Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Yale mabango ya MO yaliyotapakaa kwenye jezi ya simba yanalipiwa shilingi ngapi kwa mwaka mkuu?bora wangekausha tu wasiseme dau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale mabango ya MO yaliyotapakaa kwenye jezi ya simba yanalipiwa shilingi ngapi kwa mwaka mkuu?bora wangekausha tu wasiseme dau
Hapa umeoandika kama msomi na mtu wa marketing haswaa siyo hawa wengine wanaandika tu kwasababu simu ina bunddle au wapo kwenye WI-F maofisini hukoThamani ya mkataba wa tangazo kwenye jezi inategemea pia nembo ya bidhaa imewekwa wapi! Mo Extra ipo mbele, tena kifuani inaonekana wazi wazi! Hata ukisema u-Google jezi za Simba, Mo Energy utaiona lakini tangazo la Utopolo lipo mgongoni tena juu kabisa karibu na shingo.; na hata uki-Google ni ngumu kuona kwa sababu mara nyingi hizi jezi mitandaoni zinaoneshwa mbele! Hata ukiingia kwenye pages zao za klabu, tangazo la Mo Extra utaliona kila palipo na jezi ya Mnyama lakini itabidi upekue sana kuona tangazo la energy ya GSM kwenye jezi za Uto hata kwenye pages za klabu! So, ukitoa factors zingine, matangazo kama hayo kwa kuangalia positions zao hayawezi kuwa na gharama sawa! Tena Mo alitakiwa kulipa zaidi ya hiyo kutokana na position ya Mo Extra Logo.
Azam mbishi sanaTunaleta ushabiki tu lakini 1B haiwezi kuwa viable kwa GSM kwa sababu pamoja na mambo mengine, logo yenyewe ipo nyuma ya jezi tena juu kabisa karibu na shingoni. Hii ni tofauti na Mo Extra tunayoisema ambayo ipo mbele tena kwenye best position. Mbali na hayo, kinywaji chenyewe bado kipya, ndo kwanza kinaingia sokoni na unaweza kukuta bei yake ni 500! Sasa ukitoa costs zote (before Utopolo) za kuzalisha na kuuza chupa ya sh 500; assume wanabaki na Sh 300. Sasa kutoka hapo kwenye 300 halafu ulipe 1B nyingine huku soko likiwa limefuruka energy drinks; sio kazi ndogo! Mbaya zaidi, GSM hajajikuta kwenye fast moving consumer products kwahiyo hata distribution channel yake labda inaweza kuwa robo tu ya watu kama Azam wanaouza hadi maandazi na chapati hadi uswahilini!!