Kwa Hiyo Yanga Mmeingia mkataba wa milioni 16.6 kwa mwezi na GSM?

Hapa umeoandika kama msomi na mtu wa marketing haswaa siyo hawa wengine wanaandika tu kwasababu simu ina bunddle au wapo kwenye WI-F maofisini huko
 
Huo si mshahara wa CEO Wa geita gold kwa mwezi.
 
Azam mbishi sana

Jamaa anauza hadi barafu, tuliokula barafu kpnd tunasoma tukiona hizi icecreams zake mabarabarani tubakumbuka mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…