Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
- Thread starter
- #81
Na anajivunia kuwatumikia Mabeberu huku ndugu zake kule Singida wakiwa ni masikini wa kutupwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwani hana kitu ni kama kibuyu kitupuCHADEMA haihitaji ushauri wako
Jr[emoji769]
Demokrasia ni uwanja mpana wenye mkitadha na ladha ya ushindani hii yetu sio demokrasia tena imepoteza maana.Unataka raha ya siasa sio matokeo bora
Leo mnampenda mbowe.the teh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]CHADEMA haihitaji ushauri wako
Jr[emoji769]
Kwani Nakusingizia kamanda? Tangu lini chama tawala kikawashauri wapinzani wake namna ya kukiondoa madarakani?
Narudia lisu ni unfit so hawezi kuwa amiri jeshi mkuu
Si ajabu tukaumbuka October,siyo mara ya Kwanza tunaumbuka.
Kawashauri maccm wenzako huko lumumba
CCM imekosa dira ya demokrasia sioni haja ya vitisho maana Ccm ina kila kitu hata bila vitisho wanaweza kushinda.Ccm kitashinda kwa demokrasia Mkuu
Sidhani km kuna ubakaji wa demokrasia
Takagua jeshi anachechemea
Lissu kapata matatizo ya akili baada ya kushambuliwa, anapenda mabeberu ni msaliti.
Mh. Kwa matokeo ya uraisi ya 2015, sidhani kama CCM wanatamani itokee kilichotokea. It was a horror movie
Tangu lini ccm wakaitakia mema CHADEMA?????CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani
Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Acheni hofu jengeni hoja za mliyoyafanya shaurini viongozi wenu msiegemee upande mmoja demokrasia safi ni maendeleo ya watu na vitu.Mkuu niweweseke kwa mtu unfit? Huyo jamaa enu hamna kitu pale
Hiyo namba unayocheza mimi niliitendea haki zaidi uchaguzi uliopita, chini ya Nape na Makamba Jr! 😅Tunaishauri Chadema la sivyo October mtanikumbuka
Mtapigwa tatu bila
Na kosa ambalo halitaka lijirudieMh. Kwa matokeo ya uraisi ya 2015, sidhani kama CCM wanatamani itokee kilichotokea. It was a horror movie
Hii ngoma tuachieni sisi nyie chezeni ya
Hii ngoma tuachieni tuicheze wenyewe nyie pambaneni kivyenu tusifuatiliane [emoji57][emoji57][emoji57]
Kwa kutumia magoli ya netboli?Mkuu ni ushauri tu, la sivyo October mtajilaumu mtapigwa tatu bila
Wacha wafutike vyama viko Vingi, twende na lissu kwanza.