Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umejibu kwa uelewa. kuna watu huwa lugha inawasumbua so akisikia hilo neno anafikiria kile ambacho amekaririSi rafiki ake wa kike au?
Ati mama yako awe girlfriend wako?
Kwani girlfriend au boyfriend manake nini? Ukifananisha,imekula kwakoAti mama yako awe girlfriend wako?
Kwanini aseme hivyo? Ni ujinga wangu au uhalisia.. Kasema tu, wewe umetafsiri u jinga wako.
sister nadhani una elimu ya kuunga unga halafu haija kamilika. siku ukiachwa ulee mwanao peke yako ndo utaelewa haya unayoyasema yakoje. bahati nzuri nimelelewa na wazazi wote lakini nikikuta mwanamke anale mtoto peke yake namweshimu pia. wewe leo unaongea haya sababu una mumeo. subiri uje uwe peke yako.Hiki Kizazi cha Vijana waliolelewa na SINGLE MOTHERS ni shida. Enyi kina dada ulizeni kwanza kabla ya kuingia kwenye mahusiano. Kijana wa Kiume aliyelelewa na Single Mother ni kimeo sana, wameanza ooooh kataa Ndoa ili muishi kama mama zao. Mwingine ooooh mama awe girlfriend wangu. Hiii mitoto ni shida tupu
Google.Kwani girlfriend au boyfriend manake nini? Ukifananisha,imekula kwako
nikiwa nazo nitakuwa na mtu ambaye nitamalizana naye instantly.Subiri waje wakuambie ukiwa na genye pia nenda kwa mama yako
Mabibo Sh ngapi vile?Blaza ulichofanya ni kama kushinda Game Ya Away kwa 5-0..Yaani demu anaichukulia Poa Laki?hiyo laki unapata Totoz 2 za Hapo UDSM zinakupa utamu wa kutosha mpka roho yako iridhike,halafu yeye anaona poapoa
Kwanini aseme hivyo? Ni ujinga wangu au uhalisia.
nadhani alikuwa anataka kwenda kushereheka na wenzie.....We ndo mwanaume sasa. Ungekuwa karibu tushee hata Kili 2. Una akili sana. Laki 1??? Nzima nzima? Mganga wake tapeli. Siku tatu tu,anaomba hela? Maamae. Alikuwa ameshapanga out na wahuni wenzake,wanaenda kula kitimoto, pengine ameanza kupiga simu kwamba anajaziajazia. Ila,angekupata,andekuchoma visu
Achana na single maza mkuuJusi nimemnunulia single mama mmoja viatu vya mwanae hata kusema Asante huksema nilitamani ningie chumbani nivitoe hvyo viatu nirudi navyo
Leo ananipigiaa simu pezaza birthday na gauni
Nimemuambia nitamtumia
Kumbe una akili! Mimina kidogo yote usichukue🤣🤣🤣🤣🤣Si rafiki ake wa kike au?