Kwa hili la Bandari nipo 'Neutral' kwa mtazamo ufuatao

Kwa hili la Bandari nipo 'Neutral' kwa mtazamo ufuatao

4. Msemaji wa Serikali badala ya Kuelezea Kiundani muda mwingi anautumia Kufoka. Kukosoa na kutuonyesha Watanzania kuwa hana Akili

😀😀😀😀😀😀😀
 
Leo umeweka chupa za k-vant pembeni ukaandika kisomi na kiakili mno.
 
Utakosaje msimamo katika suala nyeti namna hii??.

Ngoja nikusaidie kukutafutia msimamo kulingana na hoja zako nzuri zenye mizania ya merits and demerits, msimamo ni kwamba mpango wote kuhusu kubinafsisha bandari zetu umejaa mashaka na mizengwe hivyo usitishwe na uuanzwe upya kwa uwazi, and that is for the benefit of doubts.
Mchakato juu ya huu Mkataba uanze upya na uhusishe Watanzania Wote
Mbona kaliandika hilo.
 
Mtazamo Chanya...

1. Bandari itaboreshwa
2. Ufanisi Kuongezeka
3. Biashara Kuimarika
4. Maslahi juu kwa Wafanyakazi
5. Huduma yao itavutia nchi nyingi Jirani
6. Mapato Kuongezeka
7. Urasimu Kupungua

Mtazamo Hasi

1. Mkataba kutokuwa na Ukomo ni Hatari kwa wenye Bandari
2. Vipengele vinachojichanganya Kimaelezo vinaleta Wasiwasi
3. Kwanini hakukuwa na Mchakato mrefu unaohusisha hata Wananchi ili Kuuelewa?
4. Msemaji wa Serikali badala ya Kuelezea Kiundani muda mwingi anautumia Kufoka. Kukosoa na kutuonyesha Watanzania kuwa hana Akili
5. Tunatulizwa kuwa DP World wako hadi Uingereza ila hatuambiwi kwanini katika Mataifa mengine Wameshindwa
6. Wanasiasa kuingilia Kutetea Mpango huu kunaongeza Shaka kuwa huenda tatizo halipo tu katika Mkataba na DP World bali hata Akili za Wanasiasa Wetu ( hasa Wabunge wa CCM ) nazo zina tatizo
7. Spika wa Bunge kutumia muda mwingi Kuvitishia Vyombo vya Habari vya Tanzania juu ya Kuandika kuhusu huu Mkataba wa DP World na Bandari yetu kunaonyesha kuwa huenda Mihimili Mikubwa miwili imeshalainishwa Kifedha na Waarabu ili Kuuza Rasilimali za Watanzania na Watanzania wenyewe

Nini Kifanyike?

1. Mchakato juu ya huu Mkataba uanze upya na uhusishe Watanzania Wote
2. Lugha ya huu Mkataba iwe ya Kiswahili ili hata tusiojua Kiingereza akina GENTAMYCINE tuuelewe
3. Watanzania tuwe Wavumilivu juu ya Ufadanuzi utakaolewa
4. Wanasiasa na Wabunge wasiwe Wasemaji Wakuu wa hili bali Wataalam wasio na upande ndiyo Wasikilizwe
5. Rais, Waziri na Msemaji wa Serikali wasione Aibu kuwaomba Radhi Watanzania juu ya hii Sintofahamu inayoelekea kuzaa Chuki na Hasira kwa Wadau na Wananchi
6. Tubakie na Utanzania Wetu na kamwe tusianze Kubaguana Kimakabila na Kijiografia kwani Sisi sote ni Watanzania
7. Wale Wanaotetea huu Mkataba wa DP World wasionekane ni Maadui kwani nao wana Hoja mahala lakini pia na wale ambao Wanaukosoa huu Mkataba wasipuuzwe, wasidharauliwe bali Hoja zao nazo zipimwe kisha kwa upamoja Wao kupatikane muafaka thabiti ya huu Uwekezaji wa hawa DP World kama Wawekeze au Wasiwekeze.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ubariki Mtandao huu wa JamiiForums
Mungu Mbariki mno GENTAMYCINE

AMINA.
Mkuu umeongea vizuri Sana ishu inakuja kwenye terms zahuo mkataba ndipo tunaona niheri bandari zibaki chini yanchiyetu
 
Mtazamo Chanya...

