Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
ni mwananchi kama sie na ana maisha nje ya Muziki
Sioni tatizo kwa yeye kuandika hivyo ni uamuzi wake na nimependa alivyoandika kakaribisha mtu anayepingana nae aseme ni kwanini, ni kama ka dibeiti fulani kaweka.
Kuhusu muziki wake embu wekeni hayo pembeni na maisha yake na yeye aishi kama mtanzania . akiishi maisha feki ndio mtafurahia, anaishi yeye
msisahu kumpigia kura katika makategory na tuzo kibao tujivunie na nchi yetu
.
Sitoacha kumpigia kura diamond wangu na sitoacha kumpa sapoti yeyote ile anayostahili kutoka kwangu kama shabiki wa damu.Natambua ni haki yake ya msingi kufanya hivyo na siwezi kumpangia cha kufanya.
Mashabiki wa diamond tupo na tutaendelea kuwepo
