Pre GE2025 Kwa hili la Ali Kibao hakuna yoyote ndani ya CHADEMA aliye salama!

Pre GE2025 Kwa hili la Ali Kibao hakuna yoyote ndani ya CHADEMA aliye salama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ipo siku watakufikia... Na umma utakuuliza maswali.
Hakuna mtu anapenda kuona mwenzake ananyan’gwa maisha yake kirahisi.

Shida ni kwamba ni rahisi sana kuwaaminisha chochote watu wasio na utamaduni wa kuuliza maswali.

Yaani watu wanafanya tukio la uhalifu mbele ya mashahidi luluki.

Halafu mwili wanautupa eneo ambalo ni rahisi mwili kuonekana na wapita njia.

Na amuoni sababu ya kuuliza serikali gani duniani inayotafuta support ya wananchi inaweza kufanya mambo ya hovyo hadharani hivyo.

Hilo genge la wahuni wanafanya hivyo kwa sababu mmeshajimisha kama jamii (bila ya kuuliza) muhusika ni serikali tu.
 
Kuna documentary moja niliwahi ona miaka ya nyuma inafuatilia recruitment process ya CIA ‘intelligence analysts’.

Moja ya recruitment process ni kuzuia attacks based on limited info. Scenario ilikuwa kuna kundi linampango wa kwenda kuweka sumu kwenye NY water supply.

Vikundi vinavyoshukiwa kulikuwa na known terrorists group kadhaa ambazo zinajulikana na ahadi zao za ku-attack, na wengine ambao ambao wanashukiwa lakini hawana historia ya violent.

Kwenye hiyo excercise kulikuwa na watu kama 60 wamepewa masaa mawili. Kati yao ni wawili tu ndio walipatia, wahusika walikuwa ni small environment group ambao wameanza kuwa radical kwenye movement zao.

Uwezi kumnyooshea mtu kidole kirahisi kwa taarifa za juu juu fulani anahusika 100% bila ya kuweka possibilities watu wengine wenye nia ovu wanaweza fanya kitu hiko hiko.
 
ccm hivi viburi mtavilipa hata kwa damu
Toka lini serikali ikapindisha sheria kwa CCM au asiye CCM?

Serikali ya CCM ishawafunga mpaka mawaziri wake, au ulikuwa bado upo shule ya chekechea?
 
Hakuna mtu anapenda kuona mwenzake ananyan’gwa maisha yake kirahisi.

Shida ni kwamba ni rahisi sana kuwaaminisha chochote watu wasio na utamaduni wa kuuliza maswali.

Yaani watu wanafanya tukio la uhalifu mbele ya mashahidi luluki.

Halafu mwili wanautupa eneo ambalo ni rahisi mwili kuonekana na wapita njia.

Na amuoni sababu ya kuuliza serikali gani duniani inayotafuta support ya wananchi inaweza kufanya mambo ya hovyo hadharani hivyo.

Hilo genge la wahuni wanafanya hivyo kwa sababu mmeshajimisha kama jamii (bila ya kuuliza) muhusika ni serikali tu.
Mkuu nchi hii hatujafikia hatua ya watu kutekwa ovyo na vikosi vinavyotumia magari ya serikali!
Kama kungekuwa na waasi rasmi kama DR Congo ni rahisi kuamini unachokisema.
 
Mkuu nchi hii hatujafikia hatua ya watu kutekwa ovyo na vikosi vinavyotumia magari ya serikali!
Kama kungekuwa na waasi rasmi kama DR Congo ni rahisi kuamini unachokisema.
Kiongozi, hiyo nchi kuna watu serikalini ni mafia kweli kweli na wana roho za kikatili ukiingia kwenye 18 zao.

Umesahau yule mzungu wa uchunguzi wa kiini cha biashara ya meno tembo Tanzania walipoona anawakaribia tu, si walimpiga risasi mchana kweupe.

Hayo mauaji ya mzee Kibao yanaweza kuwa na interesting party kadhaa, sio kuhitimisha ni fulani kwa kufuata leading statements za CDM tu.

Umeshajiuliza Msigwa alikuwa anajua hizo habari za Mzee Kibao toka akiwa CDM au kapewa akiwa nje.

Iwapo kweli mzee Kibao alikuwa anahusika na utekaji na kuna washiriki wake ambao wana lengo ya kuichafua tu serikali bado wapo serikalini huku ni powerful. Uoni ili kundi wanaweza kuwa na sababu ya kukata trail yao kwa kumuondoa marehemu. Sasa hawa watu si wanaweza pata tu gari za serikali.

Ni hivi tuwe na open mind kwenye hii situation.
 
Kiongozi, hiyo nchi kuna watu serikalini ni mafia kweli kweli na wana roho za kikatili ukiingia kwenye 18 zao.

Umesahau yule mzungu wa uchunguzi wa kiini cha biashara ya meno tembo Tanzania walipoona anawakaribia tu, si walimpiga risasi mchana kweupe.

Hayo mauaji ya mzee Kibao yanaweza kuwa na interesting party kadhaa, sio kuhitimisha ni fulani kwa kufuata leading statements za CDM tu.

Umeshajiuliza Msigwa alikuwa anajua hizo habari za Mzee Kibao toka akiwa CDM au kapewa akiwa nje.

Iwapo kweli mzee Kibao alikuwa anahusika na utekaji na kuna washiriki wake ambao wana lengo ya kuichafua tu serikali bado wapo serikalini huku ni powerful. Uoni ili kundi wanaweza kuwa na sababu ya kukata trail yao kwa kumuondoa marehemu. Sasa hawa watu si wanaweza pata tu gari za serikali.

Ni hivi tuwe na open mind kwenye hii situation.
Siri ya wazi ni kuwa serikali imehusika!
Hao wengine wanaouliwa na wauaji hawapatikani ni ishara kwamba wana godfathers serikalini.

Hivyo hoja kuu hapa ni kuwa mfumo wa Serikali unadhulumu uhai wa wananchi wake.
Haya mengine ni kujaza servers tu!
 
Siri ya wazi ni kuwa serikali imehusika!
Hao wengine wanaouliwa na wauaji hawapatikani ni ishara kwamba wana godfathers serikalini.

Hivyo hoja kuu hapa ni kuwa mfumo wa Serikali unadhulumu uhai wa wananchi wake.
Haya mengine ni kujaza servers tu!
Juzi NY wamekamata mtandao wa polisi unaojihusisha na unaojiusisha na mambo haramu ya mtaani. Ina maana hayo ni matendo ya NYPD nzima?

Ni hivi matendo ya serikali yana baraka za kutoka juu ikibidi wafanye cover up. Kuwa na god father ndani ya serikali mwenye mtandao wake wa kufanya uhuni hayo sio matendo ya serikali bali ya kikundi cha wahuni waliojificha serikalini.
 
Tatizo wanaongea sana na kutusaliti sana mfano leo kulikuwa na haja gani mbowe kutuliza watu wenye hasira si angeecha tu dunia ikapata ujumbe
 
Back
Top Bottom