Kwa hili la huyu mpenzi wangu acha pesa zangu ziishie kwa mama tu!

Kwa wenye akili na tunaona mbali tumekuunga mkono..acha na hii ngozi nyeusi ni mashetani
Hapo linajiona lizuliiii. Af sasa usiombe livue viatu. Miguu imepinda na kugeukia kulia na kushoto ka nini. Kucha,hamna. Mitako linayolingia,kumbe ile mitaiti ya sponji. Weupe,limejichubua balaa. Af ya hivyo,unakuta yametumika sana. Bora likauzwe kwenye screpa.
Mganga wa huyu jama bado ana nguvu aise. Umetuma na halijatoa! Likajua huyu fala nimemmaliza! Najalibu kuvuta picha unaomba mchezo! Si ungelipia M nzima kabisa!!!
 
Jifunze kuwaheshimu Wanawake we kiazi, Vaa sura na Moyo wa kiume pamoja na kwamba umelelewa na Mama punguza Umayai mayai na kulia lia kila wakati mamaaaa!
Tatizo mitoto dizaini yako hamkomi kuwaonyesha dushe mama zenu kisa tu mlilelewa kindezi, hata demu akizingua unamweleza mama. Be strong Acha umama
 
Duh! Mna kiporo nini? Mbona kauli nzito hivi!
 
Shida huja elewa maana yake ka tumia lugha,Ya kisanaa,ukisoma,kisa chake,una elewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…