1. Bandari itaboreshwa
2. Ufanisi Kuongezeka
3. Biashara Kuimarika
4. Maslahi juu kwa Wafanyakazi
5. Huduma yao itavutia nchi nyingi Jirani
6. Mapato Kuongezeka
7. Urasimu Kupungua

Mtazamo Hasi

1. Mkataba kutokuwa na Ukomo ni Hatari kwa wenye Bandari
2. Vipengele vinachojichanganya Kimaelezo vinaleta Wasiwasi
3. Kwanini hakukuwa na Mchakato mrefu unaohusisha hata Wananchi ili Kuuelewa?
4. Msemaji wa Serikali badala ya Kuelezea Kiundani muda mwingi anautumia Kufoka. Kukosoa na kutuonyesha Watanzania kuwa hana Akili
5. Tunatulizwa kuwa DP World wako hadi Uingereza ila hatuambiwi kwanini katika Mataifa mengine Wameshindwa
6. Wanasiasa kuingilia Kutetea Mpango huu kunaongeza Shaka kuwa huenda tatizo halipo tu katika Mkataba na DP World bali hata Akili za Wanasiasa Wetu ( hasa Wabunge wa CCM ) nazo zina tatizo
7. Spika wa Bunge kutumia muda mwingi Kuvitishia Vyombo vya Habari vya Tanzania juu ya Kuandika kuhusu huu Mkataba wa DP World na Bandari yetu kunaonyesha kuwa huenda Mihimili Mikubwa miwili imeshalainishwa Kifedha na Waarabu ili Kuuza Rasilimali za Watanzania na Watanzania wenyewe

Nini Kifanyike?

1. Mchakato juu ya huu Mkataba uanze upya na uhusishe Watanzania Wote
2. Lugha ya huu Mkataba iwe ya Kiswahili ili hata tusiojua Kiingereza akina GENTAMYCINE tuuelewe
3. Watanzania tuwe Wavumilivu juu ya Ufadanuzi utakaolewa
4. Wanasiasa na Wabunge wasiwe Wasemaji Wakuu wa hili bali Wataalam wasio na upande ndiyo Wasikilizwe
5. Rais, Waziri na Msemaji wa Serikali wasione Aibu kuwaomba Radhi Watanzania juu ya hii Sintofahamu inayoelekea kuzaa Chuki na Hasira kwa Wadau na Wananchi
6. Tubakie na Utanzania Wetu na kamwe tusianze Kubaguana Kimakabila na Kijiografia kwani Sisi sote ni Watanzania
7. Wale Wanaotetea huu Mkataba wa DP World wasionekane ni Maadui kwani nao wana Hoja mahala lakini pia na wale ambao Wanaukosoa huu Mkataba wasipuuzwe, wasidharauliwe bali Hoja zao nazo zipimwe kisha kwa upamoja Wao kupatikane muafaka thabiti ya huu Uwekezaji wa hawa DP World kama Wawekeze au Wasiwekeze.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ubariki Mtandao huu wa JamiiForums
Mungu Mbariki mno GENTAMYCINE

AMINA.

Good [emoji106]
 
Mkuu upo sahihi sana, nakuunga mkono hili.

Wataalamu wa masuala ya Bandari wangeusika awali na ungefanyika utafiti na kuweka mapungufu ya bandari yetu na sehemu za kuboresha.

