Pre GE2025 Kwa hili la Ali Kibao hakuna yoyote ndani ya CHADEMA aliye salama!

Pre GE2025 Kwa hili la Ali Kibao hakuna yoyote ndani ya CHADEMA aliye salama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
You're
Wanatengeneza hiyo narrative wao wenyewe.

Kwa wapenzi wa vipindi vya FBI files, Murder Comes to town and the likes.

Kikubwa kwenye uchunguzi hasa palę penye pattern ni motive ya muhusika.

Lipo wazi utekaji wa wanachama wa CDM suspect number one ni uongozi wa CDM kwa wafuatiliaji wa vipindi ‘real life crime’.
You're than a stupid skunk!
 
Wanatengeneza hiyo narrative wao wenyewe.

Kwa wapenzi wa vipindi vya FBI files, Murder Comes to town and the likes.

Kikubwa kwenye uchunguzi hasa palę penye pattern ni motive ya muhusika.

Lipo wazi utekaji wa wanachama wa CDM suspect number one ni uongozi wa CDM kwa wafuatiliaji wa vipindi ‘real life crime’.
Conspiracy theorists, msisahau kwamba ni gari za polisi zilizosimamisha basi. Sijui CDM siku hizi wana magari ya polisi?
 

View: https://m.youtube.com/playlist?list=PLPWADYvG7WEwFb-VHqlXiw9ntvHYOEkoe

Hiyo ni playlist ya murder comes to town ☝️


Then angalia FBI files ☝️tafuta episodes za repeated crimes.

Kwenye kutafuta pattern na motive (mens rea) wahusika wanatafuta sababu.

CCM na Serikali aina sababu ya kutaka na kuuwa sampuli ya wanachama wa CDM wanaotekwa na marehemu.

Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili

Lipo wazi wahusika wa haya matukio ni CDM wenyewe

Sasa police wanawakamata kwenye maandamano wanashindwa kuwakamata kwenye serious crimes kama hizi....!? Nyie Chawa nyie, Mungu nawaona.
 
Hamko salama nyie nyote, Viongozi chukueni tahadhali, chukueni tahadhali na kaeni mtafakari kama chama nini kifanyike? Nini kifanyike?

Usalama wenu ukoje be it Mbowe, Mnyika Heche, Lissu, Lema to mention but a few!

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Sio aliye ndani ya chadema tu Bali watanzania wote hakuna aliye salaama . Kwani chadema sio kabila ni chama cha siasa. Kesho wewe unaweza kudhaniwa ni mwanachadema ukafanyiwa kama hayo ya Ally. Watanzania tuache ujinga wa ubinafusi .
 
Kuna Mambo mawili:
1: Yawezekana Serikali inahusika
2: Yawezekana Kuna kundi la watu wnaichafua Serikali,lakini je?
1: Waziri wa mambo ya Ndani kimya
2: Polisi Kimya
3: Waziri Mkuu kimya
4:Makamu wa Rais kimya
5:Bunge Kimya
6:Rais Kimya
Tafsiri yake nini Sasa?
1:Hatujui la kufanya
2:Tunajua kinachoendelea na kimepangwa,
3:Hali hiyo siyo shida Kwa nchi au kitu Gani?
Kama watu Hawa wanaotekwa ni wahalifu na SERIKALI inahusika,basi wakamatwe Kwa mujibu wa Taratibu,washtakiwe,wskikutwa na hahatia wafungwe.
Kama watu Hawa hawajulikani Serikali ichuke hatua haraka sana kabla ya tabia hii kukua na kuonekana ya Kawaida na watu kuanza kuuana hivyo na kuchafua taswira ya nchi
Sheria mpya ya usalama wa taifa hili ndio lilikuwa lengo lake.
 
Wanatengeneza hiyo narrative wao wenyewe.

Kwa wapenzi wa vipindi vya FBI files, Murder Comes to town and the likes.

Kikubwa kwenye uchunguzi hasa palę penye pattern ni motive ya muhusika.

Lipo wazi utekaji wa wanachama wa CDM suspect number one ni uongozi wa CDM kwa wafuatiliaji wa vipindi ‘real life crime’.
Sheria mpya ya usalama wa taifa ndio imebariki haya. Tulipinga sana sheria ile maana haya yanayofanyika sasa tulijua fika yatatokea kwani yalikuwa yanafanyika sana wakati wa magufuli, lakini kwa sasa yamepewa kinga ya kisheria. Kama unadhani kuna wajinga wa kuwapoteza, basi umechelewa.
 
