Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
🤣🤣🤣Lengo la hii context ni kutambua kua huwez zuia au kutatua tatizo kwa kukwepa hoja bali go inside tatua tatizo lililopo ndan!!Majaribu hayo mkuu ujue!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Lengo la hii context ni kutambua kua huwez zuia au kutatua tatizo kwa kukwepa hoja bali go inside tatua tatizo lililopo ndan!!Majaribu hayo mkuu ujue!
Naomba container namba na aina ya shirika uliyopakiaNina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna
Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
Ije tu .Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna
Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
Anasahau kwamba watu wanasafirisha au wanaisafiria mbususu mpaka nje ya nchi..!!Ndo hapo 🤣🤣🤣