Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Acha uoga dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnakuwa na ubaguzi kama askari mzunguWaoga ni hawa wanaosukumana mlangoni nani aende nje
kitakachomjengea mazingira magumu uyu bwana aliyepo madarakan ni kwamba ametengeneza maadui wengi sana kipindi hiki cha uongozi wake, yaan wahanga ni wengi kuliko vipindi vyote vya uongoz, watu wametekwa sana, watu wametumbuliwa sana hatimaye mustakhabali wa maisha yao kuharibiwa, mishahara kwa wafanya kazi haijapanda ndan ya miaka mitano, kufanya vitu nje ya katiba ya jamhur ya muungano mfano kununua midege ile wakati wananchi uku wanakufa njaa, watu wametolewa bunduki hadharan kama vile tupo sudan, yaan ki uhalisia uongozi wa uyu bhana ni mgum sana japo yapo mazuri pia aliyoyafanya
[emoji23] [emoji23] uoga ni kitu kibaya sana
Kwani mna hofu gani na LISSU? Kama hafai si ndo itakuwa njema kwenu kupata ushindi? Hofu yenu kwa LISSU ni nini?CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani
Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Baba wataifa sio Alfa na Omega babu , alikuwa na makosa yake kama binadamu
Tulia msumali ufanye kazi yake kwenye mbaoCHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani
Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Acha uoga dogo
Alisemaje anapomtukana?Kumtukana Baba wa Taifa mwalimu Nyerere ni kujitakia laana tu! huwezi kujua labda laana imeanza kumuandama
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani
Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
CHADEMA haihitaji ushauri wako
Jr[emoji769]
si mnasema chama kimekufa au nasikiaga vibaya.Mkuu October sio mbali msije mkamkimbia yule jamaa enu unfit
Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe
Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana
Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !
Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu
Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... Kila mwanaCCM anamuota LISSUMbona mnamtizama lissu pekee wakati wapo wengi waliatangaza nia? MNAMWOGOPA?
Hizo ngonjera alizianza Wasira lkn hadi leo bado cdm inawalaza hoi na magonjwa ya moyo juuHuu ni ushauri tu kwa faida ya Chadema lasivyo itasambaratika haitasimama tena
Ila Mwenyekiti wetu ametuweza sana awamu hii, bilioni 1.2 kwa mwezi anazitumia kufanya nini wakati kila kitu analipiwa kupitia kodi zetu? Ama ndio hizi anagawa makanisani, misikitini na barabarani? Hayo ndiyo matumizi sahihi ya kodi zetu?
2020 Twende na Membe, huyu anapaswa kupumzishwa ikibidi hata kwa lazima. Wana CCM wenzangu, huyu atatuaibisha kwenye sanduku la kura asubuhi tu.
Usiogope mtashinda kwa 99.99% kama ule ushindi wa serikali za mitaa
Aliyekuomba utuchagulie Mgombea ni nani?Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe
Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana
Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !
Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu
Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe