Kwa hili la Ndugai na Rais, linaonesha watanzania ndio tuna matatizo makubwa

Kwa hili la Ndugai na Rais, linaonesha watanzania ndio tuna matatizo makubwa

Kwa hio uchungu na maslahi ya nchi anayo awamu hii tu?
Kipindi cha mwendazake ashawahi kupanua domo lake kulalamikia mikopo ya muda mfupi tena yenye riba kubwa?
Ndani ya kijani kuna makundi mawili
-Kundi la kwanza ni wale wanaounga mkono juhudi ya mama kutuletea maendeleo
-Kundi la pili ndio hilo la kina Nduguyai na wenzake ambao wao ni against, lengo lao ni kumkwamisha mama ili 2025 wakaimu nafasi.
Binadamu na mapungufu yake mkuu ndio maana kuna Kuongoka hata hadithi ya Sauli ipo kwenye biblia inasema vizuri Ndugu JOBO sawa ana matatizo yake na ndio maana nilisema ila nikasema kwa Hili kazungumza Point ndio kuongoka kule
 
Kwahio swala la kukopa Nchi yetu kwa kasi sana na kuweka Tozo unalichukuliaje Mkuu?
Mbona hakufungua mdomo wake wakati wa mwendazake?,au CAG Assad alipotoa ripoti ya upotevu wa 1.5trillion mbona alikuwa wa kwanza kumuwakia CAG, Okay wale wabunge wa covid19 wasio na chama mbona bado ameendelea kuwakumbatia
 
Dikteta ndio Rais wa Kwanza kukopa hovyo? Mbona hatukusikia nyie wasukuma wenzie mkilalama!?

Nikwamba kwanza lilikuwa liongo,linadanganya halikopi kumbe anakopa matrillion ya fedha
Tunajenga kwa era zetu wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hizo era zetu wenyewe sasa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Habarini!

Hii vita inayoendelea inaonyesha Jinsi gani watanzania ndio tuna shida kubwa na ndio sababu hatuendelei.

Ndugai kasemea Juu ya jambo ambalo lina maslahi kwa Nchi lakini anakuja Mtu ana mjibu kwa kuangalia Maslahi yake tena kwa kejeli watu Wooooteee wanashangilia Kweli Mpo serious?

Yeah ni kweli kuna sehemu nyingi Ndugai kateleza sana huko Nyuma ila Kuna msemo unasema "Mnyonge Mnyongeni Ila Haki yake Mpeni" Ndugai ana haki ya kujibiwa Sio kwa Njia ya personal attack ila kwa njia ileile aliyotumia kuelezea Issue yake.

Hili suala la Ndugai tuweke Makosa yake pembeni tumhoji Rais sio tufurahi kifo cha Ndugai.

NOTE:
Swala la Msamaha alioomba Ndugai to Me usiulete hapa, ule alileta Njaaa zake tu na hizo ndio errors zake Kila siku tujadili Issue.
Hana hoja ya maana. Mikopo imekopwa tangu awamu ya kwanza, leo ndio anasema nchi itapigwa mnada?. Anajielewa kweli?.

Hoja yake kwa undani ni kama aliweka wazi aina ya maongezi wanayoongea yeye na watu wanaompinga rais wakiwa sehemu wamekaa.

Ni kama kinachofanywa na Samia na serikali yake kimewaduwaza, sasa wivu unawasumbua wanaamua kuongea walivyoongea.
 
Kauli za Ndugai hazivumiliki....kusema nchi itakuja kupigwa mnada hapa anamaanisha huyu anaeongoza nchi ni hovyo...

Kauli ya kusema 2025 mtachagua wenyewe kuendelea na hawa wa kukopa kopa ama la...bado ni ya Kumsimanga Rais kwamba hafai kuongoza nchi inafaa abadilishiwe..

Ndio maana jana Mama Samia kasema kuna watu walitilia shaka uwezo wake wakati anaapishwa kuongoza, Sasa wanaona aibu kwa mambo makubwa anayoyafanya...
Ndugai hakuwa anafaa kuwa spika kwa kuanzia. Ni kama kudra imekuwa inambeba muda wote na sasa ukweli wa mambo unajianika wazi.
 
Dikteta ndio Rais wa Kwanza kukopa hovyo? Mbona hatukusikia nyie wasukuma wenzie mkilalama!?

Nikwamba kwanza lilikuwa liongo,linadanganya halikopi kumbe anakopa matrillion ya fedha
Lini hakusema Na katika mradi gani hakusema unajengwa kwa ushirikiano na Nchi flani?
 
alilazimisha tununue sukari kwa jirani zetu,ili hali maghara ya viwanda yamejaza sukari!? Walipohoji kwann, akawaambia nonsense mbele ya jirani yetu!! mala ya pili Sasa inajirudia job kahoji kwann tuwekeze kukopa zaidi ,kaambiwa Kama anataka akajiandae vzr 2025, Sasa sijui haya yote yanakuja kwa sababu gani, swali la msingi watanzania kujiuliza ni hili-ni Nani yuko pamoja na watanzania kwa kumaanisha na ni Nani anatufanyia maigizo!!?.
 