Wamefanya sana makosa kupeleka wabunge na waandishi wa habari kisha kutupa mrejesho wa kusapoti, hawa waandishi wa habari kila meli ikija wanaweka cover page na kuandika meli kubwa imevunja rekodi kuingia bandari ya Dar
 
Nikifanya resembling na kiwanda cha karatasi mgololo naomba ifanye nikutabilie yafuatayo pale bandarini
1. Bandari itaboreshwa.
2. Ufanisi kuongezeka japo si kwa kiwango kinacho tuhusu tutaona tuu kwenye picha
3. Biashara ya muarabu itaimarika
4. Maslahi ya chini mno kwa wafanyakazi. Hii itapelekea wafanyakazi robo tuu kubakishwa kazini kwani wengi wao watafukuzwa na nafasi zao kushikiliwa na mitambo, vibarua na waarabu. Bandari itakuwa utumwani na wanawake watanyanyasuka kingono.
5. Huduma itafurahisha nchi jirani.
6. Mapato kwa DP word yatapanda. Mapaato binafsi ya mafisadi yatapanda. Ila mapato ya serikali yatashuka mnooooooo. Hakutakuwa na TRA pale bandarini wala ukaguzi wa mizigo.
7. Urasimu hauto kuwepo.
Kwa nyongeza....
8. Usalama wa nchi utakuwa matatani.
9. Kuna ka harufu ka udini pale bandalini.
Natanguliza shukrani
 
Asante Mkuu wangu.
Huwezi kula keki keki uliyonayo halafu hapo hapo ibaki vile vile bila kupungua. Haya unayoelezea yote hapa hayawezekani na ndiyo maana mambo yanafanyika gizani. Nakuhakikishia kuwa ingekuwa inawezekana wala basi Samia and Co wangekuwa wa kwanza kuyafanya na ingekuwa ni nafasi nzuri mno ya kujipatia ujiko. Haiwezekani kwa sabu waarabu hawawezi kufanya ''upumbavu'' kama huu. Waarabu wanakuja kuchuma na siyo kusaidia nchi za wengine. Yaani unataka watumie mabilini hayo ya dola ili waje kudunduliza kidogo kidogo eti ili na nyie mnufaike? Mpaka pale sisi ngozi nyeusi tutakapoelewa kuwa no free lunch ndiyo tutaacha kutegemea watu waje watujengee nchi yetu.
Verdict: Kuwa neutral kwenye issue iliyo wazi namna hii ni ujinga wa hali ya juu na kutokaka kusumbua kichwa chako kwa tafakari.
 
Ushauri wangu.
1. Tungeweza kupeleka mtaji mkubwa sana pale bandarini. Hata kuajili skilled workers kutoka foreign. Wahindi wanafanya vizuri kwenye kazi zote na wajapani wapo vizuri kwenye mambo ya bandari.
2. Kama hatuna fedha za kutosha tungetafuta investors kwenye vitengo vinavyo tusumbua tuu. Mfano tungetafuta kampuni itakayo tusaidia kwenye masuala ya upokeaji mizigo. Tungetafuta kampuni ya IT ambao wanafanya vizuri kwenye Tehama kwaajili ya kuingiza mifumo ya Tehama pale bandarini
 
Hili jambo sio la kuwa neutral hata kidogo, hii ni dalili ya woga na kujipendekeza.

Hawa watu hawana malengo mazuri na Rasilimali zetu hatupaswi kuzungumza nao kwa lugha ya kidiplomasia.

Inatupasa kuwa wakali ili kuwapa ujumbe kuwa walichokifanya ni makosa.
 
Mkuu upo sahihi sana, nakuunga mkono hili.

Wataalamu wa masuala ya Bandari wangeusika awali na ungefanyika utafiti na kuweka mapungufu ya bandari yetu na sehemu za kuboresha.

Wamefanya sana makosa kupeleka wabunge na waandishi wa habari kisha kutupa mrejesho wa kusapoti, hawa waandishi wa habari kila meli ikija wanaweka cover page na kuandika meli kubwa imevunja rekodi kuingia bandari ya Dar
Kwa taarifa yako: Wamefanya walivyofanya kwa sababu wangehusisha wananchi na wataalam basi waarabu wasingekubaliana na masharti ambayo wangepewa. Hivi unadhani serikali ya Samia inge-risk mambo kiasi hiki, na itumie kila aina ya ghilba ilhali kulikuwa na njia nyingine nzuri ya kulifanikisha hili jambo?
 
