Kwa hili la mzigo huu, wacha tu bandari ibinafsishwe

Kwa hili la mzigo huu, wacha tu bandari ibinafsishwe

CCM bwana!mmeona mmetafuta kiki ya kuondoa tozo kwenye miamala imebuma mmekuja na hii Sasa?Hatutaki bandari yetu
 
Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna

Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
hakuna anayepinga ila sema bahasha hazijawafikia tu..
 
Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna

Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
Ni mpumbavu tu anaweza kuona faida yaa kontena moja ni kuubwa kulika hasara ya milele kwa taifa.
Mjaa laana
 
Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna

Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
Inaqezekana unasema ni kweli ila kumbuka makuadi wa ubinafsishaji wana mkono mrefu na mikakati hatarishi, wana uwezo wa ku inflitilate mfumo wa bandari na kuudhoofisha kimkakati ili kuhalarisha malengo yao ya kinyonyaji.
 
Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna

Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
Ubinafsishaji wa bandari ni muhimu. Ila mkataba huu ndio una ukakasi kwa watu.
 
Inaqezekana unasema ni kweli ila kumbuka makuadi wa ubinafsishaji wana mkono mrefu na mikakati hatarishi, wana uwezo wa ku inflitilate mfumo wa bandari na kuudhoofisha kimkakati ili kuhalarisha malengo yao ya kinyonyaji.
SAWASAWA....ndio wanaposti sana humu.
 
Back
Top Bottom