Kwahio mkuu tunaangalia Mvurugano au point ilipo?
Mvurugano mpaka muda huu ni;
SASHA - 5
JOBU - 0
Jobu akiwa na guts za kuliendeleza(though I don't think that's gonna happen) ndiyo patanoga, tatizo hakuna wa vazi la kijani hata mmoja aliyejitoa muhanga kuwa upande wake hivyo ni sawa kusema amepigwa roba ya mbao pumzi inamuishia.
Kuomba msamaha was a tactical mistake.
 
alilazimisha tununue sukari kwa jirani zetu,ili hali maghara ya viwanda yamejaza sukari!? Walipohoji kwann, akawaambia nonsense mbele ya jirani yetu!! mala ya pili Sasa inajirudia job kahoji kwann tuwekeze kukopa zaidi ,kaambiwa Kama anataka akajiandae vzr 2025, Sasa sijui haya yote yanakuja kwa sababu gani, swali la msingi watanzania kujiuliza ni hili-ni Nani yuko pamoja na watanzania kwa kumaanisha na ni Nani anatufanyia maigizo!!?.
Sasa mbona na Jobu mwenyewe alifanya reference ya 2025, afadhali angejisemea tu ya nchi kupigwa mnada kuliko kuunganisha na uchaguzi wa 2025.
 
Habarini!

Hii vita inayoendelea inaonyesha Jinsi gani watanzania ndio tuna shida kubwa na ndio sababu hatuendelei.

Ndugai kasemea Juu ya jambo ambalo lina maslahi kwa Nchi lakini anakuja Mtu ana mjibu kwa kuangalia Maslahi yake tena kwa kejeli watu Wooooteee wanashangilia Kweli Mpo serious?

Yeah ni kweli kuna sehemu nyingi Ndugai kateleza sana huko Nyuma ila Kuna msemo unasema "Mnyonge Mnyongeni Ila Haki yake Mpeni" Ndugai ana haki ya kujibiwa Sio kwa Njia ya personal attack ila kwa njia ileile aliyotumia kuelezea Issue yake.

Hili suala la Ndugai tuweke Makosa yake pembeni tumhoji Rais sio tufurahi kifo cha Ndugai.

NOTE:
Swala la Msamaha alioomba Ndugai to Me usiulete hapa, ule alileta Njaaa zake tu na hizo ndio errors zake Kila siku tujadili Issue.
Jambo gani la msingi ambalo Ndugai ameliongelea kwenye hotuba yake? Hakuna ubishi kuwa Ndugai alifanya Siasa kwenye hili suala la mkopo.
 
Sasa mbona na Jobu mwenyewe alifanya reference ya 2025, afadhali angejisemea tu ya nchi kupigwa mnada kuliko kuunganisha na uchaguzi wa 2025.
Here is the where the problem started. Lakini swali la pili, ni kweli Job alimaanisha kupitia domestic resource mobilization inawezekana kutekeleza miradi hii? Kama kwa kiwango kilichopitishwa cha tozo kila mmoja analalamika, vipi kiwango kikiongezeka?
 
Habarini!

Hii vita inayoendelea inaonyesha Jinsi gani watanzania ndio tuna shida kubwa na ndio sababu hatuendelei.

Ndugai kasemea Juu ya jambo ambalo lina maslahi kwa Nchi lakini anakuja Mtu ana mjibu kwa kuangalia Maslahi yake tena kwa kejeli watu Wooooteee wanashangilia Kweli Mpo serious?

Yeah ni kweli kuna sehemu nyingi Ndugai kateleza sana huko Nyuma ila Kuna msemo unasema "Mnyonge Mnyongeni Ila Haki yake Mpeni" Ndugai ana haki ya kujibiwa Sio kwa Njia ya personal attack ila kwa njia ileile aliyotumia kuelezea Issue yake.

Hili suala la Ndugai tuweke Makosa yake pembeni tumhoji Rais sio tufurahi kifo cha Ndugai.

NOTE:
Swala la Msamaha alioomba Ndugai to Me usiulete hapa, ule alileta Njaaa zake tu na hizo ndio errors zake Kila siku tujadili Issue.
Ndugai kawa jasiri katonya yanayoendelea jikoni...
Tatizo watonywaji hatujielewi... Mbaya anatabaki kuwa Ndugai!
 
Siku viwanja vya ndege, bandari na Tanesco vinachukuliwa na waliotukopesha ndipo tutakumbuka maneno ya Job Ndugai, wakati huo tumeishachelewa saaaaana!
Aibu yetu watanzania.
Hakuna mtu atumkumbuka.
 
Back
Top Bottom