Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
- Thread starter
- #221
Labda atapewa na Mabeberu pesa za kampeni kwa lissu kuwaahidi raslimali zetu
Pesa Lisu Hana za kampeni na chadema haina hela. Akiulizwa una shilingi ngapi za kampeni mfukoni Hana hata Mia
Na safari hii Hakuna tajiri atakuwa tayari kumgharimia kampeni Baada ya kuwatoa Lowasa na Sumaye wenye connection na matajiri
Kiujumla chadema uchaguzi huu kina Hali mbaya pesa hakina na Lisu lofa