Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe

Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana

Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !

Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu

Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe
Lisu alishakuwa blacklisted kama seif
 
Mimi nawashauri CHADEMA msisikilize ushauri wa watu wanaompinga Lissu kama huyu jamaa. Simameni na msimamo wenu.
 
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais

Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi

Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru

Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani

Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama

Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.

Sasa ww kama ccm si ndio muda wako mzuri kuiacha chadema inatumbukia shimoni
 
Mkuu hakuna mwenye hofu na huyo mtu ! Mtu anayeropoka utakuwa na hofu naye vipi?
Hivi hofu juu ya Lissu ni ipi mpaka mnahangaika naye kiasi hiki? Mnadhani mnamchafua kumbe ndio kwanza mnamjenga na kumtangaza zaidi

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom