Kwa hili la 50 Cent, King Mohamed Salman wa Saudi Arabia hayupo sahihi hata kidogo

Kwa hili la 50 Cent, King Mohamed Salman wa Saudi Arabia hayupo sahihi hata kidogo

Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia?

Seriously!!!

A guy who talks about shooting other people and utter a lot of cursing words in his song?

Yes when I was a little bow wow ( a very young boy) nilikuwaga shabiki wa 50 but the last thing that I will ever want to see on the face of planet earth is seeing a negro like 50 Cent performing in Saudi Arabia.

A king can do no wrong. So tunasema, watu walio karibu yake wana mshauri vibaya.
A guy who says "I wanna fcuk your wife" in his songs
 
kweli adui wa mtu mweusi ni mtu mweusi. sasa unaumia nini 50_cent kwenda kuchukua mkate wake saudia?mtu wa hovyo sana wewe.
 
Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia?

Seriously!!!

A guy who talks about shooting other people and utter a lot of cursing words in his song?

Yes when I was a little bow wow ( a very young boy) nilikuwaga shabiki wa 50 but the last thing that I will ever want to see on the face of planet earth is seeing a negro like 50 Cent performing in Saudi Arabia.

A king can do no wrong. So tunasema, watu walio karibu yake wana mshauri vibaya.
Kwahiyo na ww ni Msaudia una machungu na nchi yako.

Bongo watu wanatekwa na wanapotezwa hayo huongei lkn ya Wasaudia unajiona nawe ni mdau.

Tuacheni hizi akili tudili na shida zetu huu ushabiki wa Kiyahudi na Kiarabu hauna impact yoyote kwa jamii zetu.
 
Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia?

Seriously!!!

A guy who talks about shooting other people and utter a lot of cursing words in his song?

Yes when I was a little bow wow ( a very young boy) nilikuwaga shabiki wa 50 but the last thing that I will ever want to see on the face of planet earth is seeing a negro like 50 Cent performing in Saudi Arabia.

A king can do no wrong. So tunasema, watu walio karibu yake wana mshauri vibaya.
Wewe bado una kitoto kwa kuamini Saudi Arabia ni nchi/eneo takatifu. Kamo kama zilivyo nchi nyingine, kuna uchafu wa kila aina. Unaamini 50 cents kuruhusiwa kupeform basi hii dhambi kubwa kuliko zinazotendeka huko!
 
""Hamtakua radhi nao mpaka mfate mila zao...(Quran)""

Ukilijua hili na kulizingatia utaishi kwa raha na Amani, kwa yeyote mwenye kuamini.
 
Kabla ya yote yaani hata tu msanii ambaye huenda ana mashabiki nchini kwako, kuja kwake mpaka wewe ndio utoe maamuzi hapo wala shida haipo kuja au kutokuja kwa mtu bali uhuru wa watu..

Na hapa mwenye matatizo nadhani ni fikra zako na ungekuwa Mfalme nadhani watu wangepata sana shida (kuna mambo muhimu zaidi ya kufuatilia)
 
Hakuna "King Mohamed" Saudi Arabia.

Kwa ufupi uongozi wa Saudi Arabia ni wanafik wa kwanza. Hao ni mazayuni
Mbona hamuendi kupigana kuikomboa Saudia kama mnavyofanya Israel badala yake mnagombania nyama za kondoo na tende wanazo watumieni?
 
Mbona hamuendi kupigana kuikomboa Saudia kama mnavyofanya Israel badala yake mnagombania nyama za kondoo na tende wanazo watumieni?
Kama ulikuwa huelewi mapigano yote anayetafutwa ni Saudi Arabia, soon utaelewa. Mazayuni wa Saudi Arabia hilo wanalielewa.

Niliwahi kuandika hivi:

 
Kama ulikuwa huelewi mapigano yote anayetafutwa ni Saudi Arabia, soon utaelewa. Mazayuni wa Saudi Arabia hilo wanalielewa.

Niliwahi kuandika hivi:

Hivi upo sawa kweli? Au umekunywa valium? Mbona unaenda kuleta reference uliyoiandika mwenyewe lakini inapingana na unachotaka ikitetetee ambacho pia umekiandika mwenyewe?
 
Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia?

Seriously!!!

A guy who talks about shooting other people and utter a lot of cursing words in his song?

Yes when I was a little bow wow ( a very young boy) nilikuwaga shabiki wa 50 but the last thing that I will ever want to see on the face of planet earth is seeing a negro like 50 Cent performing in Saudi Arabia.

A king can do no wrong. So tunasema, watu walio karibu yake wana mshauri vibaya.
We una udini tu, huna lolote.
 
Hivi upo sawa kweli? Au umekunywa valium? Mbona unaenda kuleta reference uliyoiandika mwenyewe lakini inapingana na unachotaka ikitetetee ambacho pia umekiandika mwenyewe?
Sikushangai, unaonesha huelewi unachokisoma, una majibu yako kichwani, yanakudanganya.
 
Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia?

Seriously!!!

A guy who talks about shooting other people and utter a lot of cursing words in his song?

Yes when I was a little bow wow ( a very young boy) nilikuwaga shabiki wa 50 but the last thing that I will ever want to see on the face of planet earth is seeing a negro like 50 Cent performing in Saudi Arabia.

A king can do no wrong. So tunasema, watu walio karibu yake wana mshauri vibaya.
Kwani Bin Laden si alitaka kuiondoa hiyo familia yao madarakani lakini marekani akawasaidia kummaliza?

Unashanga kuhusu Fif AKA fitty, lakini haushangai kuwa marekani wana base kubwa sana ya kijeshi pale Saudi na wanailinda ile nchi?
 
Jamaa anazingua sana huyu. Ndio matatizo ya kuwapa vijana wadogo nafasi kubwa. He was born in 1985. The throne is too much bigger for him
Saudi Arabia mpaka kuna maduka maalumu kwa ajili ya 🐷🐷🐷


images (16).jpeg
 
Back
Top Bottom