Kwa Hiyo Yanga Mmeingia mkataba wa milioni 16.6 kwa mwezi na GSM?

Kwa Hiyo Yanga Mmeingia mkataba wa milioni 16.6 kwa mwezi na GSM?

Mo foundation inaweka shillingi ngapi kwa mwaka???

Mwanamme kuwa mnafiki hivi haipendezii
 
AUGUST 6, 2018

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza kuingia mkataba wa mwaka na Kampuni ya Utengenezaji vinywaji ya A One Products kupitia kinywaji cha Mo Energy Drink. Mkataba huo utakuwa na thamani ya fedha za kitanzania, shilingi milioni 250. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Mwasala Masoud, amesema fedha hizo zitahusika na Simba kwa ajili ya shughuli mbalimbali ndani ya klabu hiyo.

Mwasala ameeleza kuwa kinywaji cha Mo Energy kitakuwa kinaiwakilisha kampuni ya A One kutokana na utengenezaji wa bidhaa zake ambazo inazalisha. Aidha, Mwasala ameeleza kuwa mkataba huo unaweza ukaongezwa tena baada ya kufikia ukingoni baada ya miezi 12 ijayo kumalizika.

Baada ya A One na Simba kusaini mkataba huo, Kaimu wa Rais wa klabu hiyo, Salim Abdallah ‘Try Again, amesema fedha hizo ambazo ni milioni 250 zitaenda katika mradi wa ujezi wa Uwanja Bunju. Ikumbukwe Simba walianzisha mradi wa ujenzi wa Uwanja huo lakini baadaye ukaja ukasimama kutokana na sakata la viongozi wa klabu akiwemo Rais Evans Aveva kushitakiwa mahakami.
Huo uwanja wa bunju mpka sasa umejengwa kwa sh ngapi maana hela zenu za mchango nazo zilimezwa huko na bado hata ukuta hauja kamilika
 
AUGUST 6, 2018

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza kuingia mkataba wa mwaka na Kampuni ya Utengenezaji vinywaji ya A One Products kupitia kinywaji cha Mo Energy Drink. Mkataba huo utakuwa na thamani ya fedha za kitanzania, shilingi milioni 250. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Mwasala Masoud, amesema fedha hizo zitahusika na Simba kwa ajili ya shughuli mbalimbali ndani ya klabu hiyo.

Mwasala ameeleza kuwa kinywaji cha Mo Energy kitakuwa kinaiwakilisha kampuni ya A One kutokana na utengenezaji wa bidhaa zake ambazo inazalisha. Aidha, Mwasala ameeleza kuwa mkataba huo unaweza ukaongezwa tena baada ya kufikia ukingoni baada ya miezi 12 ijayo kumalizika.

Baada ya A One na Simba kusaini mkataba huo, Kaimu wa Rais wa klabu hiyo, Salim Abdallah ‘Try Again, amesema fedha hizo ambazo ni milioni 250 zitaenda katika mradi wa ujezi wa Uwanja Bunju. Ikumbukwe Simba walianzisha mradi wa ujenzi wa Uwanja huo lakini baadaye ukaja ukasimama kutokana na sakata la viongozi wa klabu akiwemo Rais Evans Aveva kushitakiwa mahakami.
Hapo sasa.
 
Imenishangaza sana kuona Club ya Young Africans wanakubali mkataba wa kimangungo kabisa.

1 bilion kwa miaka mitano ni hela ndogo sana na sijui watanufaikaje nayo in a long run.

Pesa ambayo kwa mwezi ni Milioni 16.6 tu..

This is too stupid for the club development
Ulitaka wapate ngapi ndio uridhike?
 
Ukweli usemwe huo mkataba ni wa unyonyaji
Miaka yote hiyo nafasi ilikuwa wazi, hamkuona fursa hiyo nyie makampuni makubwa, make uwezo wa makampuni yenu mngekuwa mnatupa hata milioni mia kwa mwezi, sasa nafasi imejazwa kelele zimeanza so uongozi unaona ni heri hiyo kidogo kuliko kukosa kabisa.
 
AUGUST 6, 2018

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza kuingia mkataba wa mwaka na Kampuni ya Utengenezaji vinywaji ya A One Products kupitia kinywaji cha Mo Energy Drink. Mkataba huo utakuwa na thamani ya fedha za kitanzania, shilingi milioni 250. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Mwasala Masoud, amesema fedha hizo zitahusika na Simba kwa ajili ya shughuli mbalimbali ndani ya klabu hiyo.