Kuna Mambo mawili:
1: Yawezekana Serikali inahusika
2: Yawezekana Kuna kundi la watu wnaichafua Serikali,lakini je?
1: Waziri wa mambo ya Ndani kimya
2: Polisi Kimya
3: Waziri Mkuu kimya
4:Makamu wa Rais kimya
5:Bunge Kimya
6:Rais Kimya
Tafsiri yake nini Sasa?
1:Hatujui la kufanya
2:Tunajua kinachoendelea na kimepangwa,
3:Hali hiyo siyo shida Kwa nchi au kitu Gani?
Kama watu Hawa wanaotekwa ni wahalifu na SERIKALI inahusika,basi wakamatwe Kwa mujibu wa Taratibu,washtakiwe,wskikutwa na hahatia wafungwe.
Kama watu Hawa hawajulikani Serikali ichuke hatua haraka sana kabla ya tabia hii kukua na kuonekana ya Kawaida na watu kuanza kuuana hivyo na kuchafua taswira ya nchi
Mkuu umeandika kama haujui mnyororo wa uongozi wa Serikali kweli!

Rais utamuwekaje #6?

Ndiyo maana comment yako imekuwa ndefu saazingine kwa kutokujua huko!

Ungelimuweka #1 basi nadhani uliona utakosa hoja, maana yake hao wengine automatic wangeliondoka kwenye lawama zako na angelibakia #1 ambaye ni yeye.

Na yeye, ndiye yeye kwenye chain of command ya sakata hili, ndiyo maana kwenye taarifa ya saa2 usiku kajibaraguza kulaani kwa mara ya kwanza na kutaka faili la mauaji hayo lifike mezani kwake haraka.

Kunyamaza kwa watu wengine uliowataja ingawa wanajua kwa undani wa jambo hili, hizo ni itifaki za kiserikali na ni lazima wazingatie kulinda vitumbua vyao visirukiwe mchanga.
 
Hamko salama nyie nyote, Viongozi chukueni tahadhali, chukueni tahadhali na kaeni mtafakari kama chama nini kifanyike? Nini kifanyike?

Usalama wenu ukoje be it Mbowe, Mnyika Heche, Lissu, Lema to mention but a few!

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John J. Mnyika alitoa taarifa kwa umma ya Ally Mohammed Kibao kutekwa na kupotezwa > 22:10, September 06, 2024

2. Jeshi la Polisi likatoa taarifa ya kuanza uchunguzi wa Ally Mohammed Kibao kuchukuliwa na kushushwa kwenye basi > 15:37, September 07, 2024

3. Mwili wa Mzee Ally Mohammed Kibao umepatikana eneo la UNUNIO alfajiri na Polisi wakauchukua mwili majira ya saa mbili asubuhi, September 07, 2024
 
Hamko salama nyie nyote, Viongozi chukueni tahadhali, chukueni tahadhali na kaeni mtafakari kama chama nini kifanyike? Nini kifanyike?

Usalama wenu ukoje be it Mbowe, Mnyika Heche, Lissu, Lema to mention but a few!

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Mpaka saa nahisi hii ni kazi ya wasioitakia amani Tanzania, wanatokea wapI au upande upi? Sifahamu.

Tukio nilivyyolisoma linaonsha wazi ni mchezo wa kuigiza ambao ulilenga lawama zote ziiendee serikali.
 
Mkuu umeandika kama haujui mnyororo wa uongozi wa Serikali kweli!

Rais utamuwekaje #6?

Ndiyo maana comment yako imekuwa ndefu saazingine kwa kutokujua huko!

Ungelimuweka #1 basi nadhani uliona utakosa hoja, maana yake hao wengine automatic wangeliondoka kwenye lawama zako na angelibakia #1 ambaye ni yeye.

Na yeye, ndiye yeye kwenye chain of command ya sakata hili, ndiyo maana kwenye taarifa ya saa2 usiku kajibaraguza kulaani kwa mara ya kwanza na kutaka faili la mauaji hayo lifike mezani kwake haraka.

Kunyamaza kwa watu wengine uliowataja ingawa wanajua kwa undani wa jambo hili, hizo ni itifaki za kiserikali na ni lazima wazingatie kulinda vitumbua vyao visirukiwe mchanga.
Hilo la kulazimisha kutajwa sana Rais ndio linaonesha wazi huu ni mchezo uliopangwa kumchafua mama Samia na Serikali yake.
 
