Kwa hili la mzigo huu, wacha tu bandari ibinafsishwe

Kwa hili la mzigo huu, wacha tu bandari ibinafsishwe

Yaani bandari iuzwe kwa ajili ya kakontena chako cha vi nguo vya kichina?
Huna akili.
Kilio chetu mkataba uboreshwe hatupingi uwekezaji
Hatupingi uwekezaji. Tunapinga KUPIGWA kupitia hiyo MIKATABA.
 
Mkuu biashara ya imports haijengi Uchimi wa nchi kwa sababu fedha ya madafu ndio inazunguka, halafu wewe unachukua dollar unapeleka nje kununua hizo bidhaa.

Uchumi wetu utajengwa kwa Exports yaani bidhaa tunazouza nchi za nje na kuleta dollar nchini. Kwa hiyo focus nzima ya mradi wa Bandari ni kuhudumia sisi Majeta wa mali za nje..
Mzee hapo umechemka biashara ni kuuza na kununua kikubwa ku balance. Tanzania tunacho export ni mali zilezile toka miaka ya 70 hatuna viwanda vya kuzalisha mali za kushindana na nje. ndio maana unaweza kununua bidhaa ya china bei rahisi kuliko iliyotengenezwa Tz. Hoja yako uchumi sio import tu haina mshiko mtu unauza na unanunua, huyu akileta mzigo hapa anauza analipa kodi. Sijawahi kusikia nchi wao wanauza tu hawana import.
 
Nchi hii hawa wapinzani wanaosema serikali inabana uhuru wa maoni na kutishia watu lakini wao akija mtu na mawazo tofauti na wao basi huyu kibaraka, huyo kanunuliwa na matusi juu. Wewe ukiona mtu yeye kila mtu anaona kahongwa ujue yeye ndio kazi yake sasa haamini njia zingine ila kununuliwa. Hakuna watu wananunuliwa kama wapinzani tuliyaona kipindi cha JPM, kila mwezi alikuwa anasajili mchezaji mpyaa. Mama hatoi kitu ndio shida hapo.
 
Wanalazimisha bandari zetu ziuzwe kwa visingizio vya kuchelewasha mzigo ukimuliza mchakatoto wa kutoa mzigo ukoje wanakimbia,hata TIN ukimuliza nini mtakesha.
Nilivyoona tuu konteina " nikaingiwa mashaka
 
Wanaopinga wana hoja wasikilizwe! Wanaosapoti mmeshindwa kujibu hoja za wanaopinga!! NB; Haiwezekan et mkeo analiwa na jiran halafu solution yako ni kuhama mtaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unamsusia kisha unaenda kuoa mwingine[emoji1][emoji2][emoji3]
 
Kubinafsisha nako wala siyo solution na hakuna hata guarantee kama terms za mikataba yenyewe ndiyo hii isiyovunjika kwa sababu yoyote.

Mpaka hivi sasa kwanza kuna mwekezaji pale wale nduguze TICTS hapo bandarini.
 
Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna

Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
Mkuu majuzi nilikuwa TPA wanasema wao hawana tatizo kabisa la ufanisi, tatizo ni hao shipping line au wakala wa meli wanakuwa hawajakamilisha kufanya clearance ili meli iruhusiwe kutia nanga na kushusha mizigo, msizushe visingizio visivyokuwepo kuhalalisha bandari kupigwa mnada.
 
Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna

Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi

Bora hilo container lirudi lilipotoka huko china, maana inaonyesha wewe mwenyewe ni ngumu wa kuelewa.

Ipo hivi:-
Hakuna yyte anayepiga ubinafsishwaji, kinachopingwa ni aina ya mkataba uliosainiwa. Ila endapo Mkataba ukirekebishwa hao walalamikaji hawatakuwa na shida tena.
 
Mkuu majuzi nilikuwa TPA wanasema wao hawana tatizo kabisa la ufanisi, tatizo ni hao shipping line au wakala wa meli wanakuwa hawajakamilisha kufanya clearance ili meli iruhusiwe kutia nanga na kushusha mizigo, msizushe visingizio visivyokuwepo kuhalalisha bandari kupigwa mnada.
Agent ananiambia upande mwingine wameclear kila kitu, ni upande wa bandari tu unasua sua kwa kuwa kuna foleni na mizigo inapakuliwa very very slow
 
Pm ameshasema mkataba bado na ukiwa tayari maoni ya wananchi yatazingatiwa,
Nafikiri imeeleweka
 
Bora hilo container lirudi lilipotoka huko china, maana inaonyesha wewe mwenyewe ni ngumu wa kuelewa.

Ipo hivi:-
Hakuna yyte anayepiga ubinafsishwaji, kinachopingwa ni aina ya mkataba uliosainiwa. Ila endapo Mkataba ukirekebishwa hao walalamikaji hawatakuwa na shida tena.
Pm majaliwa ameshasema mkataba bado na ukiwa tayari maoni ya wananchi yatazingatiwa, nafkiri imeeleweka
 
Back
Top Bottom