Pre GE2025 Kwa hili la Ali Kibao hakuna yoyote ndani ya CHADEMA aliye salama!

Pre GE2025 Kwa hili la Ali Kibao hakuna yoyote ndani ya CHADEMA aliye salama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Walisemaga wajuvi wa mambo kwamba
If you think hard enough problems could always be solved, but you had to think and think and think and then remember !
We use our memories to solve our problems and overcome uncertainties, what you see, listen and learn is saved in you, a human has a storage capacity of 2.5 Pera bytes no computer has that storage capacity.

To overcome uncertainty your brain interprets the memories, (what you have saved) and come up with solutions in case you saved nothing relating to the solution required then we go to our friends and find solutions to our problems, the point is this, uncertainty makes us think wild, thus come up with new solutions, (creation) or innovation uncertainty is catalyzed by people deliberately or without their knowledge
 
s
Wanatengeneza hiyo narrative wao wenyewe.

Kwa wapenzi wa vipindi vya FBI files, Murder Comes to town and the likes.

Kikubwa kwenye uchunguzi hasa palę penye pattern ni motive ya muhusika.

Lipo wazi utekaji wa wanachama wa CDM suspect number one ni uongozi wa CDM kwa wafuatiliaji wa vipindi ‘real life crime’.
stupid skunk
 
We use our memories to solve our problems and overcome uncertainties, what you see, listen and learn is saved in you a human has a storage capacity of 2.5 Pera bytes no computer has that storage capacity. To overcome uncertainty your brain interprets the memories, (what you have saved) and come up with solutions in case you saved nothing relating to the solution required then we go to our friends and find solutions to our problems, the point is this, uncertainty makes us think wild, thus come up with new solutions, (creation) or innovation uncertainty is catalyzed by people deliberately or without their knowledge
Elimu kubwa hii 🙌🙌🙏🙏
 
Lawama za utekaji na mauaji kwa wapinzani wakati wa awamu ya tano zote zilielekezwa Magufuli, sasa tutende haki kwa kuzielekeza lawama utekaji na mauaji yanayoendelea kwa kasi kubwa awamu hii kwa Samia bila kupepesa macho.
 
umenikumbusha Hivi huyo mhanga kapona, kupigwa risasi kichwani siyo kitu cha mchezo
Huyo sstiva ni kuliko superman, kalona risasi za kichwa, kapona na wanyama wote wakali. Alioitengeneza hiyo drama alikuwa mlevi.

Na wajinga ndiyo waliwao wameingia kichwa kichwa.
 
Wewe wachana na mma Samia, serikali inajuwa wapi pakuanzia na wapi pakumalizia huu uchunguzi.

Msione watu wajinga.
Wewe, wacha kuzungusha maneno, Serikali yenyewe inahusika, haiwezikujichunguza yenyewe.

Na Samia hatuwezi kumwacha kumtajataja kwenye saga hili kwa sababu yeye ndiye kiongozi mkuu wa Serikali hii, anahusika moja kwa moja kiuwajibikaji.
 
Lawama za utekaji na mauaji kwa wapinzani wakati wa awamu ya tano zote zilielekezwa Magufuli, sasa tutende haki kwa kuzielekeza lawama utekaji na mauaji yanayoendelea kwa kasi kubwa awamu hii kwa Samia bila kupepesa macho.
Kuna watu wengine humu hadi ninao waheshimu sana, lakini nashangaa likija suala la kuwekana wazi kuusema ukweli ili kumtaja mhusika #1 wa kutupiwa lawama hii kuwa ni Samia, wanaingiwa na bias, sijui uoga, mahaba ya uCcm ama nini sijui!

Utakuta wanamtetea kwa hoja kuwa eti kuna watu wanamharibia!

Logic za kitoto sana hizi kuwahi kuzisikia na ninashangaa kuona kuwa kuna watu wazima wasioelewa uwajibikaji wa pamoja wa Serikali namna unavyofanya kazi, kuweza kumtetea Samia kwenye kashifa hii.
 
Wengine ndio kwanza tumelisikia jina lake baada ya kufanyiwa huo unyama. Lissu alijulikana kwa ukali wa hoja zake na misimamo ndio maana wakataka kumuua.

Huyu RIP anaweza kuwa ameuwawa kwa sababu zipi za kisiasa?, wengine ndio kwa mara ya kwanza tunalisia jina lake.
 
Huyo sstiva ni kuliko superman, kalona risasi za kichwa, kapona na wanyama wote wakali. Alioitengeneza hiyo drama alikuwa mlevi.

Na wajinga ndiyo waliwao wameingia kichwa kichwa.

Kalona ❌ Kapona ✅

Sstiva ❌ Sativa ✅

Alioitengeneza ❌ Aliyeitengeneza ✅
 
Wewe wachana na mma Samia, serikali inajuwa wapi pakuanzia na wapi pakumalizia huu uchunguzi.

Msione watu wajinga.

Wachana ❌ Achana ✅

Mma ❌ Mama ✅

Inajuwa ❌ Inajua ✅

Pakumalizia ❌ Pa kumalizia ✅
 
Huyo sstiva ni kuliko superman, kalona risasi za kichwa, kapona na wanyama wote wakali. Alioitengeneza hiyo drama alikuwa mlevi.

Na wajinga ndiyo waliwao wameingia kichwa kichwa.
ccm hivi viburi mtavilipa hata kwa damu
 
Back
Top Bottom