Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Mh. Kwa matokeo ya uraisi ya 2015, sidhani kama CCM wanatamani itokee kilichotokea. It was a horror movieTunataka Chadema iwe hai ili impe changamoto Ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh. Kwa matokeo ya uraisi ya 2015, sidhani kama CCM wanatamani itokee kilichotokea. It was a horror movieTunataka Chadema iwe hai ili impe changamoto Ccm
Unataka raha ya siasa sio matokeo boraSiasa za ushindani zina raha yake vijana wa lumumba kuweni flexible ili mshauri chama chenu ushindi wa 99.99 ni ubakaji wa demokrasia na ni dhambi kubwa sana.
Huyu jpm kuna watu wanamtamaniMbona ccm haijafa na INA mgombea mropokaji?
Siasa nzuri ni zile za ushindani usifurahi kwa sababu ya haya tusipojenga demokrasia nzuri tunatengeneza matatizo ya mstakabali wa keshoNdio tunaotaka hadi mpoteane
Naambiwa ccm kumechafuka sana baada ya kusikia lissu anataka kugombea urais.kitengo kipo busy
Hii ngoma tuachieni sisi nyie chezeni yaTunapenda Chadema isife kumsimamisha huyo mropkaji ni kuiua Chadema
Hii ngoma tuachieni tuicheze wenyewe nyie pambaneni kivyenu tusifuatiliane 😏😏😏Tunapenda Chadema isife kumsimamisha huyo mropkaji ni kuiua Chadema
pointless! inaonyesha umekosa cha kuongea ww
Kiuzi chako cha chekechea kipoNaona Mavi Ya Kuharisha Yameanza Kupyuuu..
Kama kuna kitu watafanya makosa wapinzani ni kumpa membe nafasi ya kupeperusha kijiti cha upinzani naamini kwasasa wapinzani wamejifunza pakubwa kutokana na lowasaMembe mnamlilia sana
Maneno yako yamejaa hofu na woga lakini huoni ujue
Jr[emoji769]
Wacha wafutike vyama viko Vingi, twende na lissu kwanza.Sio tunampinga tunaipenda Chadema tunataka isife
Wakimsimamishe huyo Mzee wa MIGA watafutika
Nashauri tuwapelekee man. Au we unasemaje? 🤣 🤣 🤣Huyu jpm kuna watu wanamtamani
Ushauri una pande mbili.kukubaliwa au kukataliwa.waachie chademaMkuu ni ushauri tu, la sivyo October mtajilaumu mtapigwa tatu bila
Kwa uropokaji lissu 60%, jpm 95%Duu lissu ni unfit ase maana akianza kuropoka hadi unamute sauti
Siasa za ushindani zina raha yake vijana wa lumumba kuweni flexible ili mshauri chama chenu ushindi wa 99.99 ni ubakaji wa demokrasia na ni dhambi kubwa sana.
MkuuCHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani
Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Tuache unafiki na chuki za u vyama lisu ni mzalendo wa kweli wa Tanganyika tatizo amegusa maslahi ya wakubwaHauyumbishwi kwa kuwatumikia na kuwatetea Mabeberu dhidi ya raslimali zetu ?
Mbona ccm haijafa na INA mgombea mropokaji?
Mbona Una wewesekaCHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani
Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Awali chadema walikuwa wanayasema matatizo ya wananchi wanayoyaoata mfano hamna maji umeme barabara mbovu n.k, saivi no agenda yakuzungumza na hamtaki kubadili viongozi ili mpate mawazo mapya, naona ushindi wenu utakuwa finyu sanaaaaa hata mkimpa Tundu lissu awawakilishe.