Kwa Hiyo Serikali /DCI na Mahakama, mmeamua kuwaambia Watanzania kuwa Dada wa Msuya alijichinja mwenyewe?

Kwa Hiyo Serikali /DCI na Mahakama, mmeamua kuwaambia Watanzania kuwa Dada wa Msuya alijichinja mwenyewe?

Hivi sababu hasa ya Mke wa Msuya kuhusishwa na kifo cha Wifi yake ni ipi ? na kwamba kama angemuua wifi angepata nini zaidi ya mali ambazo alikuwa nazo za bilionea Msuya?

Na kwamba uwepo hai wa huyu wifi ungezuia kitu gani kwa mke wa Msuya kupoteza mali za mumewe na huku ni mke halali?

Hapa nahitaji kueleweshwa .
Mume wa huyu mama kipindi cha uhai wake alishakuwa na mashaka ya kufanyiwa matukio ya uhalifu yaliyotishia usalama wake. Hadi mauti yanamkuta inakonekana wazi kuwa kuna mtu wa karibu ambaye anahusika na suspect wa kwanza alikuwa ni mkewe kwenye mazingira ya mauwaji.

Inasadikika kuwa huyu mama aliyeachiwa huru alishirikiana na majambazi wa kukodi kumuua mume wake na kufanya tukio lionekane ni la uporaji kumbe ni assassination ili mume afe yeye mke arithi mali ambazo kwa wakati huo umiliki ulikuwa chini ya mume wake ila ndugu na jamaa zake mke walikuwa wameshaingia sana kwenye makampuni ya huyo billionaire na kuleta hofu kwa ndugu na jamaa upande wa mwanaume.

Baada ya kifo cha mwanaume Mdogo wa kike wa marehemu hakukubaliana kabisa na swala la kuwa tukio la kuuwawa kwa kaka yake ni ajali ya ujambazi bali lilikuwa no tukio maalumu la kumtoa uhai kaka yake na kumuua kwa makusudi.

Alishikia bango na ndipo hapo kwa mujibu wa historia ya matukio alifuatwa nyumbani kwake na kufanyiwa mauwaji ya kikatili nyumbani kwake jambo ambalo likaongeza suspiciousness juu ya mke wa marehemu kuwa ndio orchestrator wa haya mauwaji yote ya kaka na mdogo wake.

Kesi ndio hiyo ilikuwa ikiughuruma kati ya huyo mwanamke na familia ya marehemu hawa wawili na mke wa marehemu wakimtuhumu kuuwa ndugu zao ili kujitwalia mali za marehemu pekee yake bila kushare chochote upande wa mume wake.


Kwahiyo ndio tamati ya kesi imekuwa kama ulivyoona kuwa familia ya marehemu hawa wawili imeshindwa kesi na mke wa marehemu ameshinda baada ya kusota na hizi kesi tokea mwaka 2017.

Kwa kifupi pesa na mali zipo kwa watoto na mama yao.
 
Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.

Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.

Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.

Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...

Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.

Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.

Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.

Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.

Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.

Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.

Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?

Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
Mimi jana haikuwa siku nzuri kwangi. Ndiyo masna kumbe wanasema haki ipo mbinguni! Anyway
 
Kuna siri kubwa sana tangu kifo cha Bilionea msuya hadi dada yake.

Kuna hati ya Kiwanja kilicho Arusha kilikuwa cha Bilionea msuya, ila hati ya Kiwanja hicho marehemu Bilionea msuya alikuwa ameiwrka Kwa dada yake Aneth Msuya.

Baada ya kifo cha Bilionea msuya, mke akataka kukiuza hicho Kiwanja , akashindwa Kwa sababu hati Iko Kwa Aneth Msuya dar, issue ikawa Aneth Msuya afanyiwe aliyofanyiwa ili hati ipatikane na Kiwanja liondoke .

Wiki ijayo nitakusimulia zaidi ila Kwa Sasa simamia hapa
Hati ya kiwanja inaua ... ardhi inameza....
Ama wifi alikuwa na taarifa muhimu za familia kiasi kwamba alionekana tishio kwa wifiyeee?

