Boeing 757
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 288
- 620
Ndio ujue binadamu tu wanafiki ..... Leo wanaishauri chadema.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]Leo mnampenda mbowe.the teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ujue binadamu tu wanafiki ..... Leo wanaishauri chadema.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]Leo mnampenda mbowe.the teh
Kwa kutumia magoli ya netboli?
Jr[emoji769]
Seriously?Lissu mnamkuza kwenye mitandao tu lln kiuhalisia hana impact yoyote
Upinzani hauhitaji chama
Hata enzi za Tanu na Ccm kulikuwa hakuna chama wala ruzuku
Yaani timu ya Simba ikaipe ushauri timu ya Yanga namna ya kupata ushindi dhidi yao?Huu ni ushauri tu kwa faida ya Chadema lasivyo itasambaratika haitasimama tena
Lissu mnamkuza kwenye mitandao tu lln kiuhalisia hana impact yoyote
Hofu ya ccm ni dhidi ya Lissu ni ya haki. Wanaccm wanajua vyema wakati mgumu aliokutana nao JK uchaguzi wa 2010 dhidi ya Dr. Slaa. Wanaccm wote wanajua udhaifu alionao Magufuli kwenye kujenga hoja, na ubora na ushawishi alionao nao Lissu, wanajua fika ccm itaenda kupoteza mvuto bandia ilioujenga kwa kutumia vyombo vya dola, kunyima uhuru wa vyombo vya habari, kundi la watu wasiojulikana nk. Hivyo hawako tayari Lissu agombee maana wanajua watajikuta kwenye wakati mgumu mno wakati wa uchaguzi, na hasa baada ya uchaguzi.
Huo ushauri kampe Bia Yetu.Ni ushauri tu km mnataka chama kisiingie shimoni
Hjashawishi umma ukuelewe kwa sababu hizi, bado lissu atabaki kua mwamba wa kutuvusha katika hali ngumu hii ya maisha
Hakuna uwezekano wa cdm kukosa wabunge chini ya 50 kwa njia ya kura. Hilo toa kabisa kwenye matamanio yako.
Kama CHADEMA imekufa mbona Lumumba yote imehamia Jf kupambana na TLissu??
Nyuma ya hao watumiaji wa jf kuna wabongo mil 30Usichokijua jamii forum inawatumiaji active chini ya laki tatu hao ndio wanamjua lissu nje ya hapo lissu is nothing
Mtaa upi ambao sisi hatufiki, au unadhani watu kunyamaza kwa kuhofia lile kundi lenu la watu wasiojulikana, basi ndio wanaikubali ccm?
Hatuuhitaji ushauri wko maana hauna kichwa wala miguu
Hatuwezi kuukumbuka hata iweje maana October tutakuwa ikulu tayarOctober mtanikumbuka
Yaani timu ya Simba ikaipe ushauri timu ya Yanga namna ya kupata ushindi dhidi yao?
Kweli maajabu hayataisha duniani!!!
Mkuu October msije kusema hatuwaambia chama kitakosa hata ruzuku ya mbunge mmoja
Membe sio potential sana kama alivyokuwa babu wa Monduli kunako 2015. Bakini nae tu2015 Lowasa alileta kura za Ccm
Mchukeni Membe aongeze kura za Ccm la sivyo huyo jamaa enu hata kura laki moja hapati
una kifafa gani mkuu