Kwa hili la Mbowe Marekani na Umoja wa Ulaya wamejitia aibu, ni rasmi sasa kuna kitu wanakitafuta Tanzania

Wewe ni mbumbumbu tu, kila mtu mpaka mtoto wa chekechea anajua kuwa jeshi la polisi linaitumikia CCM na wala siyo jeshi la kuaminika! Mliopata aibu ni ninyi CCM mnaotumia jeshi la polisi kuwatumikia ninyi wahuni
 
Marekani haifanyi kazi kimaandazi kwa hivyo huwezi ona hiyo video unless uwe mhusika wa pale. Wewe kwenye ubalozi wa Marekani una wadhifa gani wa kukufanya upate access ya sensitive information kama hiyo.
Ushangae na wewe sasa mkuu, eti ameona video kwenye ubalozi wa marekani!!! Huku tunako elekea sasa tutaona vituko vingi sana.
 
Tulia dawa iwangieni vizuri dadeeeki
 
wanasema uongo? wamesema tangu 29 haijatolewa taarifa ya mwenendo wa corovid-19, ni uongo? Kumbe nawewe ni wale wale!
Unategemea nini kutoka kwa hao team praise?
 
Tulia dawa iwangieni ili mpone ukichaa wenu
Ukitaka kumdharau mtu, unamwacha tu anajiropokeaaa wewe unaendelea na kazi,

Hawa wathungu wapuuzwe kama Vyama vinavyojipendekeza kwao vinavyozidi kupuuzwa na kila raia
 
Utafika muda hao woote wanao tumika kwa nia hovu watajutia matendo yao maana hiyo ccm kamwe haiwezi kutawala milele
 
Wewe ni mbumbumbu tu, kila mtu mpaka mtoto wa chekechea anajua kuwa jeshi la polisi linaitumikia CCM na wala siyo jeshi la kuaminika! Mliopata aibu ni ninyi CCM mnaotumia jeshi la polisi kuwatumikia ninyi wahuni
Wewe sio mbumbumbu?!
 
Wewe una uwezo gani?
Hili tukio kwa wenye uwezo mzuri wa kufikiri walihoji uwepo wa red brigade, uwepo wa walinzi nyumbani kwa mbowe
Afadhali angesema tu kateleza kuliko kusingizia mambo, Mungu hapendi uongo.
 
Ulisha waona wanakuja Tanzania [emoji1241] na bakuli lao kuwaomba msaada wa fedha ili wakajazie bajeti yao?
 
Hiyo kula yake ya siku ni mashaka makubwa na hajui kesho atakula nini
Wewe akili yako ndogo saana ..mpaka sasa hujajua tu nini Jiwe anakitafuta..jambo la kusikitisha ni kwamba wewe uliyeandika huu upuuzi hata udiwani hutakaa uone....
 
Ukiwa mkosoaji na mshauri wa utawala wenu basi unaitwa msaliti, insane
Mbona tulishawang'amuwa siku nyingi na wataendelea kuumbuka kila siku!! Wanaingizwa chaka kila mara na wasaliti wanaowafadhiri.
 
Ubalozi wa Marekani unayo video ya shambulizi la Mbowe ( nimeiona ) , ukiwekewa utakuwa tayari kuomba radhi ?
Sio ubalozi,sema ulikuwa na Mbowe wakati wa tukio. Na mlikuwa chakari. Bahati wewe ulifanikiwa kukimbia. Ndipo mkatunga kuwa kashambuliwa
 
Mimi sioni kama kulikuwepo sababu za Mbowe kuesema ameshambuliwa uongo, Kwaniyule ni Kiongozii mkubwa tu katika Nchi sasa aseme uongo kwa sababu zipi? Kama alianguka angesema ameanguka mbona Dr slaa alianguka bafuni na ikatangazwa kuwa ameanguka bafuni, Kwanini mbowe aanguke halafu aseme ameshambuliwa? hakuna sababu zinazosababisha mbowe aseme uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…