Kwa kuwa sifahamu jambo ngoja niendelee baki humu JF
 
Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.

Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.

Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.

Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...

Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.

Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.

Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.

Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.

Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.

Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.

Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?

Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
Makonda alishawaambia kwamba kama huna pesa na huna mizizi na Wanasiasa usijisumbue kwenda mahakamani.

Mahakama ni sehemu ya kuwapa Haki wenye pesa na Wanasiasa ila ni chombo Cha kukandamiza maskini.

Ni Bora maskini kuwekeza hata kwenye uchawi mkamalizana Nje japo wenye pesa wanakuaga na vyote kuanzia wachawi Hadi watu wa kanisani,labda Mungu ataamua japo hatujui.
 
Huo ukoo ushaingia dosari kubwaa, kisasi kitaenda karne na karne

Huyo mtoto wa Aneth atakua! mziki utaanza tena hivi ni wakiume😂
Sio wote wanaweza fanya hivyo,Mimi Babu yangu aliporwa Mali akasingisiwa kesi za uhujumu uchumi na kufungwa jela baadae akajiua lakini Watoto wake walikuwa wadogo ambao ni Baba zangu hawajafanya chochote zaidi ya kujitenga na familia ya wale baba zao wakubwa waliofanya hayo.
 
Wenyewe wanataka "proof beyond reasonable doubt"..

Kwa mfumo wa mahakama haujali hisia wala utashi wa kawaida. Unahitaji logic, uelewa wa sheria na jinsi ya kucheza nao

Hapa ndo maskini na watu wasio na uwezo hupoteza haki zao maana mwenye kuijua sheria, nguvu ya kupata mwanasheria mzuri na pesa ya kufanya lobbying, lazma apenye hata akifanya kosa
Sasa kama Mahakama inahitaji mambo ya lobbying na ujanja ujanja wewe unaona ni chombo cha Haki?

Naungana na Makonda hakuna haja ya maskini kwenda mahakamani ni umuachie Mungu ahukumu maumivu Yako au uwe mchawi nguli uroge Kwa kisasi Ili nafasi ipumue.

Hii mambo inauma kana kwamba ni ndugu yangu kafanyiwa wakati hata siwajui.
 
Kama kuna uwezekano Kitengo cha CID kiwe taasisi kamili inayojitegemea na CID lazima wawe polisi wenye shahada ya Sheria na wawe wamepitia Tanganyika Law School.
 
Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.

Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.

Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.

Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...

Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.

Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.

Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.

Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.

Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.

Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.

Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?

Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
"Hakika Mwenyezi Mungu anakuamrisheni mzirudishe amana kwa wenyewe. Na mnapo hukumu baina ya watu mhukumu kwa uadilifu...." (Kurani 4:58)

Vilevile anasema:

"...Na hukumu ni kwa uadilifu. Hakika, Mwenyezi Mungu anawapenda wanao hukumu kwa haki." (Kurani 49:9)

Tunafaa hata kuwa waadilifu kwa wale tunaowachukia, kama vile Mungu anavyosema:

"...Wala kuchukia wengine kusiwafanye kuacha uadilifu. Kuweni Waadilifu; hivyo ndivyo kuwa karibu mno na uchaMungu...." (Kurani 5:8)

Mtume Muhammad alisema: "Enyi watu, jihadharini na dhuluma,[5] kwani udhalimu utakuwa giza siku ya Kiyama."[6]

Na wale ambao hawajapata haki zao (yaani, kwa kudai haki zao) katika maisha ya sasa duniani watazipata Siku ya Kiyama, kama vile Mtume alivyosema: "Siku hiyo ya Kiyama, haki zote zitapewa kwa wale wanaostahiki (na maovu yatalipizwa)..."[7]
 
Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.

Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.

Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.

Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...

Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.

Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.

Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.

Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.

Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.

Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.

Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?

Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
Dah
 
Mume wa huyu mama kipindi cha uhai wake alishakuwa na mashaka ya kufanyiwa matukio ya uhalifu yaliyotishia usalama wake. Hadi mauti yanamkuta inakonekana wazi kuwa kuna mtu wa karibu ambaye anahusika na suspect wa kwanza alikuwa ni mkewe kwenye mazingira ya mauwaji.

