kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
ni kweli ingawa kuna wa2 hawatakuelewa watakutuhumu umetumwa,ukiacha hiyo kero ya kutoshushwa,pia kuna kutengenezeana storage za ajabu kwa kujifanya systeam iko chini,alaf kina m2 anataka pesa,maofisa wa TPA,TRA,TBS,....yaani mpaka mzigo unatoka,mfanya biashara hoi,,,ndo manake wafanya biashara wanapandisha bei makusudi ili kusukumia mzigo kwa mlaji!!! cha muhimu ni kwamba serikali irectfy vipengele tata vya huu mkataba na hawa WADUBAI!!Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna
Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi