Kwa hili la Ndugai na Rais, linaonesha watanzania ndio tuna matatizo makubwa

Kwa hili la Ndugai na Rais, linaonesha watanzania ndio tuna matatizo makubwa

Ndugai ana matatizo(hasa ya kiakili) than any average Tanzanian, fuatilia trends za kauli/matendo yake tangu enzi za Jiwe mpaka sasa utalibaini hilo.
Kama spika kauli za criticism kama alizozitoa angezitoa kwenye vikao vyao vya ndani au hata wangelifanya kuwa ajenda bungeni siyo kuitisha press na kuchamba mikakati ya rais, wote wana makosa kwa jinsi walivyokabili hili jambo(kuchambana) lakini Ndugai ana makosa makubwa zaidi kwa kuanzisha hii mipasho.
Kwahio mkuu tunaangalia Mvurugano au point ilipo?
 
Umesema ukweli na ndipo utajua kuwa watanzania wengi hata uelewa wa kuwa bunge ni mhimili unaojitegemea hawana.
Yani siyo kosa bunge kuikosoa serikali, bila hivyo basi hakuna haja ya kuwa na bunge ambalo likiwa tofauti na serikali basi ni usaliti.
Mama anasema mkopo wa 1.3 t ni mzuri na una lenga kuleta maendeleo.
Hata walioingiza taifa hili kwenye mikataba ya ajabu nao walidai wanatuletea maendeleo.
The road to hell is paved by good intentions.

IMG_0739.jpg
 
Habarini!

Hii vita inayoendelea inaonyesha Jinsi gani watanzania ndio tuna shida kubwa na ndio sababu hatuendelei.

Ndugai kasemea Juu ya jambo ambalo lina maslahi kwa Nchi lakini anakuja Mtu ana mjibu kwa kuangalia Maslahi yake tena kwa kejeli watu Wooooteee wanashangilia Kweli Mpo serious?

Yeah ni kweli kuna sehemu nyingi Ndugai kateleza sana huko Nyuma ila Kuna msemo unasema "Mnyonge Mnyongeni Ila Haki yake Mpeni" Ndugai ana haki ya kujibiwa Sio kwa Njia ya personal attack ila kwa njia ileile aliyotumia kuelezea Issue yake.

Hili suala la Ndugai tuweke Makosa yake pembeni tumhoji Rais sio tufurahi kifo cha Ndugai.

NOTE:
Swala la Msamaha alioomba Ndugai to Me usiulete hapa ule alileta Njaaa zake tu na hizo ndio errors zake Kila siku tujadili Issue.
Msamaha wa Ndugai si wa hiari, ni shinikizo toka CCM. Tukikubali kusikiliza maoni tofauti, hata kama yanakinzana na yetu, nchi itaneemeka.
 
Kma kunamtanzania anaamin ndugai alikua nahoja huyo nilipumbavu lamwisho.

Ndugai sio wakuzungumzia mikopo wala fedha alishaipoteza haki hio kitambo sana, tusisahau ilifikia wakati CAG alipojaribu kutoa madudu yanayohusu hela za nchi Ndugai alituonyesha wazi yuko upande gani.
Good timing kwamama alichokifanya, kumlipua baada yakua ameomba msamaha nakukubali kosa lake. Kamu underestimate rais namwenzie akafanya kisichotarajiwa

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Can't disagree...na nadhani maza anatakiwa kummaliza kabisa hivi kashaelekea kibla...politics is about timing as well.
 
Bora Samia ametoa joto lake,amehisi dharau zinazidi kila kukicha,heshima yake inavunjwa na walio karibu nae,aliowaamini ,

Hivi kama hili .Ndugai arapu kwa Magu unazani Ndugai angekuwa bado hajafika kusiko julikana kwa watu wasiojulika,yaani wangekwishampa na uraia kabisa.

samia yupo sawa ,hakuweka donge rohoni amemueleza Ndugai mchana kweupe ili kazi iendelee au mlitaka ,style za Raisi Yule.
Kila tukio lina sababu. Nchi haina mwongozo rasmi- katiba-na iliopo imekuwa ikiwekwa viraka kwa maslahi ya watawala. Leo kuna mlolongo wa wenye kinga za kutoguswa na sheria, matokeo ni mnyukano wa viongozi kwa maumivu ya wananchi.
 