Inasadikika kuwa huyu mama aliyeachiwa huru alishirikiana na majambazi wa kukodi kumuua mume wake na kufanya tukio lionekane ni la uporaji kumbe ni assassination ili mume afe yeye mke arithi mali ambazo kwa wakati huo umiliki ulikuwa chini ya mume wake ila ndugu na jamaa zake mke walikuwa wameshaingia sana kwenye makampuni ya huyo billionaire na kuleta hofu kwa ndugu na jamaa upande wa mwanaume.

Baada ya kifo cha mwanaume Mdogo wa kike wa marehemu hakukubaliana kabisa na swala la kuwa tukio la kuuwawa kwa kaka yake ni ajali ya ujambazi bali lilikuwa no tukio maalumu la kumtoa uhai kaka yake na kumuua kwa makusudi.

Alishikia bango na ndipo hapo kwa mujibu wa historia ya matukio alifuatwa nyumbani kwake na kufanyiwa mauwaji ya kikatili nyumbani kwake jambo ambalo likaongeza suspiciousness juu ya mke wa marehemu kuwa ndio orchestrator wa haya mauwaji yote ya kaka na mdogo wake.

Kesi ndio hiyo ilikuwa ikiughuruma kati ya huyo mwanamke na familia ya marehemu hawa wawili na mke wa marehemu wakimtuhumu kuuwa ndugu zao ili kujitwalia mali za marehemu pekee yake bila kushare chochote upande wa mume wake.


Kwahiyo ndio tamati ya kesi imekuwa kama ulivyoona kuwa familia ya marehemu hawa wawili imeshindwa kesi na mke wa marehemu ameshinda baada ya kusota na hizi kesi tokea mwaka 2017.

Kwa kifupi pesa na mali zipo kwa watoto na mama yao.
Ni wazi kesi ya Bilionea Msuya hujaifuatilia kabisa na unaleta stori za vijiweni. Jamaa aliuawawa kutokana masuala yake ya biashara hizo hizo za madini baada ya kuhitilafiana na wenzake.

Kwenye suala la huyu mama ni mazingira ndio yanamtia hatiani. Inawezekana marehemu Aneth pia alikuwa ana issues personal na watu wengine its just hili la huyu mama ndio likapewa uzito.

Mahakama imeamua kutokana na ushahidi uliowasilishwa mbele yake. Ukifuatilia hii kesi utaona kabisa kwa namna mambo ya mirathi yalivyo kibongo bongo hao ndugu zake na Bilionea hakuna namna mirathi wangepata wao unless watumie mbinu za ziada.
 
Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.

Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.

Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.

Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...

Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.

Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.

Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.

Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.

Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.

Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.

Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?

Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
Kuna mambo mengi sana kwenye kesi uweledi kwenye upelelezi na rushwa vinachangia sana kuharibu kesi nyingi africa
 
Aisee.Haya mambo yanauma sana.Kama ni kweli huyu mama alitenda basi Mahakamani ni ujanja ujanja tu hakuna haki. Pesa ilimuua Yuda na alimsariti Yesu- immagine usikute wakina Kibatala wanajua ukweli kabisa lkn wanatafuta loop holes za kumuokoa mtu.

Hivi uchawi na uganga au majini huwa yapo kweli??
Unataka wakakate rufaa kwao[emoji16][emoji16][emoji16]?
 
Hii kosa ilikosewa makusudi kuanzia kuandaa kesi hadi kuandaa mashahidi makosa ya ki ufundi ni mengi ...inawezekana tunamlaum kibatala lkn yeye kacheza na loophole za kesi ..
 
Mahakama sio sehemu ya maskini kupata Haki haijawahi tokea
Dah hizi kesi mbili zinaonesha ushahidi huo kuwa mahakamani haki kwa masikini hakuna..

Ila hii wakulaumiwa polisi na upelelezi wao kwa kushindwa kuthibitisha uhusika wa mtuhumiwa.. wameshindwa ktk ku file kesi...nilishtuka kuona muuaji ana kesi moja tu ya kuua..jamhuri ithibitishe hadi hapo ilikua tayari mazingira ya ushindi yamewekwa
 
Back
Top Bottom