Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Maadui Rais Magufuli ni

mafisadi,

wapiga dili

vyeti feki pamoja na

wauza madawa ya kulevya

Km upo kwenye hili kundi pole lazima ukanyee ndoo
kitakachomjengea mazingira magumu uyu bwana aliyepo madarakan ni kwamba ametengeneza maadui wengi sana kipindi hiki cha uongozi wake, yaan wahanga ni wengi kuliko vipindi vyote vya uongoz, watu wametekwa sana, watu wametumbuliwa sana hatimaye mustakhabali wa maisha yao kuharibiwa, mishahara kwa wafanya kazi haijapanda ndan ya miaka mitano, kufanya vitu nje ya katiba ya jamhur ya muungano mfano kununua midege ile wakati wananchi uku wanakufa njaa, watu wametolewa bunduki hadharan kama vile tupo sudan, yaan ki uhalisia uongozi wa uyu bhana ni mgum sana japo yapo mazuri pia aliyoyafanya
 
Ila Mwenyekiti wetu ametuweza sana awamu hii, bilioni 1.2 kwa mwezi anazitumia kufanya nini wakati kila kitu analipiwa kupitia kodi zetu? Ama ndio hizi anagawa makanisani, misikitini na barabarani? Hayo ndiyo matumizi sahihi ya kodi zetu?

2020 Twende na Membe, huyu anapaswa kupumzishwa ikibidi hata kwa lazima. Wana CCM wenzangu, huyu atatuaibisha kwenye sanduku la kura asubuhi tu.
 
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais

Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi

Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru

Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani

Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama

Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Kwani mna hofu gani na LISSU? Kama hafai si ndo itakuwa njema kwenu kupata ushindi? Hofu yenu kwa LISSU ni nini?
 
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais

Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi

Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru

Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani

Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama

Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Tulia msumali ufanye kazi yake kwenye mbao
 
Mmeanza kuweweseka, tulieni kiboko yenu awatawale
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais

Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi

Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru

Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani

Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama

Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
 
Kudadadeeeki mmeanza kuhara
Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe

Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana

Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !

Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu

Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe
 
Ndio mkubwa tunataka membe asimame Chadema ili ampe changamoto Rais Magufuli asipate 100% kwani akisimama mropokaji wa ubeligiji mtapigwa tatu bila
Ila Mwenyekiti wetu ametuweza sana awamu hii, bilioni 1.2 kwa mwezi anazitumia kufanya nini wakati kila kitu analipiwa kupitia kodi zetu? Ama ndio hizi anagawa makanisani, misikitini na barabarani? Hayo ndiyo matumizi sahihi ya kodi zetu?

2020 Twende na Membe, huyu anapaswa kupumzishwa ikibidi hata kwa lazima. Wana CCM wenzangu, huyu atatuaibisha kwenye sanduku la kura asubuhi tu.
 
Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe

Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana

Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !

Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu

Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe
Aliyekuomba utuchagulie Mgombea ni nani?
 
Back
Top Bottom