Kwa hoja ipi watu wanaamini kuwa taifa la Israel ni taifa la Mungu ingalikuwa ni taifa linaloishi kwa Upanga?

Kwa hoja ipi watu wanaamini kuwa taifa la Israel ni taifa la Mungu ingalikuwa ni taifa linaloishi kwa Upanga?

Kwanini unaamini kuwa maamuzi yake ni ya haki..? Unafikiri kwa kumtenda vile farao ilikuwa ni haki..?
Huoni kuwa kuingilia ufahamu wa mtu na kumtenda utakavyo ni kuingilia Uhuru wake..?
Farao aliua wazaluwa wa kwanza wote wa wayahudi kwa kuwachinja hiyo ilikuwa haki yake? Ulitaka Mungu amuache tu?

Piloi miaka 400 aliwTumikisha wayahudi wote kama watumwa asiowalipa chochote ilikuwa haki yake Farao kufanya hivyo? Ulitaka Mungu amuache tu?
 
Mungu wa biblia,

Imeandikwa katika biblia kuwa Mungu ndie alieliteua taifa la Israel kuwa taifa lake,ambalo kupitia taifa hilo neno lake lingesambazwa dunia nzima!

Katika kitabu hicho kimenadi sana kuwa Mungu kutoka taifa hilo ndie Mungu wa kweli na uzima pia kikanadi kuwa Mungu ndie pekee angeweza kuwafikisha wana wa Abraham ktk nchi ya asali na maziwa ambayo ndo Israel!

Haikuishia hapo tu bali ikanadi taifa hili kuwa atakaelibariki nae atabarikiwa,vivyohivyo ambae ataridhihaki taifa hili nae atadhihakiwa!. (Sijaandika Kama ilivyoandikwa ila kwa ambao wameshasoma hicho kitabu watakuwa wameshanielewa).

Tukifatilia taifa hili ni moja ya taifa ambalo watu wake wameishi sana kwa upanga(Vita),toka agano la kale mpaka sasa Mambo ni moto.

Moja Kati ya sifa ya Mungu wa taifa hili tumekuwa tukihubiriwa kuwa ni Mungu wa amani lakini taifa lake aliloliteua na kulinadi mbele ya mataifa mengine limekua ni taifa lililotapakaa sana damu!

Je, hiyo ndio amani iliyomjaa Mungu wa taifa hilo?

Mpaka sasa jilani yao palestina amekuwa ni jilani ambae amekuwa akipokea kichapo kikali toka ktk taifa hili teule!
Je,hiyo ndo nchi ya asali na maziwa waliyoahidiwa?

Hata wao wenyewe wamekuwa sio wamoja ktk imani kwani wapo wanaoamini agano la kale nakuacha hili jipya!, namaanisha wanaamini yesu bado hajaja Kama ilivyotabiliwa agano la kale na wanamsubiri bado na pia wapo wanaoamini kuwa aliekuja na kuteswa ndie yesu it means yule alietabiliwa ktk agano la kale ameshakuja na ameshasurubiwa,Kama ilivyoandikwa agano jipya.

Sasa kwa mikanganyiko hii ya wana wa taifa hili teule ambao mikono yao imetapakaa damu kwa kuvunja amri ya Mungu wao wenyewe ya "USIUE" je,ipo haja ya kuamini kuwa hili ni taifa teule au tujue tumepigwa na kitu kizito kichwani..?

Kwani Mungu alikosa njia nyengine ya kuweza kuwapitisha watu wake vizuri nakwaamani pasipo kuwamwagisha damu..?

Hawaoni kuwa wanatupa mkanganyiko hasa wao na Mungu wao kwa kuvunja sheria walizoweka...??

Soma biblia vizuri, ina historia kubwa sana ya upanga
 
Kumekucha! kumekucha!

Hao jamaa na hekaya zao za Mungu wamewafanya mpaka African kua Brain washed hawaambiliki

Yaani Mungu wao El/YHW/JEHOVAH/Elohim

Ni Mungu mshenzi na mgomvi, katili,uncivilized,mwongo na mwenye ahadi hewa Kwa watu wake
Imagine aliwaahidi Babu zao kina Abraham Kwamba uzao wake utakua mwingi kama mchanga wa bahari😁

Akawaambia Tena Atawapa Kaanan iwe Mali Yao Kwa kupora na ubabe,
Aliwatoa misri utumwani et
anawapeleka nchi ya ahadi yenye Asali na maziwa maajabu akawatembeza jangwani miaka 40 hata hawafiki mpaka wakafa wote



Baada ya miaka 40 ndio wanaanza panga vita ya kupora ardhi ya watu yenye maziwa na asali Kwa kuua raia wote mpaka wanawake na watoto!

