Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Siasa za ushindani zina raha yake vijana wa lumumba kuweni flexible ili mshauri chama chenu ushindi wa 99.99 ni ubakaji wa demokrasia na ni dhambi kubwa sana.
Unataka raha ya siasa sio matokeo bora
 
Ndio tunaotaka hadi mpoteane
Siasa nzuri ni zile za ushindani usifurahi kwa sababu ya haya tusipojenga demokrasia nzuri tunatengeneza matatizo ya mstakabali wa kesho
 
Hivi vichekesho sasa ! Lissu atapigiwa kura na nani? Akipata kura hata zile alizopata jimboni kwake za ubunge nahama Nchi
Naambiwa ccm kumechafuka sana baada ya kusikia lissu anataka kugombea urais.kitengo kipo busy
 
Membe mnamlilia sana
Kama kuna kitu watafanya makosa wapinzani ni kumpa membe nafasi ya kupeperusha kijiti cha upinzani naamini kwasasa wapinzani wamejifunza pakubwa kutokana na lowasa
 
Ccm kitashinda kwa demokrasia Mkuu
Sidhani km kuna ubakaji wa demokrasia
Siasa za ushindani zina raha yake vijana wa lumumba kuweni flexible ili mshauri chama chenu ushindi wa 99.99 ni ubakaji wa demokrasia na ni dhambi kubwa sana.
 
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais

Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi

Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru

Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani

Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama

Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Mkuu
Naona malimbikizo yameshalipwa

Sasa Umerudi tena

Karibu Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais

Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi

Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru

Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani

Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama

Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Mbona Una weweseka
 
Chadema wamekuwa wakala wa Mabeberu wanaenda kujizika
Awali chadema walikuwa wanayasema matatizo ya wananchi wanayoyaoata mfano hamna maji umeme barabara mbovu n.k, saivi no agenda yakuzungumza na hamtaki kubadili viongozi ili mpate mawazo mapya, naona ushindi wenu utakuwa finyu sanaaaaa hata mkimpa Tundu lissu awawakilishe.
 
Back
Top Bottom