Mnaoita Viongozi wameshageukana kuna majoka humu humu kwenye viongozi wenu mnaoita
 
Badala ya kufanya personal attacks.

Ungejibu kwanza hoja zangu on merit na kuonyesha ujinga wangu ulipo.

Lakini kunitukana tu bila ya kuonyesha kwanini huo ni uonevu ambao moderators wanatakiwa kukuchukulia hatua kama wanafanya kazi yao.

Kwenye murder case ‘mens rea’ ni kitu muhimu sana. CCM na serikali haina sababu ya kuteka aina ya watu wanaotekwa CDM.

Wata achieve kitu gani kwa kuteka hao watu. Kwa wapenzi wa real life crime investigation TV series it doesn’t add up,

Na suspect number one ni CDM kuliko CCM na serikali
Unajua kwa nini unatukanwa mkuu?

Hii issue ya kuudhi imetokea siku si nyingi, tangia tukio la Sativa lenye sura hii hii kutokea huko pori la hifadhi la Katavi na hakuna Serikali ilipoonekana kuchukua hatua za maana.

Bahati kijana Sativa alisalimika kifo na kurekodiwa alivyoshuhudia unyambilisi huo na kutaja wahusika na vituo alivyofichwa kwa majina, wahusika ni watumishi wa Serikali.

Sasa bila kuunganisha hiyo cenario katika utetezi wa hoja yako hii utaoga matusi ya aibu ya kutosha.

Watu wana uchungu sana na haya yanayotokea na mfariji wao mkuu alitakiwa awe Rais mwenyewe kuonesha anajali kwa kuchukua hatua madhubuti kukomesha.

Hayo mauchunguzi yako ya ki F.B.I hayana uhalisia wowote katika mazingira haya kwa sababu zozote zile, maana jambo lipo wazi hili.

Sasa unapoonekana kuikingia kifua Serikali iliyofeli kiuwajibikaji kwa utetezi wa kimkakati wa aina yoyote katika sakata hili, utaonekana kama ni chawa asiyejitambua, mtu usiyeguswa na madhila ya wengine.
 
Unajua kwa nini unatukanwa mkuu?

Hii issue ya kuudhi imetokea siku si nyingi, tangia tukio la Sativa lenye sura hii hii kutokea huko pori la hifadhi la Katavi na hakuna Serikali ilipoonekana kuchukua hatua za maana.

Bahati kijana Sativa alisalimika kifo na kurekodiwa alivyoshuhudia unyambilisi huo na kutaja wahusika na vituo alivyofichwa kwa majina, wahusika ni watumishi wa Serikali.

Sasa bila kuunganisha hiyo cenario katika utetezi wa hoja yako hii utaoga matusi ya aibu ya kutosha.

Watu wana uchungu sana na haya yanayotokea na mfariji wao mkuu alitakiwa awe Rais mwenyewe kuonesha anajali kwa kuchukua hatua madhubuti kukomesha.

Hayo mauchunguzi yako ya ki F.B.I hayana uhalisia wowote katika mazingira haya kwa sababu zozote zile, maana jambo lipo wazi hili.

Sasa unapoonekana kuikingia kifua Serikali iliyofeli kiuwajibikaji kwa utetezi wa kimkakati wa aina yoyote katika sakata hili, utaonekana kama ni chawa asiyejitambua, mtu usiyeguswa na madhila ya wengine.
Wewe nae umeuamini mchezo wa kuigiza wa Sativa?
 
Wanaweza fanikiwa kutengeneza hofu sawa, lakini cha ajabu akili ya mwanadamu unapo msababishia changamoto ndipo alikiri yake huwezi kutafuta suluhisho , uncertainty is catalyzed by people deliberately or without their knowledge,ukinisababishia changamoto naamsha ubongo nafikiri zaidi, binadamu ana akili sana lakini binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri
Walisemaga wajuvi wa mambo kwamba
If you think hard enough problems could always be solved, but you had to think and think and think and then remember !
 
Alluta continue. Sisi Rombo hatuna mpango na CCM serikali ya CCM imeshindwa kutuambia alipo Ben saanane, akwilina aliuawa, Joshua aliyefia Israel, tuna uchungu na watoto wetu. Na Tanga waikatae CCM kwa mauaji ya mwana Tanga mwenzao, na maeneo mengineyo ambayo wapendwa wao wamepotea na serikali imekaa kimya waikatae CCM.
 
Back
Top Bottom