Kwa hoja za Babu Tale bungeni, ninakiri kuna ulazima wa marekebisho ya Katiba kwa sifa za mtu kuwa Mbunge

Kwa hoja za Babu Tale bungeni, ninakiri kuna ulazima wa marekebisho ya Katiba kwa sifa za mtu kuwa Mbunge

Ninawasalimu kwa jina la Chama Pendwa CCM.

Ninaandika nikiwa nina hasira kali sana dhidi ya mbunge aitwae Babu Tale kutokana na hoja zake zilizokosa weledi huko bungeni wakati akichangia bajeti ya wizara inayohusika na sanaa. Huyu babu kwa kukosa weledi alitaja majina ya wasanii katika hali iliyoonyesha kabisa ni chuki dhidi ya baadhi ya wasanii wakati alipaswa kuwa mwakilishi wa wasanii wote. Ni kauli ambazo sina haja ya kuzirudia hapa maana zinatrend kwa sasa.

Ninamkumbusha Babu Tale kujua kwamba anapokuwa bungeni anakuwa mwakilishi wa watanzania wote na sio mwakilishi wa WCB wala Tiptop. Kitendo cha kumtetea Kasim Mganga na kumponda Luludiva sio cha kiungwana. Pia ninamshauri mwaka 2025 atafute kazi nyingine za kufanya kwasababu wabunge mizigo hawatarudi bungeni.

Tunapaswa kubadili katiba ili angalau bungeni wasiingie vilaza kama kina Tale na kuchafua hadhi ya bunge.
Hicho chama chako unachokipenda ndicho kinatuharibia inchi yetu kwa sasa. Wameshafeli
 
Ninawasalimu kwa jina la Chama Pendwa CCM.

Ninaandika nikiwa nina hasira kali sana dhidi ya mbunge aitwae Babu Tale kutokana na hoja zake zilizokosa weledi huko bungeni wakati akichangia bajeti ya wizara inayohusika na sanaa. Huyu babu kwa kukosa weledi alitaja majina ya wasanii katika hali iliyoonyesha kabisa ni chuki dhidi ya baadhi ya wasanii wakati alipaswa kuwa mwakilishi wa wasanii wote. Ni kauli ambazo sina haja ya kuzirudia hapa maana zinatrend kwa sasa.

Ninamkumbusha Babu Tale kujua kwamba anapokuwa bungeni anakuwa mwakilishi wa watanzania wote na sio mwakilishi wa WCB wala Tiptop. Kitendo cha kumtetea Kasim Mganga na kumponda Luludiva sio cha kiungwana. Pia ninamshauri mwaka 2025 atafute kazi nyingine za kufanya kwasababu wabunge mizigo hawatarudi bungeni.

Tunapaswa kubadili katiba ili angalau bungeni wasiingie vilaza kama kina Tale na kuchafua hadhi ya bunge.
Nani atabadili katiba? Na ilikuwaje kilaza aingie bungeni 2020?
 
Ninawasalimu kwa jina la Chama Pendwa CCM.

Ninaandika nikiwa nina hasira kali sana dhidi ya mbunge aitwae Babu Tale kutokana na hoja zake zilizokosa weledi huko bungeni wakati akichangia bajeti ya wizara inayohusika na sanaa. Huyu babu kwa kukosa weledi alitaja majina ya wasanii katika hali iliyoonyesha kabisa ni chuki dhidi ya baadhi ya wasanii wakati alipaswa kuwa mwakilishi wa wasanii wote. Ni kauli ambazo sina haja ya kuzirudia hapa maana zinatrend kwa sasa.

Ninamkumbusha Babu Tale kujua kwamba anapokuwa bungeni anakuwa mwakilishi wa watanzania wote na sio mwakilishi wa WCB wala Tiptop. Kitendo cha kumtetea Kasim Mganga na kumponda Luludiva sio cha kiungwana. Pia ninamshauri mwaka 2025 atafute kazi nyingine za kufanya kwasababu wabunge mizigo hawatarudi bungeni.

Tunapaswa kubadili katiba ili angalau bungeni wasiingie vilaza kama kina Tale na kuchafua hadhi ya bunge.
Bahati nzuri hakuchaguliwa na mtu yoyote alipelekwa kwa nguvu na marehemu, hatuna bunge mbali ni kusanyiko la wahuni tupu
 
Ninawasalimu kwa jina la Chama Pendwa CCM.

Ninaandika nikiwa nina hasira kali sana dhidi ya mbunge aitwae Babu Tale kutokana na hoja zake zilizokosa weledi huko bungeni wakati akichangia bajeti ya wizara inayohusika na sanaa. Huyu babu kwa kukosa weledi alitaja majina ya wasanii katika hali iliyoonyesha kabisa ni chuki dhidi ya baadhi ya wasanii wakati alipaswa kuwa mwakilishi wa wasanii wote. Ni kauli ambazo sina haja ya kuzirudia hapa maana zinatrend kwa sasa.