Mwasala ameeleza kuwa kinywaji cha Mo Energy kitakuwa kinaiwakilisha kampuni ya A One kutokana na utengenezaji wa bidhaa zake ambazo inazalisha. Aidha, Mwasala ameeleza kuwa mkataba huo unaweza ukaongezwa tena baada ya kufikia ukingoni baada ya miezi 12 ijayo kumalizika.

Baada ya A One na Simba kusaini mkataba huo, Kaimu wa Rais wa klabu hiyo, Salim Abdallah ‘Try Again, amesema fedha hizo ambazo ni milioni 250 zitaenda katika mradi wa ujezi wa Uwanja Bunju. Ikumbukwe Simba walianzisha mradi wa ujenzi wa Uwanja huo lakini baadaye ukaja ukasimama kutokana na sakata la viongozi wa klabu akiwemo Rais Evans Aveva kushitakiwa mahakami.
Bora huu wa Simba
 
Mo foundation inaweka shillingi ngapi kwa mwaka???

Mwanamme kuwa mnafiki hivi haipendezii
Usiwe mbishi, hakuna mkataba wa Simba wenye hela ndogo kama hiyo. Mo Energy tu mwaka 2018 ulikuwa sh. 250M kwa mwaka, huu mwaka 2024 mtu anakuja kukupa 200M kweli, halafu anakupa mkataba mrefu wa miaka mitano bila kujali thamani ya fedha ya wakati huo? Heri basi angeweka mwaka mmoja mmoja kama Mo Energy ya Simba ili walau kila mwaka kuwepo mazungumzo ya kuupandisha thamani
 
AUGUST 6, 2018

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza kuingia mkataba wa mwaka na Kampuni ya Utengenezaji vinywaji ya A One Products kupitia kinywaji cha Mo Energy Drink. Mkataba huo utakuwa na thamani ya fedha za kitanzania, shilingi milioni 250. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Mwasala Masoud, amesema fedha hizo zitahusika na Simba kwa ajili ya shughuli mbalimbali ndani ya klabu hiyo.

Mwasala ameeleza kuwa kinywaji cha Mo Energy kitakuwa kinaiwakilisha kampuni ya A One kutokana na utengenezaji wa bidhaa zake ambazo inazalisha. Aidha, Mwasala ameeleza kuwa mkataba huo unaweza ukaongezwa tena baada ya kufikia ukingoni baada ya miezi 12 ijayo kumalizika.

Baada ya A One na Simba kusaini mkataba huo, Kaimu wa Rais wa klabu hiyo, Salim Abdallah ‘Try Again, amesema fedha hizo ambazo ni milioni 250 zitaenda katika mradi wa ujezi wa Uwanja Bunju. Ikumbukwe Simba walianzisha mradi wa ujenzi wa Uwanja huo lakini baadaye ukaja ukasimama kutokana na sakata la viongozi wa klabu akiwemo Rais Evans Aveva kushitakiwa mahakami.
Safi sana
 
Imenishangaza sana kuona Club ya Young Africans wanakubali mkataba wa kimangungo kabisa.

1 bilion kwa miaka mitano ni hela ndogo sana na sijui watanufaikaje nayo in a long run.

Pesa ambayo kwa mwezi ni Milioni 16.6 tu..

This is too stupid for the club development
Hicho ndicho nawapendea Yanga, Acha wakusanye pesa. Hiyo kampuni ndiyo uwezo wake. Hauwezi kuwa na udhamini mkubwa tu. Hata timu kubwa Zina udhamini mdogo pia.
 
Imenishangaza sana kuona Club ya Young Africans wanakubali mkataba wa kimangungo kabisa.

1 bilion kwa miaka mitano ni hela ndogo sana na sijui watanufaikaje nayo in a long run.

Pesa ambayo kwa mwezi ni Milioni 16.6 tu..

This is too stupid for the club development
Na hapo bado TRA hawajachukua chao.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Wewe Huwaga unatoka ngapi hata kwenye misiba tuu au timu unayoshabikia?
 
Haitoshi hata kulipa mshahara wa Chama kwa mwezi,huo ni unyonyaji
 
Imenishangaza sana kuona Club ya Young Africans wanakubali mkataba wa kimangungo kabisa.

1 bilion kwa miaka mitano ni hela ndogo sana na sijui watanufaikaje nayo in a long run.

