Pre GE2025 Kwa hili la Ali Kibao hakuna yoyote ndani ya CHADEMA aliye salama!

Pre GE2025 Kwa hili la Ali Kibao hakuna yoyote ndani ya CHADEMA aliye salama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ccm hawo na kuwatumia vyombo vya dola kufanya unyama huo.
 
Hatukuwahi kufikiri kama Tanzania hii inayotambulika kama kisiwa cha Amani itatufikisha huku

Hii imeiaibisha na kuidhalilisha sana Taifa, hasa kwa wageni waliopo nhini na wasomao taarifa za nchi yetu kila siku
TUMUOMBE MUNGU ATUPE VIONGOZI...
 
Wanatengeneza hiyo narrative wao wenyewe.

Kwa wapenzi wa vipindi vya FBI files, Murder Comes to town and the likes.

Kikubwa kwenye uchunguzi hasa palę penye pattern ni motive ya muhusika.

Lipo wazi utekaji wa wanachama wa CDM suspect number one ni uongozi wa CDM kwa wafuatiliaji wa vipindi ‘real life crime’.
Wewe ndugu huwa unajiona unaakili sana ficha ujinga wako
 
Ina depend on nature of those people ila sio kwa jamii ya watanzania, sisi ni raia unique, kifikra sio rahisi kutulinganisha na raia wengine wa dunia
Mimi nafuatilia kwa muda mrefu kuhusu changamoto (uncertainty), Kwa jamii hii hii unayo ibeza, inatafakari mambo inayo yapitia. Akili ya binadamu hutatua changamoto kwa kuyachakata iliyohifadhi kwenye ubongo iwe kwa kujifunza, kusikia kujionea kama huna ulicho hifadhi kulingana na changamoto yako huwa tunaenda kwa mtu mwingine kutusaidia
 
Punguza ujinga basi. Unakuwa chawa mpk unatapika upumbavu kama huu?
Badala ya kufanya personal attacks.

Ungejibu kwanza hoja zangu on merit na kuonyesha ujinga wangu ulipo.

Lakini kunitukana tu bila ya kuonyesha kwanini huo ni uonevu ambao moderators wanatakiwa kukuchukulia hatua kama wanafanya kazi yao.

Kwenye murder case ‘mens rea’ ni kitu muhimu sana. CCM na serikali haina sababu ya kuteka aina ya watu wanaotekwa CDM.

Wata achieve kitu gani kwa kuteka hao watu. Kwa wapenzi wa real life crime investigation TV series it doesn’t add up,

Na suspect number one ni CDM kuliko CCM na serikali
 
Mimi nafuatilia kwa muda mrefu kuhusu changamoto (uncertainty), Kwa jamii hii hii unayo ibeza, inatafakari mambo inayo yapitia. Akili ya binadamu hutatua changamoto kwa kuyachakata iliyohifadhi kwenye ubongo iwe kwa kujifunza, kusikia kujionea kama huna ulicho hifadhi kulingana na changamoto yako huwa tunaenda kwa mtu mwingine kutusaidia
Sawa reaction za jamii ni tofauti katika hali au matukio yale yale, kuna dormant active and passive reactions, kama watanzania tuna jifunza kutokana na matukio kama hayo, JPM asinge kufa kwa natural death......... hali ile ile imetikuta tena hatujajienda na chochote zaidi ya domo zetu na kulala sisi kwa ufupi ni dormant society we learn nothing en forget everything of our past.
 
Sawa reaction za jamii ni tofauti katika hali au matukio yale yale, kuna dormant active and passive reactions, kama watanzania tuna jifunza kutokana na matukio kama hayo, JPM asinge kufa kwa natural death......... hali ile ile imetikuta tena hatujajienda na chochote zaidi ya domo zetu na kulala sisi kwa ufupi ni dormant society we learn nothing en forget everything of our past.
Nakuelewa kwamba jamii haiwezi ku react instantly kwa muda ule ule lakini itakapo amsha ubongo na kusema, No. Will not be easy to reverse it, kuhusu kufa binadamu hatufi kwa mapenzi ya Mungu vifo vingi vinasabishwa na mwenendo wa mwanadamu
 
Naona ni kujenga hofu miongoni mwa wana nchi tukielekea uchaguzi wa 2025, watanzania ni waoga zana unaweza kutawala akili zao kwa kuutengenezea hofu, pia ni wasaulifi sanaa.
hapana, hofu ya kuua si hofu ni kitu kimedhamiliwa na watengeneza hofu
 

View: https://m.youtube.com/playlist?list=PLPWADYvG7WEwFb-VHqlXiw9ntvHYOEkoe

Hiyo ni playlist ya murder comes to town ☝️


Then angalia FBI files ☝️tafuta episodes za repeated crimes.

