Kwa hukumu ya bwana Hamisi kunyongwa hadi kufa nimejifunza yafuatayo

Only muislam mpumbavu ndio atabadili dini kwa ajili ya mwanamke
 
Afu jamaa ukimwangalia,unagundua ameshakubal lolote linalotokea
Tatizo Tz hawanyongi, ataishia kusoteshwa condemn maisha yake yote.

Hakuna kitu kibaya kama kunyimwa furaha maishani na kujazwa stress za hofu.

Ni bora hata wangelikuwa wananyonga, ndugu wa marehemu wanaridhika na mhukumiwa naye anaridhika kwa kuondolewa stress za kila siku, maisha yote.
 
Naona hukujifunza vizuri!
Wapo ambao wamebadili dini lakini wanaishi vizuri na wenzi wao.
Kilicholeta hayo maafa ni ULEVI tu.
Cha kujifunza katika ndoa ni kujua Ulevi katika ndoa ni hatari.
Katika ndoa kuheshimiana ni jambo la muhimu sana.
Katika Ndoa mwanamme mpende Mkeo na Mkeo akuheshimu na kukutii.
 
IMEANDIKWA
👇👇
1 Wakorintho 7:7-9
7 Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi.

8 Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.

9 Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.
 
Hivi hii U Hivi hii Hukumu ya kunyongwa iko mara 2?, kuna Kunyongwa hadi kufa na Kunyongwa pasipo kufa?
 
Japo wengi wamesema umetoa madini ila kiuhalisia ni madini ambayo Yako ki nadharia
Kila ulichosema hakiwezekani in real context
 
Yule alifunga ndoa ya kikristo hakuna kuachana ,
angepoteza mali zake kweny talaka ...Kikubwa zaidi nasikia jamaa ndiye aliyeanza uzinz na ulevi mpaka kurudi usiku wa manane.

Funzo kubwa : mwanamke akilipiza lazima usande.
 
Kosa kubwa ambalo master alifanya ni kundilisha dini kwa ajili ya mwanamke jamaa alikuwa simp,mwanamke lazima akudharau Tu! Allah atupe mwisho mwema maisha hayatabiri aisee
 
Mke akikunyima unyumba ongeza mke.
Kwani yeye sio mwanamke? Nayeye akishajua mapungufu ya mwinzie naye ataanza kukunyoosha siku ya siku unsjikuta kati unapigwa huku na huku mara pressure hiyo, mke mmoja anakusumbua je hao wawili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…