Ninamkumbusha Babu Tale kujua kwamba anapokuwa bungeni anakuwa mwakilishi wa watanzania wote na sio mwakilishi wa WCB wala Tiptop. Kitendo cha kumtetea Kasim Mganga na kumponda Luludiva sio cha kiungwana. Pia ninamshauri mwaka 2025 atafute kazi nyingine za kufanya kwasababu wabunge mizigo hawatarudi bungeni.

Tunapaswa kubadili katiba ili angalau bungeni wasiingie vilaza kama kina Tale na kuchafua hadhi ya bunge.
Kumbuka huyu alishinda Ubunge bila kupingwa Mkuu..[emoji3][emoji3]
 
Bila kupata utaratibu wenye vigezo vinavyo eleweka ikiwemo elimu vya kupata viongozi wa Kisiasa tutarajie kuja kupata kiongozi Mkuu wa Nchi ambaye ni wa ajabu na hovyo hovyo mno. Kwa nini uongozi wa kisiasa ndio uwekewe vigezo duni vya kielimu kumpata mhusika, Kwani siasa sio ajira? Ajira yenye hadhi na mapurupuru ya Kibunge eti imewekewa kigezo cha kielimu cha kujua kusoma na kuandika huu ni mzaha wa kiwango cha juu. Tanzania kama taifa wakati nwengine tuna mizaha sana kwenye mambo ya'msingi yanayo gusa maisha watu.

Sifa ya kiongozi muhimu na muwakilishi kwenye chombo nyeti cha uwakilishi wa wananchi bunge kwa ajili ya kutungua/kupitisha sheria na kuisimamia serikali kigezo cha kielimu iwe ni kujua kusoma na kuandika. We are not serious.
 
Kumbuka huyu alishinda Ubunge bila kupingwa Mkuu..[emoji3][emoji3]
Wakati ule 2020 nilikutana na jamaa flani ambaye sio mtanzania akaniambia kwa kilichofanyika kama ingekuwa kwao basi yangetokea machafuko mabaya sana. Mwendazake aliubaka uchaguzi.
 
Ninawasalimu kwa jina la Chama Pendwa CCM.

Ninaandika nikiwa nina hasira kali sana dhidi ya mbunge aitwae Babu Tale kutokana na hoja zake zilizokosa weledi huko bungeni wakati akichangia bajeti ya wizara inayohusika na sanaa. Huyu babu kwa kukosa weledi alitaja majina ya wasanii katika hali iliyoonyesha kabisa ni chuki dhidi ya baadhi ya wasanii wakati alipaswa kuwa mwakilishi wa wasanii wote. Ni kauli ambazo sina haja ya kuzirudia hapa maana zinatrend kwa sasa.

Ninamkumbusha Babu Tale kujua kwamba anapokuwa bungeni anakuwa mwakilishi wa watanzania wote na sio mwakilishi wa WCB wala Tiptop. Kitendo cha kumtetea Kasim Mganga na kumponda Luludiva sio cha kiungwana. Pia ninamshauri mwaka 2025 atafute kazi nyingine za kufanya kwasababu wabunge mizigo hawatarudi bungeni.

Tunapaswa kubadili katiba ili angalau bungeni wasiingie vilaza kama kina Tale na kuchafua hadhi ya bunge.
Ndio maana sisi tunapigania Katiba Mpya
 
Nilimuona hata mimi wakati anachangia mawazo yake wakati Waziri mwenye dhamana ya Michezo na burudani/utamaduni alipokuwa akiwasilisha bajeti yake!

Kiufupi Babu Tale anaumudu Umeneja tu wa timu yake ya Wasafi na Tiptop Connection! Ila siyo Ubunge. Maana muda wote aliutumia kuwasema BASATA na COSOTA kwa sababu tu wamekuwa na utaratibu wa kufungia Wasanii wasio jitambua, na pia nyimbo zilizo kinyume na maadili ya Mtanzania!

Ifikie wakati 2025, watu wasio na sifa ya kuwa Wabunge, wafanye tu shughuli zao za kila siku za kuwaingizia kipato! Na hivyo Bunge jipya liundwe na watu smart kichwani!
Yule ibilisi ametuachia kusanyiko la mazuzu badala ya Bunge
 
Wa kulaumiwa ni huyo mnaemuita raisi wa wanyonge....chuki zake zilisababisha ajaze watu wa hovyo bungeni....mfano yule mama aliezungumza ishu za kunyonya maziwa wanawake....
Hivi hakuna namna ya kuwawajibisha kina Bashiru na Polepole pamoja na familia zao? Wameacha kovu permanent kwenye hii nchi.
 
Back
Top Bottom