Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Mimi huongea fact always, kaangalie tena hizo mechi mbili Simba vs Coastal union na Simba vs Singida big stars bila mbambamba utaona live jinsi marefa waliharibu mechi kwa kuibeba Simba waziwazi huku TFF ya kina Mr Karai makolo wale wakibariki upuuzi ule, ndo maana mechi zote za Simba zikichezeshwa kihalali Simba hupasuka ndani nje!! Sijui kwanini marefa wa hizo mechi hawakuadhibiwa.Hizi ndizo dalili za uchawi wa utopolo
Mechi ijayo Simba na Azam, jino kwa jino, timu kali wanayoshabikia wanangu kutoka chamazi tunataka haki bin haki marefa wasilete ujinga na wasiwe marefa wanawake maana mpira tunaona live na kina Mzamiru mafundi wa kupoteza muda Simba ikibahatisha kupata kagoli wadhibitiwe. Napenda achezeshe Kayoko, hana mbambamba, Simba lazima ipasuke wanangu warukeruke watu weweeee, uto og niko paleeee!