Habarini!

Hii vita inayoendelea inaonyesha Jinsi gani watanzania ndio tuna shida kubwa na ndio sababu hatuendelei.

Ndugai kasemea Juu ya jambo ambalo lina maslahi kwa Nchi lakini anakuja Mtu ana mjibu kwa kuangalia Maslahi yake tena kwa kejeli watu Wooooteee wanashangilia Kweli Mpo serious?

Yeah ni kweli kuna sehemu nyingi Ndugai kateleza sana huko Nyuma ila Kuna msemo unasema "Mnyonge Mnyongeni Ila Haki yake Mpeni" Ndugai ana haki ya kujibiwa Sio kwa Njia ya personal attack ila kwa njia ileile aliyotumia kuelezea Issue yake.

Hili suala la Ndugai tuweke Makosa yake pembeni tumhoji Rais sio tufurahi kifo cha Ndugai.

NOTE:
Swala la Msamaha alioomba Ndugai to Me usiulete hapa, ule alileta Njaaa zake tu na hizo ndio errors zake Kila siku tujadili Issue.
Ndugai amejibu kwa maslahi yake mwenyewe na siyo ya nchi.

Kama alikuwa na huruma na nchi hii angetumia mabilioni ya fedha kwenda kwenye matibabu yake mtu mmoja wakati hospitali nyingi hapa zina upungufu wa vifaa na dawa za kutibu wagonjwa wa hali ya chini?

Na ilipowekwa kama audit query akazua ya kuzua kwa CAG mpaka akaondolewa. Leo hii ndiyo amekuwa mtetea nchi ati!
 
Ndugai amejibu kwa maslahi yake mwenyewe na siyo ya nchi.

Kama alikuwa na huruma na nchi hii angetumia mabilioni ya fedha kwenda kwenye matibabu yake mtu mmoja wakati hospitali nyingi hapa zina upungufu wa vifaa na dawa za kutibu wagonjwa wa hali ya chini?

Na ilipowekwa kama audit query akazua ya kuzua kwa CAG mpaka akaondolewa. Leo hii ndiyo amekuwa mtetea nchi ati!
Mtu akisema jambo zuri kwa Taifa tuweke mapungufu yake pembeni ndio kwa Ndugai
 
Ndugai haondoki ng'o ingawa aliteleza kidogo kwenda public kusema nchi itapigwa mnada wakati yeye ana uwezo wa kumuona Mhe.Rais 24/7 tofauti na sisi wengine tunaosemea hapa.

Kumpinga Rais na kumrushia madongo ni kuyatafuta tu
Yeye awapige fimbo hao wengine hata kumpa za uso waziri ila sio Rais

Kujipima nguvu na Rais tena
Hivi angekuwa aliepita mbona walikuwa wanalazimisha kucheka ingawa hawana sura za ucheshi?
 
Siku viwanja vya ndege, bandari na Tanesco vinachukuliwa na waliotukopesha ndipo tutakumbuka maneno ya Job Ndugai, wakati huo tumeishachelewa saaaaana!
Aibu yetu watanzania.
 
Bora Samia ametoa joto lake,amehisi dharau zinazidi kila kukicha,heshima yake inavunjwa na walio karibu nae,aliowaamini ,

Hivi kama hili .Ndugai arapu kwa Magu unazani Ndugai angekuwa bado hajafika kusiko julikana kwa watu wasiojulika,yaani wangekwishampa na uraia kabisa.

samia yupo sawa ,hakuweka donge rohoni amemueleza Ndugai mchana kweupe ili kazi iendelee au mlitaka ,style za Raisi Yule.
Alikuwa anavunjiwa, lakini sasa naona kajivunjia
 
Bora Samia ametoa joto lake,amehisi dharau zinazidi kila kukicha,heshima yake inavunjwa na walio karibu nae,aliowaamini ,

Hivi kama hili .Ndugai arapu kwa Magu unazani Ndugai angekuwa bado hajafika kusiko julikana kwa watu wasiojulika,yaani wangekwishampa na uraia kabisa.

samia yupo sawa ,hakuweka donge rohoni amemueleza Ndugai mchana kweupe ili kazi iendelee au mlitaka ,style za Raisi Yule.
Kosa la Ndugai ni lipi?
 
