Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mahitler hayatokaa yaishe duniani kabisa hata hili nalo ni mojawapoUna mpiga block kisa kakuambia usichopenda??? Majitu mengine mapumbavu sana
Mkuu labda kipendacho roho. Mimi kwangu hii ingekuwa jezi ya Simba hata bure sichukui
Leta na ronya la Vunja Bei, bango la matangazoView attachment 1908495
Utopolo wenu huo
Mikia MNA matatizo ya akili, badala mjisikitikie nyie mnaisikitikia Yanga?
Hazina matangazo kama lile gazeti
Jezi ina matangazo elfuJezi kali sana na imeenda na slogan yetu ya yanga ya " sisi tuna watu"
Hahahaha.....MIKIA ni MIKIA tu wallahKuna masenge humu hatari yan jitu ni shabiki mkate la simba bt linaanzsha uzi wa kukosoa jezi ya yanga
Ni swala la muda tu tunasubiri za vunja bei sasa msimu uliopta mlitengeneza jezi aina 3 kupambana na jezi moja tu ya yanga na bado mkaangukia pua mpk mwamedi akaona isiwe shida akampa kaz vunja bei
Msimu huu mtatengeneza aina 6 kupambana na hii mtatengeneza jezi ya
Kombe la mapinduzi
Kombe la ligi kuu
Kombe la shirikisho
Kombe la club bingwa mkitolewa mnatengeneza ya shirikisho
Na bado hamtafua dafu
vipi MIKIA wana maswali zaidi?sasa hapo manara angekolezwa na rangi nyeupe tumjue
Jezi ya Yanga hasa hii ya njano ni kali sana nitainunua hii jezi.
Mwamedi anayatumia majitu ya mbumbumbu kama misukule,