Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

MACCM ndo walio nachuki naye kwa kuandaa mkakati wa kumpoteza ila Mungu hakupenda afe kwa zamu ile
 
JIWE fedha za kampeni atapata wapi? CCM fedha za kampeni itazipata wapi?
 
Na huu umri wangu sijawahi kuona Mzalendo anayewatetea Mabeberu km Lissu
Mtu mzima bila aibu mishipa imemchomoka anawatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu!

Mna raslimali gani za kuibiwa? Ni mzungu gani anamsubiri Lissu ili aibe raslimali za nchi hii? Kwani ni kipi mpaka sasa hivi wamekosa kwenye hizo raslimali, hadi wasubiri Lisu awatetee? Bado mnaishi kwenye hizo propaganda za kizee?
 
Na aliyakiri hadharani mapungufu yake. Aliandika na vitabu viwili vya kukusoa, Tujisahihishe na Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania. Vitabu hivi vyote vililenga kujikosoa na kurekebisha
Halafu wanatokea wajingu kama hawa wanamuona kama alikuwa Mungu mtu
 
JIWE fedha za kampeni atapata wapi? CCM fedha za kampeni itazipata wapi?
Tuna bilioni 80 za miradi ,ruzuku nk hatujazifisadi zime park zinasubiri filimbi tu ya uchaguzi . Chadema mumezila zote hamjabakiza kitu akaunti nyeupeee mtakoma
 
Amka ndotoni Mkuu
Jana vyombo vya duniani vimemuingiza Rais Magufuli katika orodha ya Ma Rais kumi bora duniani wanaojenga uchumi na maendeleo kwenye Nchi zao

Membe anawafaa Chadema kwakuwa wanakumbatia mafisadi
 
Sijaambiwa na mtu nimesoma tathimini za awali na za sasa za ndani zilizofanyika

Ni wazi Chadema haina jimbo hata moja
Magufuli ndio kakuambia kuwa ameiagiza tume ya uchaguzi kufanya hivyo?
 
Mbunge wa Chadema alisema lissu kupigwa risasi ilikuwa mpango wa chama Kwasababu alitaka kujijenga yeye

Ndio Chadema walimtorosha dereva wa lissu asihojiwe kuna mengi yamejificha
Mlivyo taka kumtoa roho hamkujua kuwa ni mropokaji?
 
Huo ni uwongo dhahiri shairi, Rais Magufuli ni mwanademokrasia
Angekuwa anakubalika asingekuwa anaagiza mabox ya kura yatolewe vituoni kwenda kujazwa kura za ccm. Tusingekiwa tunaona ukatili na uhayawani wa wazi kwenye chaguzi ili ccm watangazwe washindi.
 
Sasa mnashindwa nini kumkamata huyo mbunge ili awaeleze ukweli?
Mbunge wa Chadema alisema lissu kupigwa risasi ilikuwa mpango wa chama Kwasababu alitaka kujijenga yeye

Ndio Chadema walimtorosha dereva wa lissu asihojiwe kuna mengi yamejificha
 
Tunamsubiria tuje tumpige kwenye boks la kura

Saa tatu asubuhi tu iyena iyena inaanza mtaani
Mnaweweseka na hapo ndiyo bado asubuhi, bado dume la mbegu halija tia team
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…