Alivyo juha Huyo Mungu wao badala Ile Miaka 40 awapeleke kusini mwa jangwa la Sahara kama huku East Afrika au Zimbabwe sehemu yenye maeneo makubwa na hakuna watu wanaishi akaanza akawapeleka kuvamia mashamba ya watu Kaanan

Stupid God!
Weweweweee! Dumas!! Acha, Chunga kinywa chako, tubu haraka sana. Mungu hatukanwi, hata kama huamini kuwa ndiye but ukaamini hayo aliyatenda yeye then amini pia ukuu wake yakuwa ndiye alikuumba pia na pumzi yako imo mikononi mwake. Bora useme Mungu yupo, usimkute, kuliko kusema hayupo, ukamkuta.
Mungu hapangiwi, hajuti na hana hasara.
 
Kumekucha! kumekucha!

Hao jamaa na hekaya zao za Mungu wamewafanya mpaka African kua Brain washed hawaambiliki

Yaani Mungu wao El/YHW/JEHOVAH/Elohim

Ni Mungu mshenzi na mgomvi, katili,uncivilized,mwongo na mwenye ahadi hewa Kwa watu wake
Imagine aliwaahidi Babu zao kina Abraham Kwamba uzao wake utakua mwingi kama mchanga wa bahari😁

Akawaambia Tena Atawapa Kaanan iwe Mali Yao Kwa kupora na ubabe,
Aliwatoa misri utumwani et
anawapeleka nchi ya ahadi yenye Asali na maziwa maajabu akawatembeza jangwani miaka 40 hata hawafiki mpaka wakafa wote



Baada ya miaka 40 ndio wanaanza panga vita ya kupora ardhi ya watu yenye maziwa na asali Kwa kuua raia wote mpaka wanawake na watoto!

Alivyo juha Huyo Mungu wao badala Ile Miaka 40 awapeleke kusini mwa jangwa la Sahara kama huku East Afrika au Zimbabwe sehemu yenye maeneo makubwa na hakuna watu wanaishi akaanza akawapeleka kuvamia mashamba ya watu Kaanan

Stupid God!
Ama kweli bora Mungu sio binadamu. Ningekuchapa kofi moja hadi generation yako ya tisa msingekuja kuziona mvi wala sh 50 mkononi.

Tunza akiba ya maneno huwezi kabisa kumtukana Mungu hata uwe unajihisi we ni mjuaji kiasi gani
 
Weweweweee! Dumas!! Acha, Chunga kinywa chako, tubu haraka sana. Mungu hatukanwi, hata kama huamini kuwa ndiye but ukaamini hayo aliyatenda yeye then amini pia ukuu wake yakuwa ndiye alikuumba pia na pumzi yako imo mikononi mwake. Bora useme Mungu yupo, usimkute, kuliko kusema hayupo, ukamkuta.
Mungu hapangiwi, hajuti na hana hasara.
Yani anatukana kama anatukana mlevi bar. Nimeghafirika
 
Yani anatukana kama anatukana mlevi bar. Nimeghafirika
Hata mimi nimeumia mno mkuu utadhani kanitukana mimi. Ila pia nikamwonea huruma huyu mtukanaji, Mungu asingekuwa wa huruma rehema na upendo na asingekuwa Mungu wa utaratibu asiye mwepesi wa hasira, akawa ni Mungu katili kama wanavyodai, huyu mtu angekwishapokea kichapo siku nyingi hata haya matukano yake tusingeyaona hapa.
 
Israel hii ya freemason sio taifa la Mungu
Waashi waliolikataa jiwe (Yesu), limekuwa jiwe kuu la pembeni.
Mungu aliwachagua Israel kama taifa lake teule, ambalo kwalo aliyaonyesha mataifa mengine ukuu wake ili baadae mataifa yote wamjue, watakao mkubali atakuwa Mungu wao pia. Kuwa Mungu wao nikimaanisha watamwomba, atasikia na kujibu maombi yao.
 
Hata mimi nimeumia mno mkuu utadhani kanitukana mimi. Ila pia nikamwonea huruma huyu mtukanaji, Mungu asingekuwa wa huruma rehema na upendo na asingekuwa Mungu wa utaratibu asiye mwepesi wa hasira, akawa ni Mungu katili kama wanavyodai, huyu mtu angekwishapokea kichapo siku nyingi hata haya matukano yake tusingeyaona hapa.
Atafute ile makala inayoelezea kilichowakuta wale waliomdhihaki Mungu.
 
Mungu wa biblia,

Imeandikwa katika biblia kuwa Mungu ndie alieliteua taifa la Israel kuwa taifa lake,ambalo kupitia taifa hilo neno lake lingesambazwa dunia nzima!

Katika kitabu hicho kimenadi sana kuwa Mungu kutoka taifa hilo ndie Mungu wa kweli na uzima pia kikanadi kuwa Mungu ndie pekee angeweza kuwafikisha wana wa Abraham ktk nchi ya asali na maziwa ambayo ndo Israel!

Haikuishia hapo tu bali ikanadi taifa hili kuwa atakaelibariki nae atabarikiwa,vivyohivyo ambae ataridhihaki taifa hili nae atadhihakiwa!. (Sijaandika Kama ilivyoandikwa ila kwa ambao wameshasoma hicho kitabu watakuwa wameshanielewa).