Kwenye kutafuta pattern na motive (mens rea) wahusika wanatafuta sababu.

CCM na Serikali aina sababu ya kutaka na kuuwa sampuli ya wanachama wa CDM wanaotekwa na marehemu.

Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili

Lipo wazi wahusika wa haya matukio ni CDM wenyewe

Kwamba Chadema wanaweza kuwaamrisha askari wakazuie basi alilopanda marehemu na kumchukua kuondoka naye?!
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Inside job?
Hatuna Rais ndugu yangu, umeshawahi kusikia akitoa kauli yoyote ya KUKEMEA AU KUTOKOMEZA UDHALIMU huo? Samia na kijana wake Abdul ndio wafadhili wa hayo MAGENGE ya UTEKAJI NA MAUAJI. NI HUZUNI
 
Lazima tujiulize kwanini watu Hawa wamekuwa na ujasiri huu mkubwa wakumkamata mtu ndani ya basi nakwenda kumuua
Hatuna Rais ndugu yangu. Samia na kijana wake Abdul ndio wafadhili wa hayo MAGENGE ya UTEKAJI NA MAUAJI. NI HUZUNI
 
Kuna Mambo mawili:
1: Yawezekana Serikali inahusika
2: Yawezekana Kuna kundi la watu wnaichafua Serikali,lakini je?
1: Waziri wa mambo ya Ndani kimya
2: Polisi Kimya
3: Waziri Mkuu kimya
4:Makamu wa Rais kimya
5:Bunge Kimya
6:Rais Kimya
Tafsiri yake nini Sasa?
1:Hatujui la kufanya
2:Tunajua kinachoendelea na kimepangwa,
3:Hali hiyo siyo shida Kwa nchi au kitu Gani?
Kama watu Hawa wanaotekwa ni wahalifu na SERIKALI inahusika,basi wakamatwe Kwa mujibu wa Taratibu,washtakiwe,wskikutwa na hahatia wafungwe.
Kama watu Hawa hawajulikani Serikali ichuke hatua haraka sana kabla ya tabia hii kukua na kuonekana ya Kawaida na watu kuanza kuuana hivyo na kuchafua taswira ya nchi
Ni Nani humu duniani anaye ishi milele zaidi ya miaka 100 toka sasa- ajitokeze hadharani na atupe mkataba wake na Muumba? Tofauti na hapo ni uzwazwa tu wa kuuwa watu ili hali nasi ni marehemu watarajiwa kati ya miaka 30-45 ijayo… na Wauwatosa watajuta sana Kwa matendo yao..: chochonde ndugu zangu, hata kama ni Wauwaji-acheni hizo- sote tunapita tu humu duniani. Mmefanya ya kutosha tayari - pumzikeni sasa… siku nyingine mkiagizwa, wageuzieni kibao wanao waagiza… sote ni watoto wa mama Tanzania - tuishi Kama nguchiro na mchwa ndani ya kichuguu bila mkwaruzo… nawaombeni sana ndugu zangu Wauwaji- tafadharini sana - tunapita tu humu duniani… Acheni sasa…
 
Wewe unaona ni viongozi wa CHADEMA tu wako hatarani. Wenzio tunaona ni watanzania wote.
Stupid of you! Shut up your bakuli! Nitakublock shetani we! nani wa ccm katekwa, Stupid! Unatia hasira , stupid!
 
Stupid of you! Shut up your bakuli! Nitakublock shetani we! nani wa ccm katekwa, Stupid! Unatia hasira , stupid!
Narudia. Siyo viongozi wa CHADEMA tu. Ni watanzania wote wako hatarani. Najua umekasirika kwa sababu nimeonyesha ujinga wako wa kutoweza kuchanganua mambo. Nakuhakikishia kuwa leo hii akitokea mwa CCM asikubaline na ujinga wa CCM, basi na yeye atashughulikiwa. Na pia wasio na vyama nao wako hatarini. Najua akili zako kama za nyumbu mpaka zione ndiyo ziamini! Pole.
 
Stupid of you! Shut up your bakuli! Nitakublock shetani we! nani wa ccm katekwa, Stupid! Unatia hasira , stupid!
Kwani waliopotea ni wanachama wa cdm tu!... halafu CCM inafaidika nini na kupotea soma,kibao nk?
 
Yaani kweli wananchi wanauawa kisa Mtu anayeng'ang'ania madaraka? Au unaua watu ili uendelee kujilimbikizia mali? Kweli mwenyezi Mungu hawezi kujibu haya mapema tu? Mungu wasaidie Watanzania wanyonge na Nchi yao ibaki salama. Amen.
 
Back
Top Bottom