Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hebu angalia hukumu hizi mbili halafu toa maoni yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu
Hamna kitu kama hicho ulichoandika hapa, rejea zipo kila mahali kwenye vitabu vya sheria, na mara nyingi rejea hizo hutumiwa kuwahukumu wasio na kitu, lakini sio kwa huyo kigogo mwenye marafiki zake CCM, lazima wamlinde mwenzao.Mkuu
Mahakama hizi hazina kawaida kufanya rejea kesi za aina hiyo zilizokwisha hukumiwa nchini Tanzania zaidi kurejea kutoka nchi zingine ndio maana unaweza kukuta kesi kama hiyo ina hukumu tofauti!!!!
Unapinga, baadae unajipinga kisha unaniunga mkono utaelewekaje?Hamna kitu kama hicho ulichoandika hapa, rejea zipo kila mahali kwenye vitabu vya sheria, na mara nyingi rejea hizo hutumiwa kuwahukumu wasio na kitu, lakini sio kwa huyo kigogo mwenye marafiki zake CCM, lazima wamlinde mwenzao.
Hata common sense inakataa, mtu apoteze bilioni 100 halafu alipe faini milioni 8!, upuuzi kabisa.
Sijui hujaelewa nini, mahakama hufanya rejea ya kesi kabla ya kutoa hukumu, unaposema hazina kawaida ya kufanya rejea unapotosha, kinachosababisha tofauti kwenye hizo hukumu ni mahakimu/majaji kuangalia sura za watu kabla ya kutoa hukumu.Unapinga, baadae unajipinga kisha unaniunga mkono utaelewekaje?
Rejea nyingi zinazofanywa huwa ni za kutoka nchi za nje ambazo zimo ndani ya jumuia ya madola (Kenya, Uganda, South Africa, Uingereza nk)Sijui hujaelewa nini, mahakama hufanya rejea ya kesi kabla ya kutoa hukumu, unaposema hazina kawaida ya kufanya rejea unapotosha, kinachosababisha tofauti kwenye hizo hukumu ni mahakimu/majaji kuangalia sura za watu kabla ya kutoa hukumu.
Siku ya hukumu ukisikia hakimu au jaji anaanza kusifu namna mshitakiwa alivyoweza kujitetea na kujibu hoja za upande wa mashitaka ujue wewe ndio unaenda kuhumiwa kifungo au faini. Lakini ukisikia akianza kusoma maelezo yanayoonesha utetezi wako ulikuwa dhaifu ujue unaenda kuachiliwa huru kwakuwa baada ya maelezo yale atasema 'LAKINI.......'Hakimu ana mamlaka ya kuhukumu atakavyo, kwa mujibu wa Sheria zetu.
Sasa usiombe siku ya hukumu yako umkute hakimu kalanduka
Ushahidi wa kuiba uko wapi ?Hukumu tofauti hizo
1. Mganga ameiba, na anatakiwa kurejesha
2. Boss ATCL amesababisha hasara (haijatamkwa kwamba ameiba, yawezekana ni usimamizi mbovu)
View attachment 1900212