Kwa hili la Bandari nipo 'Neutral' kwa mtazamo ufuatao

Na wanaweza wakaipitisha hata tukipinga maana wao ndio last say
Hili ni wazi kabisa. Ila nakuhakikisha hata wakipisha (na likely ndiyo itakavyokuwa) basi itakuwa ni mwanzo wa Tanzania kuingia kwenye zama mpya..... Jambo linalofanyika kwa nguvu na rushwa namna hii halina future nzuri. Na zaidi, kupitisha mkataba kama huu siyo kuwa ndiyo mwisho wa mambo. Mkaburu na kujenga kote waliondoka iwe kuja hawa waarabu?
 
Yaaah mim kwahili Nipo tayarii ikibidi HATA damu zimwagike maana Tanzania wogaa huwa unatuponza Sana hamna taifa lililo endelea kwaamani
 
Tatizo wanaotetea ..badala ya kufafanua wao wanafoka ,hii pekee hata Mimi ambaye sijasoma kinayia mashaka kuwa hili ni bomu!
 
Daah wee nimtanzania kweli au mkataba hujausomaa
Rudia kusoma nilichandika. Najua nchi yetu tuna changamoto ya watu kusoma kwa ufahamu. Watu wengi hawaelewi hata wakisoma. Kwa kifupi nimesema mkataba ni mbaya kuliko shetani na haufai kabisa lakini umefanywa hivi kwa sababu hakuna mtu anayekuja kukujengea nchi yako wakati wewe umekaa kwenye kiti cha uvivu.
 
Makaburu waliondika wapi aisee!?
 
Bandari ni shamba la bibi, hao nao watabeba mali asili zetu na madini kuhamishia nchi zao kupitia bandarini, wapo huru sasa.

Kuirudisha bandari itabidi mtutu utumike japo itakuwa miaka mingi ijayo.
 
So sorry nliskim but ulichokianfika nisawa Sana mkuu Sasa wasomi tunao wategemea selkalin akiwemo ni speaker wa bunge lakin daaaah so hurt yani
 
Watu wenye akili washashtukia Jambo
Kuna kampeni ya kumchafua Rais na kuweka vipengele vya uongo..
Duniani hakunaga mkataba usio na kikomo......akili ya kawaida Tu inakwambia Dpworld wasingeweza kusaini mkataba wa utata waanze kuwekeza huku wanajua Tanzania hakuna Rais wa milele....kila mara kuna uchaguzi
 
Tumia akili Basi daaa kwasababu raisi kile nicheo naanavotoka nyalaka anaziacha inaonekana watanzania wengi wanaelewa kama wew ndiomana hawalipi uzito hili swala kasome mkataba alafu uje namajibu then nenda kwenye katiba uone principle of sabrogation ili ujue raisi ajae ataingiaje kwenye mkataba ambao hakuusain yeye
 

Hongera umeandika vizuri na umechambua kwa weledi
Ila penye kila neno Tanzania ungeweka Tanganyika ingependeza zaidi.Asante
 

Nyongeza tuu
Kuna mikataba mingapi imesainiwa na marais waliopita kuivunja ni shida?
Sijui watu huwa wanajitoa ufahamu?
 
Nyongeza tuu
Kuna mikataba mingapi imesainiwa na marais waliopita kuivunja ni shida?
Sijui watu huwa wanajitoa ufahamu?
Kunamikataba inatutesa mbaka leo wakulima wananyang'anywa mashambayao yaliyomo maeneo yamigodi kisa mikataba yakipumbavu hii ilikua starting point kwawatanzania kwan viongozi wanaona wanaongoza watu wasio naakili Ivo wanaamua mambo kilahisi sanaaa
 
Tanzania ni nchi ambayo hata kama unawachapa raia wake viboko ila unalipa kodi basi ruhsa yaani ukilipa kodi unaweza fanya chochote kile.
 
Mimi nashauri mikataba ya uwekezaji iwe inajadiliwa na wabobezi wa Sheria ( TLS) na sio wabungeni ambao wabunge wengi hanawa uelewa wa mambo ya mikataba ya Sheria!!! Wala mambo ya uwekezaji!!
Mheshimiwa msukuma,lusinde sijawalenga nyie
 
Mimi nashauri mikataba ya uwekezaji iwe inajadiliwa na wabobezi wa Sheria ( TLS) na sio wabungeni ambao wabunge wengi hanawa uelewa wa mambo ya mikataba ya Sheria!!! Wala mambo ya uwekezaji!!
Mheshimiwa msukuma,lusinde sijawalenga nyie
Nikweliiii kabisa ila kumbuka tuna mwanasheria mkuu waserkali pia raisi anamwanasheria wake je wanafanya kazigani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…