Kwa hili la mwaka mmoja wa kifo cha Magufuli, Kanisa Katoliki linapaswa kuona aibu

Futa huu uzi wako hapa,Magufuli ni Rais bora wa wakati wote.

Ukiwa kiongozi si lazima watu wote wakupende
Magufuli ni Masihi wa wakati wote jina lake limeandikwa na wino wa dhahabu kwenye mioyo ya watanzania
waliowengi.
 
Wewe Nguruwe,Ben Saanane angekuwa jaamaa Yako ungeandika mavi haya! Pumbavu!
Watu wameumizwa wewe unaleta Uch....
Huyo mjinga mmoja ndio unaniuliza? Sasa sio ndugu yangu na hata angekua ndugu yangu singekua na ubinafsi kuishutumu serikali bila ushahidi.
Kwanza huyo mpuuzi aliendesha kampeni ya kijinga kumtukana na kumkejeli jpm eti degree yake feki. Aliongozwa na chuki tu. Kwa ujinga wake akajiwekea uadui na wale waliyokula kiapo kumlinda rais wa jamhuri.
Halafu ni kurudishie matusi uliyonirushia..nguruwe mwenyewe.
 
Magufuli amevipiga vita vilivyo vyema, vita vya roho na mwendo ameumaliza.

Sasa anangojea kupewa taji ya ushindi. Na siyo yeye peke yake, bali pamoja na wateule wengine walioshinda vita.

Keep RIP our best president, JPM.
Dah [emoji1][emoji1]
 
Mada ya kipagani hii.

Sisi Wakristo hatuishi katikati ya VISASI bali tumebeba UPENDO mioyoni mwetu.
ambie marafiki, jamaa na watu wa ben saa nane, azory gwanda na wengine wengi ambao waliuawa na huyu katili wa ajabu magufuri, mimi ni mkristo lakini nashukuru mungu kwa kumuondoa huyu muuaji na kumutupa kwa shetani, magufuri hakuwa na tofauti na shetani
 
Lakini wakifa mafirauni lazima tushangilie
Firauni gani amekufa nchi nzima ikazizima kwa huzuni na majonzi. Na kesho utashuhudia taifa linavyomkumbuka. Wewe na wenzako ndio mafirauni adui wa matendo mema ya jpm. Huenda ni fisadi wa madawa ya kulevya au unategemea haramu au dhuluma ya aina yoyote kwa umma. Nyie ndio watu pekee mnamuona magufuli alikua mtu mbaya.
 
Viongozi walikuwa wa hovyo ila baada ya kumsifia wakawa wazuri?

Kakobe alikuwa mkwepa kodi na mhaniai haramu ila alipomsifia akaitwa Ikulu...

Nyie wafuasi wa huyu mfu mnavichekesho kweli
Dah, kweli una hasira jamaa [emoji1][emoji1]
 
Unataka Kanisa Katoliki limhukumu mtu ambaye kabla ya kifo chake alipokea Sakramenti zote na linaamini yupo Mbinguni?
Alipokea sakrament lakn kama Kuna mungu kwl huyu jamaa yupo motoni nw kwa matendo yake
 
[emoji23][emoji23] Mzee vipi nimeongea chochote Cha uwongo kuhusu mungu wako hapo?
Endelea kutoa kilio cha maumivu ulichokipata wakati huo na haisaidii chochote hapa. Ni bora ungekuwa unagugumia nyumbani na familia yako. Hapa ni mahali pengine!
 
Ulichoandika ni katekesi ya shetani tangu mwanzo mpaka mwisho umeonyesha dhahili chuki zako kwa JPM ningeshauri tumwache apumzike huko aliko kuliko kumtuhumu mtu ambaye hawezi kujitetea.
 
Unateseka ukiwa wapi?

Mafisadi, mabeberu, vibaraka wa mabeberu, wabadhirifu na vyeti feki mnamchukia sana Magufuli.

You guys should move on.
Huyu jamaa lazima atakuwa mmoja wapo kwenye hayo makundi uliyoyataja
 
Sameheaneni ninyi kwa ninyi,na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi makosa yenu.Usiishi kwa vinyongo.Kwani Wewe mwenyewe binafsi,ukiwa mkweli wa nafsi yako,Ni madhambi mangapi umeyafanya toka uamke Asubuhi kwa kuwaza,kunena n.k.Kwa taarifa yako,dhambi Sio kuuwa TU, kiburi pia Ni dhambi.Kutokusamehe pia Ni dhambi kubwa zaidi.Hata kuacha kutenda mema pia Ni dhambi.Kwa Mungu hakuna dhambi isiyosameheka.Mwenzio Kama alitubia dhambi zake saa zake za mwisho wa uhai wake,Mwenzio Atakuwa yupo mahali Salama mbinguni.Na ukweli ndio hUO haiwezi kubadilika.Wewe endekeza TU kubeba vinyongo vyako,na Hiyo ndio itakuwa ndio boriti lako kubwa.
 
Sijui maana ya kuadhimisha, ila kanisa ufanya misa za kuwaombea wafu, bila kujali waliishije duniani, juwa kanisa uweka madaraja kwa marehemu kipindi cha maziko kuna wanaopata sala tu, ibada na misa takatifu, hivyo kama aliungama kabla basi misa takatifu ni alali kwake, ila jinsi alivyoishi duniani kwenye uongozi wa juu, sijapenda!
 
Rubbish, nchi hii ina mapunguani ya kutosha moja wapo ni hili.
 
Walimshauri nakumuandikia nyaraka akiwa mzima.Kanisa silaha yao ilikuwa neno la Mungu,Magu silaha yake ilikuwa nguvu ya dola.
Aliyehukumu nakuhitimisha ni Mungu.Kanisa lisilaumiwe kwa hili,
Muulize Hangaya aliambiwa nini na TEC walipomwomba wakae faragha na wasaidizi wake wa ndani tu.
 
Mbona unajichanganya mwenyewe.
Yeye hii njia ndiyo aliyoichagua, kuchambua maovu yaliyofanywa na huyo mtu. Tatizo liko wapi?

Magufuli alikuwa ni mtu mwovu; shetani aliyekuwa kwenye kiwiliwili cha binaadam.
Ndiyo atulie sasa kila mmoja afanya yake. Kinachomuwasha nini mpaka akosoe wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…