Kwa taarifa yako: Wamefanya walivyofanya kwa sababu wangehusisha wananchi na wataalam basi waarabu wasingekubaliana na masharti ambayo wangepewa. Hivi unadhani serikali ya Samia inge-risk mambo kiasi hiki, na itumie kila aina ya ghilba ilhali kulikuwa na njia nyingine nzuri ya kulifanikisha hili jambo?
Na wanaweza wakaipitisha hata tukipinga maana wao ndio last say
 
Mtazamo Chanya...

1. Bandari itaboreshwa
2. Ufanisi Kuongezeka
3. Biashara Kuimarika
4. Maslahi juu kwa Wafanyakazi
5. Huduma yao itavutia nchi nyingi Jirani
6. Mapato Kuongezeka
7. Urasimu Kupungua

Mtazamo Hasi

1. Mkataba kutokuwa na Ukomo ni Hatari kwa wenye Bandari
2. Vipengele vinachojichanganya Kimaelezo vinaleta Wasiwasi
3. Kwanini hakukuwa na Mchakato mrefu unaohusisha hata Wananchi ili Kuuelewa?
4. Msemaji wa Serikali badala ya Kuelezea Kiundani muda mwingi anautumia Kufoka. Kukosoa na kutuonyesha Watanzania kuwa hana Akili
5. Tunatulizwa kuwa DP World wako hadi Uingereza ila hatuambiwi kwanini katika Mataifa mengine Wameshindwa
6. Wanasiasa kuingilia Kutetea Mpango huu kunaongeza Shaka kuwa huenda tatizo halipo tu katika Mkataba na DP World bali hata Akili za Wanasiasa Wetu ( hasa Wabunge wa CCM ) nazo zina tatizo
7. Spika wa Bunge kutumia muda mwingi Kuvitishia Vyombo vya Habari vya Tanzania juu ya Kuandika kuhusu huu Mkataba wa DP World na Bandari yetu kunaonyesha kuwa huenda Mihimili Mikubwa miwili imeshalainishwa Kifedha na Waarabu ili Kuuza Rasilimali za Watanzania na Watanzania wenyewe

Nini Kifanyike?

1. Mchakato juu ya huu Mkataba uanze upya na uhusishe Watanzania Wote
2. Lugha ya huu Mkataba iwe ya Kiswahili ili hata tusiojua Kiingereza akina GENTAMYCINE tuuelewe
3. Watanzania tuwe Wavumilivu juu ya Ufadanuzi utakaolewa
4. Wanasiasa na Wabunge wasiwe Wasemaji Wakuu wa hili bali Wataalam wasio na upande ndiyo Wasikilizwe
5. Rais, Waziri na Msemaji wa Serikali wasione Aibu kuwaomba Radhi Watanzania juu ya hii Sintofahamu inayoelekea kuzaa Chuki na Hasira kwa Wadau na Wananchi
6. Tubakie na Utanzania Wetu na kamwe tusianze Kubaguana Kimakabila na Kijiografia kwani Sisi sote ni Watanzania
7. Wale Wanaotetea huu Mkataba wa DP World wasionekane ni Maadui kwani nao wana Hoja mahala lakini pia na wale ambao Wanaukosoa huu Mkataba wasipuuzwe, wasidharauliwe bali Hoja zao nazo zipimwe kisha kwa upamoja Wao kupatikane muafaka thabiti ya huu Uwekezaji wa hawa DP World kama Wawekeze au Wasiwekeze.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ubariki Mtandao huu wa JamiiForums
Mungu Mbariki mno GENTAMYCINE

AMINA.
Uko vizuri. Pia asipewe bandari zote za Tanzania. Apewe bandari ya dar. Zile za Yanga na mtwara zibaki mikononi mwa watanzania.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa yako: Wamefanya walivyofanya kwa sababu wangehusisha wananchi na wataalam basi waarabu wasingekubaliana na masharti ambayo wangepewa. Hivi unadhani serikali ya Samia inge-risk mambo kiasi hiki, na itumie kila aina ya ghilba ilhali kulikuwa na njia nyingine nzuri ya kulifanikisha hili jambo?
Daah wee nimtanzania kweli au mkataba hujausomaa
 
Back
Top Bottom