Kwa hili la huyu mpenzi wangu acha pesa zangu ziishie kwa mama tu!

Kwa hili la huyu mpenzi wangu acha pesa zangu ziishie kwa mama tu!

Safi mkuu ulivyoamua kusepa. Hao wanawake wa hivyo baadaye karma inawatesa.
Ulimi una nguvu sana, mimi kuna mmoja nilishamsaidia akawa hana shukrani na ananitolea maneno ya shombo nikimlalamika juu ya tabia zake, nilimuacha peacefully Karibu 2 yrs ago, hadi leo hajasahau wema wangu ila Sina time wala mawasiliano nae kabisa. Kwakifupi hana furaha ya maisha baada ya kumtema.
 
Iliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina tsh 100,000 nikamtumia. hakusema hata amepokea. akanyamaza tu. ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah. akapokea simu nikamuuliza
"umeona kuna pesa kidogo nimekutumia tsh 100,000". akasema
"nimeona."
nikasubiri hata aseme asante hakusema. akaniambia
" nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo"

Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote.akanijibu "basi baadaye"
Nikaingia kwenye menu yangu ya tigo pesa nikaomba kuirudisha ile pesa. nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa. nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu tsh 20,000. Nikanyamaza. akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo. akasema hapana. hakuna pesa kidogo. akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe. Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000. akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao. nashukuru Mungu akubariki.

Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?

Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua. nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia. nikakata simu. mpaka leo hatuna tena mawasiliano. nime mblock.
Sasa wewe ulitaka kununua K kwa instalment? Kwani alishakumbia kuwa anataka malipo kidogo kidogo? Si alikuwambia ni 150,000 na zilipwe mara moja kwa mkupuo?
 
Huu uzi wako kama kisingekuepo hicho kipengele cha kurudisha muamala, hakyanani ningekutukana matusi yoote ya dunia hii.
Yaan unaichukulia poa Laki?

100,000/= - - -》

- Elfu hamsini sini 2
[kwa famili ya ukubwa wa kawaida kabisaa hii ni bajet ya ges mtungi mkubwa for 2months]
- Elfu kumi kummi 10
[kigeto geto bajet ya nyama 1kg 10 days]
-
Elfu tano tano 20
[Lunch chips kuku kwa 20 days]
- Elfu tatu tatu na ushee 33
[Petrol karibu lita 30 IST inatuliaaa hata week 2 rut za kitown bila mambo mengi]
- Elfu mbili mbil 50
[Kiuswazi breakfast au dinner kwa mama ntilie for 50 days]
- Elfu moja moja 100
[Bajet ya maji makubwa ya kunywa mchana tu kwa miezi mi 3]
- Mia tano tano 200
[Nauli ya dala dala kama mwezi mzima hivi]
 
Blaza ulichofanya ni kama kushinda Game Ya Away kwa 5-0..Yaani demu anaichukulia Poa Laki?hiyo laki unapata Totoz 2 za Hapo UDSM zinakupa utamu wa kutosha mpka roho yako iridhike,halafu yeye anaona poapoa
Mpumbavu sio totoz tu ni salary ya mtu iyo.
 
Huu uzi wako kama kisingekuepo hicho kipengele cha kurudisha muamala, hakyanani ningekutukana matusi yoote ya dunia hii.
Yaan unaichukulia poa Laki?

100,000/= - - -》

- Elfu hamsini sini 2
[kwa famili ya ukubwa wa kawaida kabisaa hii ni bajet ya ges mtungi mkubwa for 2months]
- Elfu kumi kummi 10
[kigeto geto bajet ya nyama 1kg 10 days]
-
Elfu tano tano 20
[Lunch chips kuku kwa 20 days]
- Elfu tatu tatu na ushee 33
[Petrol karibu lita 30 IST inatuliaaa hata week 2 rut za kitown bila mambo mengi]
- Elfu mbili mbil 50
[Kiuswazi breakfast au dinner kwa mama ntilie for 50 days]
- Elfu moja moja 100
[Bajet ya maji makubwa ya kunywa mchana tu kwa miezi mi 3]
- Mia tano tano 200
[Nauli ya dala dala kama mwezi mzima hivi]
[emoji3][emoji3]
 
Iliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina tsh 100,000 nikamtumia. hakusema hata amepokea. akanyamaza tu. ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah. akapokea simu nikamuuliza
"umeona kuna pesa kidogo nimekutumia tsh 100,000". akasema
"nimeona."
nikasubiri hata aseme asante hakusema. akaniambia
" nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo"

Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote.akanijibu "basi baadaye"
Nikaingia kwenye menu yangu ya tigo pesa nikaomba kuirudisha ile pesa. nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa. nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu tsh 20,000. Nikanyamaza. akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo. akasema hapana. hakuna pesa kidogo. akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe. Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000. akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao. nashukuru Mungu akubariki.

Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?

Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua. nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia. nikakata simu. mpaka leo hatuna tena mawasiliano. nime mblock.
Mkuu mama yako Bado ni girl, hazeeki?
 
Iliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina tsh 100,000 nikamtumia. hakusema hata amepokea. akanyamaza tu. ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah. akapokea simu nikamuuliza
"umeona kuna pesa kidogo nimekutumia tsh 100,000". akasema
"nimeona."
nikasubiri hata aseme asante hakusema. akaniambia
" nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo"

Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote.akanijibu "basi baadaye"
Nikaingia kwenye menu yangu ya tigo pesa nikaomba kuirudisha ile pesa. nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa. nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu tsh 20,000. Nikanyamaza. akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo. akasema hapana. hakuna pesa kidogo. akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe. Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000. akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao. nashukuru Mungu akubariki.

Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?

Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua. nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia. nikakata simu. mpaka leo hatuna tena mawasiliano. nime mblock.
Malezi mkuu ulifanya la maana sana hawana shukrani!Kuna jamaa yangu mmoja alifanya hivyohivyo mwanamke alitaka wax,jamaa kamnunulia,mwanamke alianza kukiponda na kuzingua,jamaa kwa hasira kalichukua akampelekea bibi yake mzaa mama!Bibi kafurahi na kumchunjia jamaa bonge la jogoo!Hawajitambui walio wengi!
 
Iliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina tsh 100,000 nikamtumia. hakusema hata amepokea. akanyamaza tu. ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah. akapokea simu nikamuuliza
"umeona kuna pesa kidogo nimekutumia tsh 100,000". akasema
"nimeona."
nikasubiri hata aseme asante hakusema. akaniambia
" nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo"

Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote.akanijibu "basi baadaye"
Nikaingia kwenye menu yangu ya tigo pesa nikaomba kuirudisha ile pesa. nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa. nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu tsh 20,000. Nikanyamaza. akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo. akasema hapana. hakuna pesa kidogo. akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe. Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000. akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao. nashukuru Mungu akubariki.

Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?

Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua. nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia. nikakata simu. mpaka leo hatuna tena mawasiliano. nime mblock.
Mkuu ndio Umegundua leo? Umechelewa sana

Ila na nyie mna jikakamua sana. Sio kila demu mzuri ni wa kutongoza.

Kitendo cha kukuomba Laki na Hamsini kwa muda wa siku tatu tu kingeweza kukuonesha huyo ni Gold- digger.
 
Back
Top Bottom