Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
- Thread starter
-
- #221
Pesa Lisu Hana za kampeni na chadema haina hela. Akiulizwa una shilingi ngapi za kampeni mfukoni Hana hata Mia
Na safari hii Hakuna tajiri atakuwa tayari kumgharimia kampeni Baada ya kuwatoa Lowasa na Sumaye wenye connection na matajiri
Kiujumla chadema uchaguzi huu kina Hali mbaya pesa hakina na Lisu lofa
MACCM ndo walio nachuki naye kwa kuandaa mkakati wa kumpoteza ila Mungu hakupenda afe kwa zamu ile
Lisu ameshindwa kabla hajaanzaTunamsubiria tuje tumpige kwenye boks la kura
Saa tatu asubuhi tu iyena iyena inaanza mtaani
Kwa nini usishauri JIWE apumzike, kama ni kuua upendo na utaifa wetu kafanikiwa. Nini amebakiza?
JIWE fedha za kampeni atapata wapi? CCM fedha za kampeni itazipata wapi?
Mna raslimali gani za kuibiwa? Ni mzungu gani anamsubiri Lissu ili aibe raslimali za nchi hii? Kwani ni kipi mpaka sasa hivi wamekosa kwenye hizo raslimali, hadi wasubiri Lisu awatetee? Bado mnaishi kwenye hizo propaganda za kizee?
Alitaka ubunge akiishi Ulaya na kuogopa kurudi, anafikiri siye wajinga kama yeye.Anawapenda Mabeberu kuliko wapiga kura wake masikini walioko Singida
Anajenga uchumi kwani ulibomolewa na utawala wa chama gani?Mkuu kazi ya Magufuli ni kujenga uchumi na maendeleo tuliolilia kwa miaka mingi
Kazi ya upendo tunamuachia mume wako, mwambie akupende haswa serkali haiwezi kuingilia
kwa akili ya kiccm we unafikiri atakuwa naniTunataka mgombea atakayempa chagamoto mgombea wa Ccm Rais Magufuli asipate 100%
Kwanini siyo 100%?Rais Magufuli haitaji kupiga kampeni hata asipopiga kampeni tutampigia kura na ushindi ni 98%
Kwani anafanya mambo makubwa sana
Ndio mbadanganyana mkikutana?
Kwani kupata kilema mpaka umtukane huyo Mungu mtu?
Labda atapewa na Mabeberu pesa za kampeni kwa lissu kuwaahidi raslimali zetu
Inakuumiza wewe uliye shiriki maangamizo ya mh lissu
Sasa mnashindwa nini kumkamata huyo mbunge ili awaeleze ukweli?
Anajenga uchumi kwani ulibomolewa na utawala wa chama gani?
Lisu ameshindwa kabla hajaanza
Alitaka ubunge akiishi Ulaya na kuogopa kurudi, anafikiri siye wajinga kama yeye.
kwa akili ya kiccm we unafikiri atakuwa nani