Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Mimi sina chama mkuu ni ushauri tu nimekupa uache uogaMkuu fanyieni kazi ushauri otherwise mnaenda kufa vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sina chama mkuu ni ushauri tu nimekupa uache uogaMkuu fanyieni kazi ushauri otherwise mnaenda kufa vibaya
Wewe na nani mnaotaka?
Hapana Mkuu, hapa naongea kama mwana CCM kindaki ndaki. Membe atatufaa sana kwa awamu ijayo, Magufuli ameishiwa pumzi. Uchumi umekorogeka, deni la Taifa linazidi kuongezeka, ufisadi wa zile Trilion 2.5, matumizi mabaya ya madaraka na kujilipa bilioni 1.2 za chee kila mwezi n.k. Huoni kama likiruhusiwa JUKWAA HURU, CCM hatutakuwa na hoja yeyote? Magufuli sasa basi, Twende na Membe.Unaamini hizo propaganda za Chadema
Haya Subiri membe atapewa 2025 baada ya Rais Magufuli kustaafu
Kwani mna hofu gani na LISSU? Kama hafai si ndo itakuwa njema kwenu kupata ushindi? Hofu yenu kwa LISSU ni nini?
Tulia msumali ufanye kazi yake kwenye mbao
Hahaha labda wabunge wa kuchora
Ila mimi nilipo najua, tathimini imekuja najua Chadema hana jimbo la kushinda October
Mmeanza kuweweseka, tulieni kiboko yenu awatawale
Wacha kuwashwa washwaTunataka mgombea atakayempa chagamoto mgombea wa Ccm Rais Magufuli
Mkimsimamisha huyo mropkaji aliyeko ubeligiji hata diwani hamtapata
Hata wewe unaweza kuwa kilema Mungu akitakaMwenzako toka amtukane balaa na mikosi vimemuandama huoni amekuwa kilema !
Tuweweseke kwa mropkaji[emoji1] acha utani
si mnasema chama kimekufa au nasikiaga vibaya.
hofu ya nini sasa
Hata wewe unaweza kuwa kilema Mungu akitaka
Mkuu mtaa wote upo na Magufuli vijana wanamuita Baba lao
Trust me upepo wa Rais Magufuli ni noma mtaani, Mzee anakubalika hakuna
Hizo ngonjera alizianza Wasira lkn hadi leo bado cdm inawalaza hoi na magonjwa ya moyo juu
Hakuna mwenye hofu ila tunataka mgombea atakayempa chagamoto mgombea wa Ccm Rais Magufuli
Mkimsimamisha huyo mropkaji aliyeko ubeligiji mtapigwa asubuhi
Na aliyakiri hadharani mapungufu yake. Aliandika na vitabu viwili vya kukusoa, Tujisahihishe na Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania. Vitabu hivi vyote vililenga kujikosoa na kurekebishaBaba wataifa sio Alfa na Omega babu , alikuwa na makosa yake kama binadamu
Aliyekuomba utuchagulie Mgombea ni nani?
Ohooo! Hii ni Ccm mpya ! Kishindo cha awamu ya tano mtapigwa asubuhi
Mimi ni Mtanzania naruhusiwa kutoa ushauri
Pesa Lisu Hana za kampeni na chadema haina hela. Akiulizwa una shilingi ngapi za kampeni mfukoni Hana hata MiaCHADEMA haihitaji ushauri wako
Jr[emoji769]