Kwa hili la huyu mpenzi wangu acha pesa zangu ziishie kwa mama tu!

Kwa hili la huyu mpenzi wangu acha pesa zangu ziishie kwa mama tu!

Kwa wenye akili na tunaona mbali tumekuunga mkono..acha na hii ngozi nyeusi ni mashetani
Hapo linajiona lizuliiii. Af sasa usiombe livue viatu. Miguu imepinda na kugeukia kulia na kushoto ka nini. Kucha,hamna. Mitako linayolingia,kumbe ile mitaiti ya sponji. Weupe,limejichubua balaa. Af ya hivyo,unakuta yametumika sana. Bora likauzwe kwenye screpa.
Mganga wa huyu jama bado ana nguvu aise. Umetuma na halijatoa! Likajua huyu fala nimemmaliza! Najalibu kuvuta picha unaomba mchezo! Si ungelipia M nzima kabisa!!!
 
sister nadhani una elimu ya kuunga unga halafu haija kamilika. siku ukiachwa ulee mwanao peke yako ndo utaelewa haya unayoyasema yakoje. bahati nzuri nimelelewa na wazazi wote lakini nikikuta mwanamke anale mtoto peke yake namweshimu pia. wewe leo unaongea haya sababu una mumeo. subiri uje uwe peke yako.
Jifunze kuwaheshimu Wanawake we kiazi, Vaa sura na Moyo wa kiume pamoja na kwamba umelelewa na Mama punguza Umayai mayai na kulia lia kila wakati mamaaaa!
Tatizo mitoto dizaini yako hamkomi kuwaonyesha dushe mama zenu kisa tu mlilelewa kindezi, hata demu akizingua unamweleza mama. Be strong Acha umama
 
Jifunze kuwaheshimu Wanawake we kiazi, Vaa sura na Moyo wa kiume pamoja na kwamba umelelewa na Mama punguza Umayai mayai na kulia lia kila wakati mamaaaa!
Tatizo mitoto dizaini yako hamkomi kuwaonyesha dushe mama zenu kisa tu mlilelewa kindezi, hata demu akizingua unamweleza mama. Be strong Acha umama
Duh! Mna kiporo nini? Mbona kauli nzito hivi!
 
Hiki Kizazi cha Vijana waliolelewa na SINGLE MOTHERS ni shida. Enyi kina dada ulizeni kwanza kabla ya kuingia kwenye mahusiano. Kijana wa Kiume aliyelelewa na Single Mother ni kimeo sana, wameanza ooooh kataa Ndoa ili muishi kama mama zao. Mwingine ooooh mama awe girlfriend wangu. Hiii mitoto ni shida tupu
Shida huja elewa maana yake ka tumia lugha,Ya kisanaa,ukisoma,kisa chake,una elewa.
 
Back
Top Bottom