Tukifatilia taifa hili ni moja ya taifa ambalo watu wake wameishi sana kwa upanga(Vita),toka agano la kale mpaka sasa Mambo ni moto.

Moja Kati ya sifa ya Mungu wa taifa hili tumekuwa tukihubiriwa kuwa ni Mungu wa amani lakini taifa lake aliloliteua na kulinadi mbele ya mataifa mengine limekua ni taifa lililotapakaa sana damu!

Je, hiyo ndio amani iliyomjaa Mungu wa taifa hilo?

Mpaka sasa jilani yao palestina amekuwa ni jilani ambae amekuwa akipokea kichapo kikali toka ktk taifa hili teule!
Je,hiyo ndo nchi ya asali na maziwa waliyoahidiwa?

Hata wao wenyewe wamekuwa sio wamoja ktk imani kwani wapo wanaoamini agano la kale nakuacha hili jipya!, namaanisha wanaamini yesu bado hajaja Kama ilivyotabiliwa agano la kale na wanamsubiri bado na pia wapo wanaoamini kuwa aliekuja na kuteswa ndie yesu it means yule alietabiliwa ktk agano la kale ameshakuja na ameshasurubiwa,Kama ilivyoandikwa agano jipya.

Sasa kwa mikanganyiko hii ya wana wa taifa hili teule ambao mikono yao imetapakaa damu kwa kuvunja amri ya Mungu wao wenyewe ya "USIUE" je,ipo haja ya kuamini kuwa hili ni taifa teule au tujue tumepigwa na kitu kizito kichwani..?

Kwani Mungu alikosa njia nyengine ya kuweza kuwapitisha watu wake vizuri nakwaamani pasipo kuwamwagisha damu..?

Hawaoni kuwa wanatupa mkanganyiko hasa wao na Mungu wao kwa kuvunja sheria walizoweka...??
Mimi kinacho nishangaza ni hiyo Israel ya wazungu kuwa katikati ya msitu wa waarabu!.
JamiiForums1972264734.jpg


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Waashi waliolikataa jiwe (Yesu), limekuwa jiwe kuu la pembeni.
Mungu aliwachagua Israel kama taifa lake teule, ambalo kwalo aliyaonyesha mataifa mengine ukuu wake ili baadae mataifa yote wamjue, watakao mkubali atakuwa Mungu wao pia. Kuwa Mungu wao nikimaanisha watamwomba, atasikia na kujibu maombi yao.
Waisrael bado hawajarudi. Hao wanaojiita waisrael ni WAHUNi tu.
 
Mimi kinacho nishangaza ni hiyo Israel ya wazungu kuwa katikati ya msitu wa waarabu!.View attachment 2498916

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sababu ni matapeli wala sio wenyewe. Na ndio maana hata wanaishia kujiita waisrael kwa ujumla sababu hawawezi kujilink na kabila lolote Kati ya Yale 12. Na according to bibble bado hawajarudi so wamekaa kiuongo uongo tu.
Maana Kuja Juda, Benjamin na Levi
And Kuna isralites wale 10. Ambao MUNGU kasema atawakusanya "beyond the river of Ethiopia"
Na Yuda ambaye ndio alienda UTUMWANI atamkusanya kutoka "KONA NNE ZA DUNIA"
SWALI
1. Nani alienda kona 4 za Dunia Utumwani
2. Nani anaishi beyond the river of Ethiopia.

Nimakaa pale nasubiri....
 
Ungefafanua labda tukuelewe maana mstari kama umekaa kimafumbo hivi.
Nadhani unajua now Ninani wanajiita "wayahudi" ndio Mungu anasema Hao sio ni sinagogi la shetani..... But wayahudi WA kweli anawajua ingawa Sasa WA naonekana ni masikini but machoni kwake ni matajiri.
So Hao unaowaona hapo Israel ni wayahudi WA kutengeneza aka wayahudi WA Hollywood. But waisrael wenyewe hawajarudi hapo ingawa muda unakaribia watarudi
Sema Shetani kadanganya ulimwengu mzima wakristo tumebaki tukiwaabudu wale jamaa eti ukiwa bariki nawe unabarikiwa....... Mbona Sasa sisi WAafrika ndio tuna shida sana Na kila. Siku tunajiprndekeza kwa Hao waisrael.
 
Sababu ni matapeli wala sio wenyewe. Na ndio maana hata wanaishia kujiita waisrael kwa ujumla sababu hawawezi kujilink na kabila lolote Kati ya Yale 12. Na according to bibble bado hawajarudi so wamekaa kiuongo uongo tu.
Maana Kuja Juda, Benjamin na Levi
And Kuna isralites wale 10. Ambao MUNGU kasema atawakusanya "beyond the river of Ethiopia"
Na Yuda ambaye ndio alienda UTUMWANI atamkusanya kutoka "KONA NNE ZA DUNIA"
SWALI
1. Nani alienda kona 4 za Dunia Utumwani
2. Nani anaishi beyond the river of Ethiopia.

Nimakaa pale nasubiri....
Duuh!Hatari sana mkuu.
 
Back
Top Bottom