Pesa ambayo kwa mwezi ni Milioni 16.6 tu..

This is too stupid for the club development
529,000 na kidogo kwa siku wewe unadhani haitoshi? Swali fikirishi wewe unaweza changia ngapi kwa siku, GSM is a group of companies and one of them is ready to contribute that much every day
 
Imenishangaza sana kuona Club ya Young Africans wanakubali mkataba wa kimangungo kabisa.

1 bilion kwa miaka mitano ni hela ndogo sana na sijui watanufaikaje nayo in a long run.

Pesa ambayo kwa mwezi ni Milioni 16.6 tu..

This is too stupid for the club development
Mpinzani wa gsm katika huo udhamini aliweka propasal ya kiasi gani?
 
Usiwe mbishi, hakuna mkataba wa Simba wenye hela ndogo kama hiyo. Mo Energy tu mwaka 2018 ulikuwa sh. 250M kwa mwaka, huu mwaka 2024 mtu anakuja kukupa 200M kweli, halafu anakupa mkataba mrefu wa miaka mitano bila kujali thamani ya fedha ya wakati huo? Heri basi angeweka mwaka mmoja mmoja kama Mo Energy ya Simba ili walau kila mwaka kuwepo mazungumzo ya kuupandisha thamani
Umesoma nilichokuuliza??
 
Imenishangaza sana kuona Club ya Young Africans wanakubali mkataba wa kimangungo kabisa.

1 bilion kwa miaka mitano ni hela ndogo sana na sijui watanufaikaje nayo in a long run.

Pesa ambayo kwa mwezi ni Milioni 16.6 tu..

This is too stupid for the club development
Mlete mtu ambae walau atatoa mil20 kwa mwezi tuone
 
Usiwe mbishi, hakuna mkataba wa Simba wenye hela ndogo kama hiyo. Mo Energy tu mwaka 2018 ulikuwa sh. 250M kwa mwaka, huu mwaka 2024 mtu anakuja kukupa 200M kweli, halafu anakupa mkataba mrefu wa miaka mitano bila kujali thamani ya fedha ya wakati huo? Heri basi angeweka mwaka mmoja mmoja kama Mo Energy ya Simba ili walau kila mwaka kuwepo mazungumzo ya kuupandisha thamani
Thamani ya mkataba wa tangazo kwenye jezi inategemea pia nembo ya bidhaa imewekwa wapi! Mo Extra ipo mbele, tena kifuani inaonekana wazi wazi! Hata ukisema u-Google jezi za Simba, Mo Energy utaiona lakini tangazo la Utopolo lipo mgongoni tena juu kabisa karibu na shingo.; na hata uki-Google ni ngumu kuona kwa sababu mara nyingi hizi jezi mitandaoni zinaoneshwa mbele! Hata ukiingia kwenye pages zao za klabu, tangazo la Mo Extra utaliona kila palipo na jezi ya Mnyama lakini itabidi upekue sana kuona tangazo la energy ya GSM kwenye jezi za Uto hata kwenye pages za klabu! So, ukitoa factors zingine, matangazo kama hayo kwa kuangalia positions zao hayawezi kuwa na gharama sawa! Tena Mo alitakiwa kulipa zaidi ya hiyo kutokana na position ya Mo Extra Logo.
 
Labda wamemaanisha bilioni 1 kwa mwaka kwa miaka mitano.

Yaan 5 bilions in totoal
Tunaleta ushabiki tu lakini 1B haiwezi kuwa viable kwa GSM kwa sababu pamoja na mambo mengine, logo yenyewe ipo nyuma ya jezi tena juu kabisa karibu na shingoni. Hii ni tofauti na Mo Extra tunayoisema ambayo ipo mbele tena kwenye best position. Mbali na hayo, kinywaji chenyewe bado kipya, ndo kwanza kinaingia sokoni na unaweza kukuta bei yake ni 500! Sasa ukitoa costs zote (before Utopolo) za kuzalisha na kuuza chupa ya sh 500; assume wanabaki na Sh 300. Sasa kutoka hapo kwenye 300 halafu ulipe 1B nyingine huku soko likiwa limefuruka energy drinks; sio kazi ndogo! Mbaya zaidi, GSM hajajikuta kwenye fast moving consumer products kwahiyo hata distribution channel yake labda inaweza kuwa robo tu ya watu kama Azam wanaouza hadi maandazi na chapati hadi uswahilini!!
 
Back
Top Bottom