Katiba ni muhimu isomwe na waTanzania mashuleni ili tujuwe mgawanyo wa mipaka, uhuru na mamlaka za mihilili ya urais, bunge na mahakama inaishia wapi.

Hapa wabunge nao waelimishwe kutetea maoni ya wananchi kuhusu mikopo na mwenendo wa matumizi wanasemaje. Maana urais / executive umeshasisitiza utaendelea kukopa bila kusema mikopo hiyo itajikita ktk miundombinu au madawati na vyumba vya madarasa


El poder ejecutivo está separado del legislativo y el judicial en una democracia
 
Kwa hio uchungu na maslahi ya nchi anayo awamu hii tu?
Kipindi cha mwendazake ashawahi kupanua domo lake kulalamikia mikopo ya muda mfupi tena yenye riba kubwa?
Ndani ya kijani kuna makundi mawili
-Kundi la kwanza ni wale wanaounga mkono juhudi ya mama kutuletea maendeleo
-Kundi la pili ndio hilo la kina Nduguyai na wenzake ambao wao ni against, lengo lao ni kumkwamisha mama ili 2025 wakaimu nafasi.
 
Watanzania japo Kuna kundi kubwa linaloishi kwa kuyumbayumba kwasababu ya kutumika na uelewa wao mdogo lakini bado Kuna kundi la wachache waliofunguka fahamu zao na wanaohitaji matokeo yatakayoakisi muda tuliopo na kuhitaji mambo yafanyike kwa haraka na yalingane na muda, pia lile kundi lililokwamisha mambo kwa uwazi kabisa na Sasa likija kwa njia nyingine ya kukwamisha mambo na kujiwekea unafiki mwingine Ili kuinua majina yao yawe juu hao wanaojielewa wameamua kuyapinga na kusimama na maendeleo ya wakati huu Ili aliyepewa dhamani tuje tumpime kama atatufaa tena, huko kuchamba alikochamba siyo shida kabisa maana wanawake wenye kujielewa huwa wanajua kufanya mambo mengi mazuri kwa wakati mmoja na ndo maana ukipata mke Bora unakuwa umepata mafanikio ya maisha yako, Sasa Mama Raisi ameanza kuonyesha kwa mfano kujenga madarasa kwa wakati mmoja Nchi nzima na hela ya tozo akaona haitoshi na itaendelea kutuweka nyuma akaongeza huo mkopo umalize wapi wanafunzi watasomea kitu ambacho kitafanya wasaidizi wake wajitume kwenye mambo mengine na Kila mtu au mkoa utatoa matokeo ya nini wamewaletea wanachi kuliko walivyofanya zamani kuchungulia eneo shule moja Nchi nzima na huku sehemu zingine zikiwa zimetulia tu, Sasa njia hii ya kutatua tatizo moja Nchi nzima na kila mkoa ukaleta tathimini yake ya kiwango cha pesa ilichopewa kikiwa sawa na muda ukiwa sawa utaleta matokeo mazuri mengi maana wale wavivu na wale wanaotumika kukwamisha watajulikana kwa wepesi baada ya matokeo yao kuwa mabaya Sasa basi ndo maana hiyo nguvu na Hekima aliyopata Raisi ndo imewaumiza wale waliopenda kuishi kwa unafiki na matokeo hafifu yasiyo na faida zaidi ya kudanganya toto kwa pipi huku mtoto anahitaji chakula ashibe muda huo.
 
Back
Top Bottom