Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Upinzani hauhitaji chamaSasa bila ruzuku mtaendeshaje chama?
Hata enzi za Tanu na Ccm kulikuwa hakuna chama wala ruzuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upinzani hauhitaji chamaSasa bila ruzuku mtaendeshaje chama?
Ushauri una pande mbili.kukubaliwa au kukataliwa.waachie chadema
Lissu mnamkuza kwenye mitandao tu lln kiuhalisia hana impact yoyoteHivi hofu juu ya Lissu ni ipi mpaka mnahangaika naye kiasi hiki? Mnadhani mnamchafua kumbe ndio kwanza mnamjenga na kumtangaza zaidi
Jr[emoji769]
Tuache unafiki na chuki za u vyama lisu ni mzalendo wa kweli wa Tanganyika tatizo amegusa maslahi ya wakubwa
Mbona Una weweseka
Uzi wa kipuuzi kabisa!
Hivi hofu juu ya Lissu ni ipi mpaka mnahangaika naye kiasi hiki? Mnadhani mnamchafua kumbe ndio kwanza mnamjenga na kumtangaza zaidi
Jr[emoji769]
CCM imekosa dira ya demokrasia sioni haja ya vitisho maana Ccm ina kila kitu hata bila vitisho wanaweza kushinda.
Waambieni wananchi mliyo fanya ni mengi hususan kwenye miundombinu hata kama mna sera mbovu bado nafasi mnayo ila hofu ndiyo imewafanya mmejenga ukatili na manyanyaso kwa kila mnayetofautiana nae
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani
Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Wanzio Chadema wamepata ujumbe wasipoufanyia kazi October hawatapata mbunge hata mmoja
Sababu ni moja tu inayomkosesha sifa.ku saport ushoga.hapo tu ndo kaaribu
Kama CHADEMA imekufa mbona Lumumba yote imehamia Jf kupambana na TLissu??Chadema ilikataa ushauri kama hivi ikafa
Ngoja niendelee na kazi nikikumbuka nitakujibu nani ni mzalendo kati ya lisu na MagufuliNa huu umri wangu sijawahi kuona Mzalendo anayewatetea Mabeberu km Lissu
Mtu mzima bila aibu mishipa imemchomoka anawatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu!
Liasu na wote ulowataja hawana sifa za kuwa maRais wa Tanzania labda wawe maRais wa Wasafi. Sioni sababu ya Chadema kuingia kwenye kintang'anyiro cha Urais maana hakina mtu mwenye sifa hata mmoja
Tangu lini ccm wakaitakia mema CHADEMA?????
Mkuu Nadhani Wewe unachukua mtazamo wa mtandaoni hasa jamii forum
Ila nenda mtaani utajua balaa la Ccm
Tuombe uhai October nitakukumbusha ushindi wa kimbunga wa Ccm
Acheni hofu jengeni hoja za mliyoyafanya shaurini viongozi wenu msiegemee upande mmoja demokrasia safi ni maendeleo ya watu na vitu.
Tuache kugombana kwasababu ya vyama na watu tutangulize uzalendo wa taifa letu
Hiyo namba unayocheza mimi niliitendea haki zaidi uchaguzi uliopita, chini ya Nape na Makamba Jr! [emoji28]
Hatuuhitaji ushauri wko maana hauna kichwa wala miguuHuu ni ushauri tu kwa faida ya Chadema lasivyo itasambaratika haitasimama tena