Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe
Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana
Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !
Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu
Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe