Kwa Hiyo Serikali /DCI na Mahakama, mmeamua kuwaambia Watanzania kuwa Dada wa Msuya alijichinja mwenyewe?

Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asojua na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili...

Yaani jamii imebaki na mshangao mkubwa na maswali mengi.

Kwamba kwa hiyo Annet alichinjwa na kina nani? 🤷‍♂️

Jamhuri ituambie.
 
Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asojua na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili...
Watu wa Kaskazini baadhi wanajikuta wanaijua sana pesa, mimi nasemaje mahakama iwaache wachinjane kama kuku hadi siku watakapotambua maisha ni zaidi ya pesa
 
Kuna siri kubwa sana tangu kifo cha Bilionea msuya hadi dada yake.

Kuna hati ya Kiwanja kilicho Arusha kilikuwa cha Bilionea msuya, ila hati ya Kiwanja hicho marehemu Bilionea msuya alikuwa ameiwrka Kwa dada yake Aneth Msuya...
Historia ya chimbuko la ukoo wenu unaijua au umeamua kuweka energy yako yote kwenye mambo ya familìa za watu ?
 
Huyu mama sio mmachame ni mpare na mmeruu
 
dah bora umbutue mtu risasi ya kichwa. kumchinja mtu na kumchoma moto ni kifo cha uchungu usioelezeka 😔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…