SIO SERIKALI YA CCM ILIYO MADARAKANI?????
 
Kujaza foleni sio indicators za development huduma muhimu ka shule afya hospitali hazina dawa wanawake wanajifungulia chino,shule watoto wanakaa chini pamoja na misitu iliyopo nusu nchi.
Hata kama ufanye kazi twenty four seven kama serikali haiwezeshi wananchi kupunguza ukali wa maisha ni bure. Sasa hivi hela haina thamani hata ukipokea million huwezi Ku save chochote. Fikiria vizuri next time

Penda sn ww,ur so intelligent guy.
 
Kuanzia Leo Mimi sio shabiki wa Daimond najivua gamba navaa gwanda..Diamond sio mama yangu wala Baba yangu, amepata pesa kawa na kiburi kasahau alipotoka anajifanya hajui CCM ilivyotunyoosha na inavyoendelea kutunyoosha ye anaishabikia na kuweka sababu za kipuuzi.. Tunataka mabadiliko kama Baba yako ni Kinana shabikia CCM, kama mama yako ni Tibaijuka shabikia CCM. CCM tumewachoka! Cc heaven on desert, TeamLowassa
Huu kweli mwaka wa shetani cjui nani alaumiwe mana kila mtu kasahau alipotoka..now ni wakati wa kuamka kifikra na kuachana na itikadi za kizee,hatimaye CCM ipigwe chini raundi ya kwanza kwa knockout..aksantheeni
 
Back
Top Bottom